je mimi nikitaka vifaranga vya kroilers nitapata wapi mwanza na wana kuwa kwenye miezi migapi
@hellenmgungus29354 жыл бұрын
Somo zuri naomba no zako
@esthermunene38714 жыл бұрын
Give. Me. You. Namba
@emanuelmtei17394 жыл бұрын
Kaz zako zitakua nzur kama tukishauriana na mm nichek apa 0692880370
@emanuelmtei17394 жыл бұрын
Mm ni graphic designer 0692880370 nkufanyie chaneli yako ipendeze kwa design nzur
@geoffreykabonokigithinji95804 жыл бұрын
Incha ya angalia chini ama juu
@entertainmentworld25214 жыл бұрын
chicken breed name?
@thenaturelover74 жыл бұрын
Kilo 8?! 😲🤔 Tusidanganyane jamani,🤦🏾♀️ Kilo nane na vile unamwinua kwa uwepesi hivyo bila kung'ang'ana muda huo wote ukizungumza😂 Labda kilo 3.5 au 4🤷🏿♀️😂😂😂😂
@afro_2554 жыл бұрын
Binafsi niliwahi kua na jogoo aina ya kroiler alikua na kilo 6 na point inawezekana kufika kilo 8
@pasteurmardocheemwale20232 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@pasteurmardocheemwale20232 жыл бұрын
Kazi zuri
@atoshalyimo27594 жыл бұрын
Mnapatikana wapi. Nicheki whatsapp 0714303409
@wickwekesa33704 жыл бұрын
Thanks for your teachings.
@vendelinejacob4794 жыл бұрын
Naomba namba yako ili nikutafute
@maryammnyishanga10544 жыл бұрын
Kwa hapa moshi wakala wako wapi?
@ricardomusk67914 жыл бұрын
Asante
@ricardomusk67914 жыл бұрын
Ni aki akuna madawa
@sultanabdallah56934 жыл бұрын
Asante ami
@cpasalma15324 жыл бұрын
Eti kuku ana ustaarab duh mzee ana mbwembwe
@johnmuyalla35334 жыл бұрын
Naitwa John niko Arusha naomba kujua nikita kuja kujifunza gharama yake ni kiasi gani na kwa muda gani? Naomba na amba ya mawasiliano. Namba yangu ni 0754310568.
@fatimajumaa28674 жыл бұрын
Anaona aibu uyo kuku
@patrickambokile95244 жыл бұрын
Nawezaje! Kupata mbegu? Mimi nipo Sumbawanga Rukwa, nimeipenda hiyo mbegu.