Eti hatuna Kariokor wakati jina hilo Kariokor mlipata kwetu? Kutoka soko letu?
@richardombese699218 күн бұрын
Ukweli wauma, Thika road kilomita arobaini laini sita kilana mbili ni savisi leni.... Barbara kuu Mombasa rd kutoka Machakos turn off Alafu juzi kabisa Nakuru Nairobi kuto Rironi na bado hatujaridhika na uongozi kwa kuwa tunahisi twaweza kupata zaidi ya maendeleo.... Nairobi ni bara hivo haiana madaraja madara yapo Mombasa iwapo walinganisha madaraja
@naibei_Tv19 күн бұрын
Streetlights ziko village bro😅😅😅
@jameskihahu918523 күн бұрын
Acheni ufala fly over in nairobi is footbridge
@nofatwamasha3475Ай бұрын
Aliyevaa miwani anafanya commedy ila anaujua ukweli
@aumaawuor7748Ай бұрын
Wambie watembee thika road na flyover yake utashangazaa ni America
@carolinenjoroge9092Ай бұрын
Hawana kariakor! Hawana kariakor! Duh! 😅
@user-lv7gz4ih4xАй бұрын
Huyo fala anabisha na hajafika Nairobi
@mylekaka46303 ай бұрын
Ubungo iyo si flyover ni bichi kidimbwi😂😂😂😂😂😂
@ErickGuyayi4 ай бұрын
Baba levo ukosawa Nairobi iko juu dar haifikii Nairobi
@MosesDanielGitonga4 ай бұрын
Sipendi ubishi lkn to be honest Nairobi is far better than Dar es Salaam,,
@shedrackmutalemwa73104 ай бұрын
Seki unatia aibu
@yalafredrick66074 ай бұрын
Mwenzetu Nairobi itakuaje na daraja wakati upo kwenye mlima 😅😅😅😅😅
@user-xv8es9vu6r5 ай бұрын
Mpenzi wa nyoko
@user-ev7wt9jl9z5 ай бұрын
Chakula cha mondi
@user-pt5we2gu4l5 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe jamani nawapenda sana❤❤❤❤❤❤
@user-zd3nd9jp2l6 ай бұрын
Nice
@goodtalent13166 ай бұрын
Mwambie achane na Barbara ya lane sita mwambie iko ya lane kumi na mbili
@Abu-Hamza2546 ай бұрын
Tanzania kiki na shillingi hamna dini🇰🇪🇸🇴
@noiptelnet29516 ай бұрын
Maji laini yamelainisha kiuno eeeh waume mnanitia haya
@user-jl8pr1ql7k7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😮😮
@user-rb8mg5tr1f7 ай бұрын
Kweli havumi lakini yumo
@davidnyerere20167 ай бұрын
Huyu jamaa wa macho nne anaibushi kweli😅😅😅
@hawantimizi69797 ай бұрын
Matako,matamu❤❤❤❤
@kimah98557 ай бұрын
That is how to respect na Mapenzi😂Hongera Zuhura❤
@mwakusyoka7 ай бұрын
Kashareft
@user-hn1xk9lr8p8 ай бұрын
Kumbe waovyo sana
@davidnyerere20168 ай бұрын
Sasa anataka daraja kwani nairobi kunabahari
@user-mj9yx5ud1y8 ай бұрын
So lizki mtt juma astakafiru😢😢
@naliakafatuma98708 ай бұрын
Vyema Sana kila la kheri kazi njema barikiwa Sana Yanga
@abdulwahidmsellem19648 ай бұрын
Ashaleft😅
@el.mathew._91558 ай бұрын
Ukitaka daraja njoo Mombasa nakukaribisha
@Sam_simwa8 ай бұрын
Uyu kijana atembee vizuri mombasa Road only 😅😅😅
@DannyScorp-zq1sp9 ай бұрын
Huyo jamaa miwani ni mjinga yani unabishana eti ramani ilikua hivo na eti unalinganishaa taa,taa???? mpumbavu sana
@ewm426610 ай бұрын
Kariakor sasa ndio kitu ya kuringa sasa😂😂
@inocentchumi272110 ай бұрын
Shoga mbwa wewe
@SylviaKangu10 ай бұрын
Uyu alipelekwa Nakuru Sio nairobi
@manbow510 ай бұрын
😂"mamangu umekufa wewe"
@mathiasoburi101810 ай бұрын
Dah Nairobi kama ulaya vle..wapi likes za 254
@swabahasaidi859010 ай бұрын
Watu wasema siamini kumbe kweli ngoja la Mungu
@mateistarborn687310 ай бұрын
Mkona expressway
@albertpike589310 ай бұрын
Tanzania haiwezi kuwa Sawa na Kenya
@claudswalo693310 ай бұрын
😂😂😂 nati zime potea
@abdullahkazungu402511 ай бұрын
Dar labda ishindanishwe na mombasa ila si Nairobi
@ishirininasita262611 ай бұрын
Huyu jamaa hafai kuwa mtangazaji ana ushamba mwingi mafeelings
@erickmwaniki232811 ай бұрын
Uyo amevaa miwani hajai kanyaga Nairobi my friend
@kennix645711 ай бұрын
Kenya London Nyerere mwalimu alijua
@vaalavely583611 ай бұрын
Ruto tumekubali kutoa hiyo ushuru ya kujenga nyumba watanzania wakuje waishi uku Tanzania ikue shamba ya mazao
@Tintaaahasirakirende11 ай бұрын
Weweeeeeeh umekufa leo😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
@abulhamidjuma361711 ай бұрын
They call it the beautifully city in Africa...Nairobi is another level bro that is really