Dinah Mungu akubariki kwa tendo hili la shukrani maana anapendezwa na tabia hii.
@ChipondeBorder5 күн бұрын
Nzuri sana ila tuwekeeni zile za wakina Israel rudonya
@YusupRashid-e7d7 күн бұрын
Waooo mchungaji wangu bwana akubariki
@rosemtey856211 күн бұрын
Asante Mtumishi... Bwana azidi kukutumia!
@RestMkireri11 күн бұрын
Barikiwa sana mchungaji
@RestMkireri13 күн бұрын
Mungu awabariki sana tunabarikiwa na mahubiri hayaa
@herrymnango265114 күн бұрын
Barikiweni sana Kwa Mahubiri haya tuna wapata vizuri hapa Kange
@tangatalents769420 күн бұрын
Safiii MUNGU awabariki
@safielmashika550127 күн бұрын
Barikiweni sana kanisa langu
@selemanijames7650Ай бұрын
🤚
@doramalisa2061Ай бұрын
Waohhh, Bwana akupiganie
@lameckmkama-hu7koАй бұрын
Amina
@rosemtey8562Ай бұрын
ASANTE SANA MCHUNGAJI MSHANA KWA WASILISNO LA NGUVU... UBARIKIWE
@NathanielMshana-ig2hcАй бұрын
Utukufu kwa Mungu juu
@EustaceRimoy-sg6lcАй бұрын
Kwaya zote jaman za nyumbani zibarikiwe🥰🥰🥰🥰
@EustaceRimoy-sg6lcАй бұрын
Amen 🙏 mbarikiwe sana kwaya ya sambwen
@EustaceRimoy-sg6lcАй бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏 mungu azidi kuwa bariki wazaz wetu wote mtaa wa mpinji
@SheruconNikolas-ms8svАй бұрын
imekaa sawa ❤❤❤
@lawrencejackton53782 ай бұрын
Amina Barikiwa Sana
@yohanasamwel15392 ай бұрын
Xaw
@nangitareismail65662 ай бұрын
Tunabarikiwa, tunabarikiwa
@JudyNgoye2 ай бұрын
Mbarkiwe sana watumishi wa mungu
@StivinSamwel-g9h2 ай бұрын
Tunabarikiwa
@AshaMsiwa2 ай бұрын
Amen amen
@evaristgamba42042 ай бұрын
Amina tunabarikiwa sana
@evaristgamba42042 ай бұрын
Amina amina tunabarikiwa
@meshackmgonja96162 ай бұрын
Mungu awabariki sana hope channel NETC, Nawaombea sana
@meshackmgonja96162 ай бұрын
Mungu awabariki sana watu wa tanga. Nawaombea
@africanmunis19693 ай бұрын
Tumebarikiwa sana ktk kambi 2024 Moshi central
@gracekatani36693 ай бұрын
Mbaribikiwe kwa huduma ya uimbaji @usariverministry
@gracekatani36693 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 Usa River go go gooooo God is good
@ThelezaPaschal3 ай бұрын
Amen Usariver Ministry ❤
@NavonehiwaMtango3 ай бұрын
Makambi mazuri sana tumebarikiwa mmno
@emmanuelmputa80903 ай бұрын
Tunabarikiwa sana na kambi la huu mwaka 2024
@dominickmnzava46163 ай бұрын
Amen pastor kwa somo zuri.
@jimmyndyamkama82493 ай бұрын
barikiwa sana kwaya ya usariver.
@alfrednsekiete17503 ай бұрын
Yes mbarikiwe USA River ministry
@hawazakaria-kw5lh3 ай бұрын
Mbarikiwe
@RAHELIFILIPO-hx8er3 ай бұрын
Barikiweni M central na Mr Jose naona kazi yako Me Kashera Othini
@OraionSabibi3 ай бұрын
Hapo nimeshatoka lakini nembo mmeshabadirishiwa mnatumia ya rumi
@miltongospelchanneltv63724 ай бұрын
Amina sana Huu ni Utukufu wa Mungu
@juliustemba69064 ай бұрын
Big up Same Hill
@BarakaMbwambo-hd5sf5 ай бұрын
❤❤🎉🎉mungu aendelee kuwabariki San watumishu wa mungu
@barakajoseph18165 ай бұрын
Hallelujah ❤
@SamweliMmbwambo5 ай бұрын
Mi ni samweli mbwambo kutokea mtaa wa mkany kanisa la nkwini
@SamweliMmbwambo5 ай бұрын
Nimeomb washiriki kupewa elimu au semina kuhusu nembo ya kanisa mfano msalba unamaanish kanisa letu tunaamini kua kifo cha yesu msalaban ndio ukomboz wa mwanadamu yaaani mm na ww
@SamweliMmbwambo5 ай бұрын
Tunaomb washiriki wapewe elimu juu ya nembo ya kanisa letu la waadiventista wasabato mfno miale mitatu ya Moto ujumbe wa malaika wa3 ramn ya dunia linapaswa kueneza injili ulimwenguni kote