Hallelujaaah, hii interview imenibariki sana kwakweli. Mungu wetu ni mwema na mzuri sana
@JoseMoleli15 күн бұрын
Pinga 2-0
@JoseMoleli15 күн бұрын
morongongo
@franknkinda6628Ай бұрын
Tutembelee eeh YESU ❤❤❤❤❤❤
@jericomgaya8282Ай бұрын
Upo huo Wimbo wa Yerusalemu
@AnithasingaАй бұрын
Tutembelee baba❤❤❤❤2024
@mwanahawahamisi9052Ай бұрын
😭😭😭pole sana mtumishi wa mungu na mwanaye
@jacklineasiko1501Ай бұрын
Pole pastor ushuhuda mkubwa
@GRACENyanda-cn3pg2 ай бұрын
Wow wimbo mzuri 🎉Mungu akubariki
@EdwardKabongo2 ай бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mwaka 2010 nipo mazizi lugoba nilikuwanakaa na mchungaji mmoja jina lake mwenda alikuwa anauoenda sana wimbo huu
@gumimosile23892 ай бұрын
Tutembelee, ❤❤❤❤ yesu🎉
@bl4ckbo7382 ай бұрын
🙌🙌🙌
@NjambiNjeri3 ай бұрын
AMEN NA AMEN
@DeboraMwasweba-ij4qf3 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@MARYVICENT-m9c3 ай бұрын
Aminaa apostle
@MARYVICENT-m9c3 ай бұрын
Mungu akubariki mtumish wa Mungu .Hakika Yeau ni mzuri .
@RosemaryJoseph-i8s3 ай бұрын
Mpaka rahaa💞💞💞💞💞
@MiliamPili-em7zh4 ай бұрын
🎉mungu aguse moyo wangu nakumbukuka mume wangu mpendwa aliyenipenda Zaid na aliyependa familia yake aliniacha tukiwa na watoto watatu nimepita kwenye wakati mgumu Sana mungu atutie nguvu wajane na wagane na yatima na alaaniwe awaoneao wajane na yatima kuto 22
@susanwanjiku97762 ай бұрын
🫂🫂
@samuelkilami31044 ай бұрын
Mpaka nimelia pole mtumishi
@estherzeleda4 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@estherzeleda4 ай бұрын
Mungu aku bariki sana mutumishi , miko ku Congo
@benjaminwafula4 ай бұрын
Kweli kbs ijapo kua n kitambo lkn bado inatazamwa
@FrerehugoMbayo4 ай бұрын
God is god
@TarimoTarimo-pf5lo5 ай бұрын
Amina baba
@danielrashidi52755 ай бұрын
Usifie jangwani Asante mtumishi
@danielrashidi52755 ай бұрын
Yesu tutembelee 2024
@idreamfoto5 ай бұрын
2024 still bumpin’ this gospel
@IsaacNgunga5 ай бұрын
Yeah 2012 hits ❤
@lukaisaya6 ай бұрын
Nice
@HajiKhamis-e2s6 ай бұрын
Mungu aendelee kukupa nguvu zaid na zaid
@LoiceRiziki7 ай бұрын
Yesu nitebelee Bwana ❤❤❤❤
@daniellaelsie87268 ай бұрын
Rip Angela
@ilovejesus95008 ай бұрын
Fake pastor,end shiro oakland ukaskie viele ulifanya!
@stevenstationary8 ай бұрын
Proud to be a dancer in this tulifurahi sana kushut😂
@wengajmceprojed26048 ай бұрын
Nafurahi kusikiya shuhuda hii kuhusu Angela sababu nilimpenda zaidi hata mara kwa mara nilikuwa naimbisha wimbo wake kwayani " Jina la Yesu"
@patriciandunge97778 ай бұрын
Touching story 😢
@patriciandunge97778 ай бұрын
Kupotea Kwa funguo kulikuwa na ishara Fulani..mat she rest in peace
@JosuéDhekana-k4m8 ай бұрын
Muchungaji nime Jengwa sana kwa Ile ushuhuda Nami Nina mukumbuka marehemu mupaka Léo basi ilikuwa mapenzi ya Mungu baba.alakini wakafa wote na walewavijana?
@miriamimani49868 ай бұрын
Angela alipokufa, ndugu zangu walinipigia simu wakasema Angela wako amefariki, sasa utafanyaje? Sikuamini, nilitamani isiwe kweli, ila siku zikazidi kwenda mpaka leo.
@JosuéDhekana-k4m8 ай бұрын
Pole sana tena muchungaji
@WitneyNyalusanda9 ай бұрын
My love song aisee nimebarikiwa aisee
@fortunatah9 ай бұрын
aseeh mungu yupo jamani 🤔malaika walimtokea kumfariji..
@modestamashoke90389 ай бұрын
Mungu aendelee kukutunza na kuinua kipaji chako zaidi
@FistonWilly9 ай бұрын
Watoto pamoja na baba Yao pamoja na ninyi watumishi wa Bwana yaani Kanisa endeleeni kuwainuwa Kwa kuwahimiza watoto kuwainuwa ktk Bwana Yesu christo, na Haina Maana kuwapeleka Kwa kuichunguza kaburi la marahemu Haina Maana.
@Olpha-f2g10 ай бұрын
So painful Wacha mungu akutie nguvu brother
@MeriMeri-j8t10 ай бұрын
Mungu azidi kukubari na kukupa moto wa uvumilivu,na Moja mungu, 🤲 mungu abariki hata familia yko
@judithabuko600610 ай бұрын
Mungu aendelee kuimarisha kipawa chako cha uimbaji❤