Hao police ndo wazembe mtu mmemshika mwashindwa kumfinya aseme watoto wako wspi
@abuumuhammad713310 күн бұрын
Mh Rais Samia hakunaga aliye wahi.kama wewe una macho yakuona mbali, akili nyingi sana unaona mbali sana na una busara kubwa sana Masha'Allah Allah kulinde na Mahasidi walikuzungu na wanaechukia utendaji wako, Amin.
@kolosii435110 күн бұрын
Afadhali Chama kacheza mpaka mkataba wake umeisha na msimu umeisha, unasemaje kuhusu Fei? Fei alileta dharau kabla ya msimu kuisha na wakati mkataba bado.
@PstMoch12 күн бұрын
Hongera sana Mama Light Mhondolo ❤❤
@Lightmuhondolo-h3y10 күн бұрын
@@PstMoch Aminaaaaaa ubarikiwe sanaaaaaaa
@duniadigital2412 күн бұрын
🔥🔥🔥
@wemu477412 күн бұрын
😂
@Lightmuhondolo-h3y12 күн бұрын
Ilkuwazuri ❤❤
@nyarinkya610214 күн бұрын
Huyu acha aende alishaanza maringo na kuisaliti Simba. Hata mimi nimefurahi sana kuondoka
@Lightmuhondolo-h3y15 күн бұрын
Barikiwa mungu ni mwemw
@RamadhaniJuto15 күн бұрын
Uyo ndo simba wa vita kiboko ya mfaume mfaume kila siku ana kimbia kimbia.............
@wemu477415 күн бұрын
Hahahaha
@KelvinMichael-bn4fz15 күн бұрын
Umetisha
@Lightmuhondolo-h3y17 күн бұрын
Naomba namba zako
@wemu477417 күн бұрын
Mama nashukuru kwa kunitafuta na tumekwisha ongea.
@Lightmuhondolo-h3y17 күн бұрын
Naomba namba yako
@abelminja244318 күн бұрын
Hii Ajabu Sana. Kwani Jeshi la Police wanafanya Nini? -- Kama Simu ya Mtuhumiwa Inakuwa Hewani mara Zote hizo inakuwaje asikamatwe? Hili SWALI Wanaotakiwa kujibu ni Police
@nyarinkya610218 күн бұрын
Hii kali aisee. Dunia hii
@user-wo4jx1st7x22 күн бұрын
Amen
@marrykajala145023 күн бұрын
Waimbaji tuombee sana tunapitia vita sana matusi mengi Mungu atutie nguvu
@LeonardSeverin25 күн бұрын
mtoto mdogo asiye na hatia,binadamu wengine sijui wana roho gani
@wemu477419 күн бұрын
Hatari sana
@KelvinMichael-bn4fz27 күн бұрын
Hatari hiyo eee naogopa
@KelvinMichael-bn4fz29 күн бұрын
Ongera mwenyekiti, Ongera mbunge
@rehemapeter1720Ай бұрын
Mungu amsaidie apone
@nyarinkya6102Ай бұрын
Kaongeza urembo kapata na ugonjwa, ndio faida hiyo
@wemu4774Ай бұрын
Naona wengine watajifunza
@steliussane863Ай бұрын
Hiyo inaitwa gombo kamili injili ya kweli sio rahisi usiki kwa nyakati za leo zaidi ya kufanikiwa na masuala ya uchawi
@wemu4774Ай бұрын
Askofu amelipua
@JanethKatunziАй бұрын
Hahahahaha
@princessjeradi6978Ай бұрын
Amina jirani❤
@wemu4774Ай бұрын
Karibu sana
@nyarinkya61022 ай бұрын
Namkubali sana huyu dadaa. Hana mambo mengi
@danyanthony35822 ай бұрын
Ameeen ameeen🙏🙏🙏
@wemu47742 ай бұрын
Amina mdogo wangu
@user-dc7tn4id1j2 ай бұрын
Mungu ni mwema na mwaminifu bado ana makusudi na wewe mtumishi endelea KUMTUMIKIA MUNGU .