Endeleni kujifariji ubwabwa ubwege Tobwe FC. Pengo lipo pale pale chama ni mmoja huwezi kumlinganishs na dada debora. Chama yupo juu anamagoli mengi na Assisi nyingi. Yanga bingwa tena yanga oyeee
@DorisCharles-m4k2 ай бұрын
Uongo ni dhambi maan chama tiari kaisha tambulishwa hizo habari umeipata wapi
@AllyIssya-cy9yg2 ай бұрын
ubaya ubwela
@DaudMtweve3 ай бұрын
Hatariii sanaaa 🔥🔥🔥🔥🔥💚💚
@RemigiusMshashu3 ай бұрын
vzr mwamba
@EmmahJosephath3 ай бұрын
Akae simba anaenda wap wana yanga watatudhalau saana
@HamishaiWakishua-oh1ul3 ай бұрын
Awez ondoka msimbazi nakwenda yanga huyo kamanda
@seydouside40813 ай бұрын
Hawa sio wazalendo..wazaliwa wa Tanzania..wenyewe.ni Wananchi..na ndio Yanga..hivi huyu ndio wa kuogopwa na yanga..duuuh haya tuone wanasajili bila kocha..naziona 7up nyengine..msimu ujao..nipopaleee ....
@hamisishabani40723 ай бұрын
HUYU HAWEZI KUWA TISHIO KWA YANGA AFRICAN'S.ALIKUWEPO NA ALISHUHUDIA VICHAPO VIKIMUADHIBU KUTOKA KWA YANGA.YANGA HAITISHIWI NYAU.LAZIMA MJUE MAANA HALISI YA YANGA IMARA.DAIMA MBELE.NYUMA MWIKO.
@Justinianchiza3 ай бұрын
Uyo ni mnyama anaipenda
@ShafiiSeifu-ls8gn3 ай бұрын
Achenibuongo
@LusanaTimotheo-mf1nn3 ай бұрын
Nikwri lakin
@drallan68794 ай бұрын
waonga kibu Denis sio lolote ana magoli 3 Kwa two years
@GudGudgud-w6q4 ай бұрын
Waongooooooo
@josephgalandu1284 ай бұрын
Nyie na mabanda yenu ndio yana wabanda
@chiefnumborecords48195 ай бұрын
Mmmmh ila wewe muandishi mbea mnafiki muda wa usjili Bado je yanga kaaibika vipi ikiwa muda wa kusjili dirisha kubwa Bado na ulisikia wapi yanga wakamtangaza kibu kwenda yanga nyinyi ndiyo mmeaibika Kwa taarifa zenu za umbea umbea
@ISAACMBAGO5 ай бұрын
HAIJA SHINDIKANA, HAITA SHINDIKANA, HAIJAWAI SHINDIKANA. YOTE YANAWEZEKANA KTK YEYE ATUTIAE NGUVU, TUTA TOBOA
@ISAACMBAGO5 ай бұрын
Na huyu tena! Badala watu kuita maji, mtaita mmmmma. Hii sio timu sasa! Bali ni automatic bom, ❤
@ISAACMBAGO5 ай бұрын
Huyu ndiye aliye takiwa kuja mapema! Karibu chama, welcome my young brother.
@SuleimanNgware5 ай бұрын
Amechoka kule sambusa?
@RashidiMsangi5 ай бұрын
Udakuhuo
@ipyanamwangwembe83305 ай бұрын
Mtoa post unaposema yanga inapendelewa kupewa Tabora united unamanisha nn? Mi ckuelew