Mi nakukubali sana wewe siyo mbumbumbuu sema tu unaishi mikiani na ndiomana wanatukana tu, Wewe ni mchambuzi mzuri na mpira unaujua
@khamissymtonele64186 сағат бұрын
Kisugu iv unajielewa kweli unachokiongea au unaongea kufuraisha watu tu
@SuleimanJuma-dv8gt7 сағат бұрын
Mwamba kaongea points
@user-ez2ws1le3n7 сағат бұрын
We chawa tu njaa tu hiyo
@user-os1xo5et5e7 сағат бұрын
Wewe mpira unaujuwa sana
@VeronicaAdam-lx8yd7 сағат бұрын
😂😂😂😂kwakuw anawasifia
@obedyjohn53507 сағат бұрын
Kaka unajua
@UchebeClasic8 сағат бұрын
We jamaa mwana spoti una kitu utafika bali
@simonsadala23868 сағат бұрын
Mchome no 2 wenzenu madunduka wanawatukana lkn nyie sio mashabiki ni watalam wa mpira
@UchebeClasic8 сағат бұрын
Ukisema ukweli wana simba watakupiga
@UchebeClasic8 сағат бұрын
Una ki2 utafikabali
@onesmothimos26358 сағат бұрын
Chawa lipo kzn
@leonardmasanja40478 сағат бұрын
Dogo nakupenda sanaa, huwa unaongea kwa hekima sana huongelei ushabiki daima huwa unaongelea mpiraaa
@user-iz3hs8jl5p8 сағат бұрын
wengine wa wanachambua upuuzi m2pu
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx8 сағат бұрын
Ushabiki hajawai kua ivoo uyu jamaa analake jambo Simba tunakzi mamluki tulikuanao wengi sana
@modestusndunguru71839 сағат бұрын
Utaliwa sanaaaaa kuku wewe..yanga timu mbovu
@modestusndunguru71839 сағат бұрын
We uliwa sio bure
@bajakisonzo49359 сағат бұрын
Huyu jamaa ni mwana michezo haswa hongera sana kka
@joojombi23419 сағат бұрын
Simba wamecheza na timu daraja la 3 aibu tupu kwakweli
@JuhudiJotham9 сағат бұрын
Sam nakuelewa Sana,Safi sana mpira unajua kuchambua
@SultanSuleiman-qf7cx9 сағат бұрын
Mwamba sana ww
@johnmajondokitulla9 сағат бұрын
Hicho Kaka unachokisema upo sahihi acha waseme tu,maana ninavyokuona uko kwenye hadhi ya uchambuzi haupo kwenye ushabiki.
@TidoAlphonce9 сағат бұрын
😂😂😂😂
@user-lj7cf4nh9d9 сағат бұрын
Sam nakukubari Sana Mwanangu Uko sahihi kabisaaaa kwenye uchambuzi wako Ongera Sana unaujua mpira Big UP Sana
@SambweteMtepa-k9g9 сағат бұрын
Wew mzee nifala kweli
@MatgrethCostantini9 сағат бұрын
Pumbavu zako wewe ni utopolo vua jezi yetu ya Simba mnafiki wewe
@stevensosipita9 сағат бұрын
MASHABIKI WA SIMBA WENYE AKILI NI MCHOME,SAM,NA MILAJI WENGINE VILAZA TU
@errydeo88659 сағат бұрын
@@stevensosipitasaaaaana na Mzee Said 😂
@umikifupa-mi3re8 сағат бұрын
Kipenzi Cha Aziz ki@@errydeo8865
@matoletv7 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉@@stevensosipita
@kassidpandu8669 сағат бұрын
wee Mzee yanga sana wewee
@abrahamchengula813710 сағат бұрын
KWANI fei hakuwa na mkataba na Yanga??unavyosema TOFAUTI??
@chiefnumborecords481910 сағат бұрын
Safiiii sana siyo hao waoropoka kuwa wana timu nzuri watatufunga yanga mara ooh ubaya ubwela alafu timu awajaiona wasije kumfukuza kocha mwezi tu kocha chaliiii
@chiefnumborecords481910 сағат бұрын
Wanaokuchukia achana nao hao awaujui mpiraa
@chiefnumborecords481910 сағат бұрын
Huyu mwamba anaujua mpiraa kongole nyingi kwako ndugu yangu
@abrahamchengula813710 сағат бұрын
HUNA baya kaka
@JuhudiKasanga-yq5ks10 сағат бұрын
Nimeshangaa kweli dakika 40 mapumziko 40 Tena hoi 40 Tena kitako chini mpira wawapi huo sijawahi kuona hawa madunduka kweli
@SiliviaJoshua-gd3xd10 сағат бұрын
Nakubali samu
@JuhudiKasanga-yq5ks10 сағат бұрын
Mashabiki wa Simba hayo hawaoni lakini subiri timu irudi ndo utaona kelele zimeanza kwa sasa wanazugwa ili wasikosowe usajili kabla ya dirisha kufungwa
@albertvalentino13011 сағат бұрын
" Ubaya ubwelaaaa ----- hiyo ni kibu ubwela "
@paulndutu290412 сағат бұрын
Akili kisoda
@PaulMuasya-z8c13 сағат бұрын
Bora usije ukakimbia baada ya kufungwa. Maduka yamefungwa ndio waona unababaika.
@user-ly2tv5og1n13 сағат бұрын
Magoma ana matatizo ya kukosa hekima na busara. Kafilisika kiakili kabisaaaaa !
@willymdeka603416 сағат бұрын
Kwani we unaumia Nini ona aibu upoo gea na vyombo vya habari mwehu ww
@ramadhanimrungu580617 сағат бұрын
Waambie awo madunduka wasiojielewa
@GodfreyJames-zt6ig18 сағат бұрын
Kwa simba hii mtateseka sana na mtakoma mwaka huu Yan mtajinyea kweli iv kama unaakili uwez kuongea kauli hiyo Yan mtakoma
@ShafiiHungo18 сағат бұрын
Kazi ipo kwa pacome na chama
@ushiwamarandu743318 сағат бұрын
Jamani tuwaache simba waendelee na pre season yao bhanaaaa...!
@KhalfanSeleman18 сағат бұрын
Wewe hakili huna Simba wanatengeneza time lazima tuaze na timu ndogo alafu f a hatuchezagi na hizo timu Hana nyumbani yangawalicheza na fresi renjas imekuaje
@moussaaliabdallah109618 сағат бұрын
Wewe ni muongo,manara hajawahi kuwa ofisa habari,alikua mhamasisaji kwa kuchukua nafasi ya antonio nugaz, wakati Ally kamwe amechukua nafasi ya Hassan mbumbuli,kama haujui uliza
@mswakisaid232019 сағат бұрын
Kumbe mnamtambua ni mwana chama mwenzenue. Kee hapo sasa mumemvua uwana chama kwa sababu ya kumkosesha haki yake ya ulalamikaji? Magoma ndiyo habari kuu ya Jangwani. Taharuki imetawala,na timu tayari ishaanza kuchezea. Tarehe8 mtani wangu lazima mtazika tu😂😂😂😂😂 niko paleeee🏃🏃🏃🏃🏃🏃