Пікірлер
@ramaalphonse2493
@ramaalphonse2493 4 жыл бұрын
J'aime beaucoup cette chanson
@anuarittewivine2
@anuarittewivine2 4 жыл бұрын
Merci beaucoup
@anuarittewivine2
@anuarittewivine2 4 жыл бұрын
Merci beaucoup kamituga
@bluewingscenary
@bluewingscenary 4 жыл бұрын
Muyomba weye vipi ulishaka endeya wapi??
@potomakambotv4995
@potomakambotv4995 5 жыл бұрын
Kamituga wow Muna imba muzuri
@potomakambotv4995
@potomakambotv4995 5 жыл бұрын
Amen
@prudenceshabi1393
@prudenceshabi1393 9 жыл бұрын
je suis contente d'écouter la source de vie Kamituga!! courage et félicitations
@evaristem6043
@evaristem6043 11 жыл бұрын
Safi saaaana
@evaristem6043
@evaristem6043 11 жыл бұрын
safi sana. hicho ni Lugha....ya Kirega........ Kirega. ao warega ni wakaaji wanao Ishi DRC CONGO. Sud Kivu. zaidi sana zonne ya Mwenga.....so, hawa wameimbiya hii song yao Kamituga. Tangila........nice
@evaristem6043
@evaristem6043 11 жыл бұрын
Fasi saaaaaaaaaaaaaaaana. nyimbo zenu zina ni kumbusha Kamituga. kulungundu.....
@jolie498
@jolie498 12 жыл бұрын
wow wow kweli mungu awabariki kweli inanikumbusha kwabo na mama yangu na baba yangu
@kabongobilonda
@kabongobilonda 12 жыл бұрын
Naweza ku contacté nani ju yaku pata iyi DVD?curé wa hapa ni nani?ba ndugu,munitumie jina ya mwenye na weza kuona ju aniuzishie ii muziki.
@kabongobilonda
@kabongobilonda 12 жыл бұрын
Sikiya ngoma weee,mama weeeee.Ona ginsi batoto yetu biko bana cheza we,muna ni kumbusha kwabo na maman kabisa.Habana miti ama mikuki sawa ba nyarwanda na ba mashi. Shiye ina onekana kama hatuko ba uwaji,tuna pendaka batu yote.Tuko ba BANTOU,kabisa.Ata bazungu bana tamani yuishe,HATUTA ISHAKA.Bako samba kala te.
@kabongobilonda
@kabongobilonda 12 жыл бұрын
Batu ba mulubile OMBE ind'atenda bino,shiukalula isi enge batu ba nilubile,YESU atuminwe muno mwilako atuminwe na tata ashwe utulubula.Atonga na bibyo byose,tulebule OMBE tulebule OMBE tulebule OMBE.Binaba mwitema,binaba mwitenda,tu lebule OMBE,tu lebule OMBE,tu lebule OMBE.Tu shukuru MUNGU wakati wote.To kumisa NZAMBE na biso.
@kabongobilonda
@kabongobilonda 12 жыл бұрын
Nyimbo za kwabo na maman zizuli sana.Mu endelee vile njo muzuli.NZAMBE wa bolingo abatela bino.To tonga kamituga na biso,ba ndaku nionso ya mabele elongwa,to banda ko tonga ba ndaku ya mabende.MUNGU awa bariki.Ata na pasi,tokokoma kaka.Bukavu,ilishaka jengewa,na ilijenwa na OR ya Kamituga.Sisi watoto wa kamituga tunasema basi sasa.
@kabongobilonda
@kabongobilonda 12 жыл бұрын
MUNGU abariki KAMITUGA yetu pamoja na wakaaji wake.Ku tengeneza mungini,ina anzaka polepole tu,katika magumu,lakini kwa neema na huruma ya Baba MUNGU,tuta fika tu.Bana KAGA,bukavu,kulishaka jengewa,na mali ya KAGA njo ili jenga bukavu.Kumbe,tu jikaze tu jenge kwetu nako sasa.Tu toshe ma nyumba za udongo,tu jenge za mabric,na wc ndani.
@mutatwa
@mutatwa 13 жыл бұрын
Bya Ombe bisogha eheheh
@mutatwa
@mutatwa 13 жыл бұрын
Bwana asifiwe saana nimefurahi sana kuona Kamituga inamwimbia Bwana