TINA VITU VYETU
2:34
2 ай бұрын
Mtumishi dancing style's
1:49
8 ай бұрын
SEMINA YA NENO LA MUNGU
0:34
10 ай бұрын
Nimechezaje hapo???
1:35
10 ай бұрын
FILAMU YA YOSHUA 2a
58:11
11 ай бұрын
FILAMU YA YOSHUA Part1
29:26
11 ай бұрын
PALM 🌴 VILLAGEBEACH ⛱️ DAR
1:08
RUAHA NATIONAL PARK TOUR
1:09
Жыл бұрын
1,2,3
0:42
Жыл бұрын
yes me
0:23
Жыл бұрын
Wakati sahihi
4:18
Жыл бұрын
My Birthday
1:20
Жыл бұрын
Kizazi jeuli!!👨‍👧‍👧
1:12
Single again
1:52
Жыл бұрын
KWARESMA VIBES
1:00
Жыл бұрын
Пікірлер
@nihundeswaumu1322
@nihundeswaumu1322 2 ай бұрын
🤔
@bettykarimi-zz6oy
@bettykarimi-zz6oy 2 ай бұрын
I wish niwe kama kimaru..am so touched by 😢😢
@mckakamtumishi9614
@mckakamtumishi9614 9 ай бұрын
Ahsante❤
@Marthamwanyangala
@Marthamwanyangala 10 ай бұрын
MUNGU azidiii kukuinua zaidiii.... Ur blessed kaka🙏🙏
@EstaJohnbosco
@EstaJohnbosco 11 ай бұрын
Aminaa sana kaka
@MarionMatonye
@MarionMatonye 11 ай бұрын
BLESSED
@bupekibiki5151
@bupekibiki5151 Жыл бұрын
It was Such a nice experience 🎉🎉
@BabacarrJatta
@BabacarrJatta Жыл бұрын
Leave him go with her 😂😂😂😂😂
@progressgerman7918
@progressgerman7918 Жыл бұрын
Who is in love with the guy's acting?
@ghislainezagadou5215
@ghislainezagadou5215 Жыл бұрын
L'ennemi de femme c'est femme 😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@Musilmanka-v2l
@Musilmanka-v2l Жыл бұрын
Qizlar uydan haydashi mumkin lekin hechkimga berib qoʻymiydi😅😅😅😅😅😅
@chardendemack2914
@chardendemack2914 Жыл бұрын
C'est bien
@mariaaparecidadasneves5356
@mariaaparecidadasneves5356 Жыл бұрын
Oi que lindo obrigado
@elikanakasomeko6296
@elikanakasomeko6296 Жыл бұрын
Hakuna kitu hapo,omba msamaha tu
@renfridKamanda
@renfridKamanda Жыл бұрын
Mmependeza
@SporahEmmanuel-gc7lw
@SporahEmmanuel-gc7lw Жыл бұрын
Waoo!! mungu awatangulie katika ndoa yen pia mkavumiliane na ndoa yen iwe mbingu ndog
@neemamwekwa7384
@neemamwekwa7384 Жыл бұрын
my class mate kd😍😍 mchungaji kidagoo
@rosekimath2614
@rosekimath2614 Жыл бұрын
Huyu mc ni msengeremaaa😏😏😏
@khalilemalema3082
@khalilemalema3082 Жыл бұрын
Amen Amen Amen
@invocavitmbise5296
@invocavitmbise5296 Жыл бұрын
🙌🙌
@julianamahu776
@julianamahu776 Жыл бұрын
Mungu baba mwana na Roho Mtakatifu ushukuriwe katika utatu wako maana tumeuona mkono wako,katika utatu wako!!!
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika Жыл бұрын
MUNGU MKUU ATUSAIDIE SOTE.AMEN.
@huaweistephen
@huaweistephen Жыл бұрын
I love it
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 Жыл бұрын
Barikiwa
@willahalinga9053
@willahalinga9053 Жыл бұрын
Nimefurahiaaa kukuona tena baba ,. Wanawako tulikumiss,.
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Жыл бұрын
dr Kimaro Mungu akutunnnze. kuna hatima yako nzuri MUNGU atawashangaza wanaofurahia hili tukio
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Muumbaji wangu, ututunzie mchg huyu. wengine tupo mbali lkn ametutia moyo sana. kama alivyotuombea usimuache kamwe
@neemabobilye1541
@neemabobilye1541 Жыл бұрын
Baba yangu mchungaji kimaru atuna lakusema sisi tunahokufatilia siki kwasi nililia mpaka nikajisikia moyo unanihuma
@theresiakimaro7514
@theresiakimaro7514 Жыл бұрын
MUNGU KAMWE HATOKUACHAAAA🙏🙏🙏🙏 NO MATTER WHAT WILL HAPPEN
@onesmohmasuka3720
@onesmohmasuka3720 Жыл бұрын
Hiyo sara FEKI
@miriamalute1540
@miriamalute1540 Жыл бұрын
😂wewe ulie sali ya halali tukuonee
@merryjames9560
@merryjames9560 Жыл бұрын
Amina
@attuernest7099
@attuernest7099 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@attuernest7099
@attuernest7099 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂eti kama kitoto cha nguruwe nawaza mie
@bernadethammari2513
@bernadethammari2513 Жыл бұрын
Ulitutia moyo mchg ,watu wengi walivuka walipokwama na sasa Mungu wa majeshi.akukumbuke.Usikate tamaa mchg ni siku za mwisho hizi songa mbele kwa kuomba na.kufunga lkn na toba kwa kila mtu.Linda sana moyo wako adui asipate nafasi
@dorrenmatee3857
@dorrenmatee3857 Жыл бұрын
Watu watu msiyokuwa na uruma mungu awatangulie
@emmanuelmogela5871
@emmanuelmogela5871 Жыл бұрын
Mchungaji hapa kachemsha hayupo kiroho, sema Mungu nakukabidhi hawa Mimi naondoka ila yesu yupo nanyi msifadhaike,wape tumaini, yesu mwenyewe aliondoka akasema nawachia roho, were ni nani usiondoke mahali
@lilianajiambo6916
@lilianajiambo6916 Жыл бұрын
May God be your strength in this time of temptation. All things work together for good 🙏🙏🙏
@rubenkategere3348
@rubenkategere3348 Жыл бұрын
Jamanii machozi yamenitoka na Mimi pia mchungaji wetu dkt Kimaro tuko na Wewe kiroho na daima Mwenyezi Mungu akisikie kilio chako na mapito hata Sasa yeye ni Ebenezer 😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌👏🙏🏼
@brigitharmacha4991
@brigitharmacha4991 Жыл бұрын
😭😭🛐🛐🛐😭😭😭
@jullybonzo3011
@jullybonzo3011 Жыл бұрын
Kumbe anahubiri upumbavu aende tu Ana faida gani zaidi yau chochezi hao Wa Kristo unawakashifu lakini sadaka Zao unachukua
@angelsimon1960
@angelsimon1960 Жыл бұрын
Unawatukana waume zetu , eti akili ya padri mmoja ni sawa na akili za wanaume 70 wa sio kuwa mapadri hii kauli nayo haikuwa powa.
@alexshukrani6718
@alexshukrani6718 Жыл бұрын
kweli alikosea
@nestorysospeter7162
@nestorysospeter7162 Жыл бұрын
mungu ameona kuwa hapoo si mahali pataka po kufikisha mbinguni, anampango na wewe
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@monerexshowz5200
@monerexshowz5200 Жыл бұрын
Kuna kibuli ndani yake UTII NI BORA KULIKO SADAKA. Tafakari maombi yako mtumishi
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 Жыл бұрын
nyokonyoko unajifanya unajua kiburi cha wenzio tu😏😏😏😏😏
@elizabethpitael
@elizabethpitael Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu, waliokupa likizo ni wanadamu, Mungu hajakuupa likizo endelea kumtumikia kwa njia nyingine, Mungu atakupigania nawe utashangaa, na kama kuna fitina juu ya kusimamishwa kwako maadui zako wataaibika
@catherinemkai8228
@catherinemkai8228 Жыл бұрын
Mungu akutie NGUVU baba hayo mapito tu wewe ni dhahabu
@millieholmst6628
@millieholmst6628 Жыл бұрын
God bless you pastor Kimaro
@Tankthinker-54
@Tankthinker-54 Жыл бұрын
What was the first lady carrying, Banku?
@elizabethmrema6598
@elizabethmrema6598 Жыл бұрын
Duh umenitoa machozi mchungaji 😭😭 Mungu wa mbingun amesikia kilio chako kabla siku 60 Mungu atajibu machozi yako mchungaji
@yohanasport5929
@yohanasport5929 Жыл бұрын
Si wakristo ni wezi na umeawaajiri waislam lakin umeshindwa kuwaombea ao wakristo 😭🙏🏾
@djkombo3752
@djkombo3752 Жыл бұрын
Sasa kama wewe mkristo sio mwaminifu na alikuajili ukataka kumfilisi kwa wizi wako ulitaka afanye Nini kama si kumtufuta mtu sahihi na kumbuka tabia Yako haiitaji maombi na ametumia falsafa ya wazazi wetu unapokua haufanyi vizuri kwenye mambo Yako lazima atakutolea mfano kwa watoto wa jirani wanaofanya vizuri punguza hasira kubali na jirekebishe unapokosea ili uaminiwe
@felistamwashibanda7764
@felistamwashibanda7764 Жыл бұрын
kwani ni lazma awaajili wakkirsto kwenye kaz zake jaman?! SS sote ni WA Mungu
@Ankiz_Ke
@Ankiz_Ke Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mckakamtumishi9614
@mckakamtumishi9614 Жыл бұрын
🤣🤣
@happynesskisamo2958
@happynesskisamo2958 Жыл бұрын
Naomba kujua kama hao maids wanakodishwa????