chele limejaa kila kitu kipo ww ezi ya mdunjiko mchele ulikua wapi nakupaga folen mawe tuko na familia.zetu hatutaki vurugu
@alisalimo28616 сағат бұрын
kama anajiamini ajionyeshee tuu
@alisalimo28616 сағат бұрын
bora tushabikie simba na yanga tuwena aman kuliko ww ulie njee na domo lako chafu na kama mwanamme jionyeshe tukuone shika adabu yakoo tuna amani
@alisalimo28616 сағат бұрын
jaman samia mbona mpolle ww hawajaa matusi yote ww mbona hapo nyuma huyu jamaaa alikua hatukan hivo
@SaidiHasani-n6cКүн бұрын
Watanzania tufike mahala tujitambuwe na ss
@NestyTz2 күн бұрын
Mm tyu nachoona kuendesha nchi Kaz mm naangalia mambo yangu sina Hela sina kiwanja nihangaika na siasa filaneni wenyewe mbona maskn hawatekw mtu pe hela tuwe wanasiasa na kula sipig maisha yote na kad za vyama nazo za vyama vyote sjui mm ninani na kula spgi
@user-lj7cw6ee5p2 күн бұрын
Nyege
@AlphaBarageti-ru5xj2 күн бұрын
Msituchanganye kwa kuripoti habari kinyume na title zake Hii inaonesha upungufu wa weledi kwa waandaaji na wamiliki wa vyombo vya habari. Kuna uhusiano gani wewe kuandika Msigwa kuhama wakati habari yako ni ya mazungumzo ya Lisu juu ya Sheria? Huu ni upotoshaji na wizi wa kimtandao wa MB zetu kufanya tuchague tusichokitaka kupitia tunachokitaka. Acheni uhuni huu.
@yusrtv26222 күн бұрын
Kwanza ww mpuuzi huna akili na yote unayo sema nikwa sababu rais mama nimzazibar mna chuki na huyu mama yote yalio fanyika enzi za mwenda zake hamukufunguwa midomo yenu mishafu leo kaja samiha amewapa uhuru anawalinda mnapo andamana kila kitu kawachieni lakini mnamtukana hayo matusi mnayo mtukana ya rudi kwako na tanzania hakuna upinzani hapa mnajihangaisha upinzani wanaangalia maslahi yao tu ukitaka kujuwa pita msigwa kukosa uwenyekiti wakanda kaja ccm na sisi tumempokea hilo nikuonesha hamna upinzani wa kweli ni wanafiki tupu lakini kubwa zaidi ni sababu raisi anatoka upande wapili na watanganyika hamukulitarajia lililo tokea na mungali juwa mwezi 1 nyuma mungali mwambia samia ajiuzulu ili asiwe raisi lakini hayo yote yapo kwenye ilimu ya mungu na niwambieni msijihangaishe 2025 ni mama samia mpaka 2035 tutamuengezea muda tunamuamini tumemkubali panapo uhai ishaallah mama oyeeeeeeeeeeeeeee ccm oyeeeeeeeeee
@user-wn4qu9yu7n2 күн бұрын
Kafanya vizur umebaki wewe maana hatujuw unatafuta nini hutabiliki kbs miaka yote hiyo
@charleslukumai78752 күн бұрын
Wewe unatabirika, au unaendekeza uchawa?
@danielkanso3 күн бұрын
Hii imeeleweka wakubwa nao wanajua kuwa mbinu zao ziko wazi
@user-jc8vt7ct9t3 күн бұрын
Uko vizuri kaka
@noelnchimbi12873 күн бұрын
Smart boy
@user-uo9tq8cc7q3 күн бұрын
Njaa itakuuwa na kachaneli kako ka mchongo unatuletea habali ndaza chupi ya mamako inamatobo
@usermt6193 күн бұрын
Nilidhani ni habari kumbe ni historia!
@sskondopoleani96163 күн бұрын
Hivi Humjui huyu, hana habari ila ana Historia tu kama ulivyo soma.
@mosesibmshangamshanga78854 күн бұрын
Ivi hawa wanaoteka nakupoteza binadam wenzao wanatumwa au
@knight67574 күн бұрын
😴
@MaikoMkwawa-fk9tc4 күн бұрын
Poleni sana watanzania wenzetu mbele yao nyuma yetu
@LovenesyMhame5 күн бұрын
Ukisem ukwer unafungwa
@Fundi123455 күн бұрын
Acheni gazabu na hasira. Mbowe arisema siasa za kisitarabu wewe rena uwa unatumia nguvu kama makilikil
@Mussa-id9jb6 күн бұрын
Duu
@mussai.sillas37966 күн бұрын
Duuu,Nyieee!Zuhura Yunus tena?
@sskondopoleani96166 күн бұрын
Aamua LIWALO NA LIWE sasa LIPI???
@tibbsminja25756 күн бұрын
Hii inadhihirisha wazi kuna agenda. Hivi hizi teuzi na maap8sho ya kila wakati wanajua na kutekeleza hivyo viapo vyao?? Na kama hawatekelezi iko haja gani kuhamisha hamisha! Mtu hakai kwenye nafasi miezi 2 huku ndiko kunaharibu utendaji. Hapo Ngorongoro kuna jambo sio bure! Ni ngome ya mtu inatengenezwa hapo!! WaTanzania tuendelee kulala hadi tuhamishiwe Burundi au Somalia!!
@jumanesaidi76356 күн бұрын
Huo muziki wa chini chini, unapuguza utulivu na Raha ya usikilizaji
@karimismail41606 күн бұрын
Pigania mwenyewe kija anae jielewa hawezi kufanya jambo la kumiza mashaisha yake kwa upuzi
@karimismail41606 күн бұрын
Pole hutusawishi upumbavu wako mama anafanya kazi wewe piga kengele mweu 😂😂
@jumasaleiman6 күн бұрын
Huyuu jamaaa anaongea oviyo tuu na ushamba ccm hatuwataki ila inatakiwa itemize akili na marifaa na elimu ili kuwaondowa sioo kuropokatuuu ukiwa umejifungia chumbani unaongea
@rebekakulwa61596 күн бұрын
Nani atawachuja huyu rais wa fisiyemu kwa ujumla .fisiyemu wanaogopa.te huru
@sskondopoleani96166 күн бұрын
MSIKUZE MANENO ITAKUA NINI? NA HIZO SIRI NI SIRI GANI?? HAKUNA JIPYA HAPA. CCM MBELE KWA MBELE OYEEEEEEE
@fadhilimoshi57546 күн бұрын
Waone wenzao hapo kenya hata hapa kitawakaaa hakuna marrfu yasiyo na ncha tafakari chukua hatua
@fadhilimoshi57546 күн бұрын
Ila watambue tumewaajiri na wanatuwajibisha ila tukiamka watajutaaa
@fadhilimoshi57546 күн бұрын
Tanzania tuna mhimili mmoja tu umemeza mihimili mingine yoteee no Bunge no mahakama vyote ni serekali.
@jamespeter15996 күн бұрын
Mh msingwa Yuko sahihi kuhama chama kutokana na ukiritimba wa viogozi Demokrasi cdm Akuna Ndungu zangu watanzania Naomba mpuuzeni Lisu yeye Mwenyewe atamka kua Kuna Hela zimeingia kwenye Account ya cdm fedha zote Ni za mbowe
@Kwelihukuwekahuru3 күн бұрын
Naye Msigwa kwa nini aligombea kwa mara ya tatu
@malamlaaj98527 күн бұрын
Akili ndogo we!
@willysayuni60107 күн бұрын
Kivhwa Cha habari kiendane na habari husika, you don't deserve my subscription
@frankcharles39808 күн бұрын
Mijitu mingine mijinga sana
@mathewtwimanye928 күн бұрын
Hizo ndo sera za chama??? Dah hebu washaurini wazungumzie sera za chama tunapoteza muda mwingi kutoa mashitaka na kusema mabaya mliyofanyiwa, hii haitusaidii chochote kiila siku wimbo ni mmoja tu lisu tangazeni sera zenu mtafanya nini tukiwapa inchi? Sasa mmekuwa wa kurukia matukio na kuyajengea hoja kama ndo sera za chama l think he is wrong better those who are close to him alert him so that he can come back to the point rather than wasting time for preaching nonsense for nothing please awake the guy!
@tibbsminja25758 күн бұрын
Waletabtaarifa mnatuandikia kichwa cha habari na yaliyomo ndani ni tofauti. Mbona mnapotosha jamii??
@PaskaliBaha8 күн бұрын
✌️
@EmanuelIdd9 күн бұрын
Mungu wangu tusaidie
@matiredms91710 күн бұрын
Kwanini mnadanganya na kuhadaa watu na clips ambazo zimechacha. Kichwa cha habari hakifanani na anachozungumza Tundu Lissu. Hii ni fedheha tupu.
@EmanuelLuther-y3l10 күн бұрын
Wapumbavu ninyi blogl
@hharyemanuel514410 күн бұрын
Chanel zigne za kifala tu
@ismailramadhani164910 күн бұрын
Mbona sauti haiko sawa na Tundu Lissu😢 kuna namna hapa mmefanya.
@japhethkasanga263410 күн бұрын
Ach ujing
@AbdulMnyamwezi-f4c11 күн бұрын
Sema tupone baba
@amanimangalila-pj8ik11 күн бұрын
We Maku Kweli Sasa Wimbo wa Roma HApa Umetajwa wap
@KhalfanJuma-ii4fk12 күн бұрын
Mbowe ndo atakae uwa chama Mana Hana usiryz na siasa za upnzn na kushika Dollar