Kwanza kabisa hakuna aliepigania uhuru dhidi ya Uingereza, labda wale waliopigana na wajerumani. Uhuru wetu ulikuwa tu ni sisi kuionyeaha UNO wakati huo kuwa tunaweza kujitawala na ndicho Nyerere alifanya baaasi.
@lambomayenga615112 сағат бұрын
Hivi tujiulize wewe ulikuwepo Berlin ? Umri wako unakutaka useme ukweli. Mbona unawadanganya hawa watoto. Hivi elimu unajua maama Yake nini? Mbona hats baada Uhuru waislam hawakwenda shule isipokuwa wachache. Waambie ukweli watoto hawa wasome shule SIO blaablaa. Wapemba Wana wasomi wengi je si waislam.
@Garusahir12 күн бұрын
Allah akurehemu akulipe jannat firdaus
@MdNasr-jm8pj17 күн бұрын
Ili mrad wawaritadishe wenzio 😢 wazungu maluuni kweli
@faustinconrad255425 күн бұрын
Mambumbumbu na udini; waislamu wapiganie uhuru, halafu nchi apewe Nyerere, kirahisi hivyo? Tafakari mnaopandikizwa roho ya kuzimu.
@fasterwalker14646 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 haf wanamtukana na wanamwita kafiri
@faustinconrad255425 күн бұрын
Kwa asemavyo huyu mzee anamaanisha nini, wakati hao waislamu wanapigania uhuru huo, Wakristo na watu wa dini nyingine walikuwa Wapi?
@faustinconrad255425 күн бұрын
Waliopigania uhuru kwa dua walipenda, maana uhuru ulikabidhiwa kwa awamu kwa nchi nyingi za Afrika na duniani kote, ilikuwa lazima uhuru tupewe.
@faustinconrad255425 күн бұрын
Sarafu ina pande 2, kwani wasingepigania uhuru huo hadi leo tungekuwa bado tunatawaliwa?
@faustinconrad255425 күн бұрын
Kazi ya kulaani mutu siyo kazi yako, ni kazi ya Mungu 😂
@faustinconrad255425 күн бұрын
Msiojua dini kweli tatizo; tumwonbapo Mungu jambo siyo kazi yetu kujua ni wapi au nini Mwenyezi Mungu amfanyie mtu aliye kufa. Kuona au kuto ona pepo ni kazi ya Mungu.
@NassirShayo10 күн бұрын
HAYA MANENO YAKO SIO SAHIHI KWA ASILIMIA 100%
@faustinconrad255425 күн бұрын
Huyu mzee alikuwa mchochezi wa kiimani, Mungu atampa haki yake kwa kile alichokipanda Kibiti na mkuranga.
@fasterwalker14646 күн бұрын
Wengi wao wapo hivo
@RamaMohamed-oi9ffАй бұрын
Masha Allah, Allah atuzdshie Iman n atupe nguvu ktk watu wanaotudharau ktk maisha haya yetu ya kileo🎉❤🎉❤unyonge kwa waislam umezd
@manyandaramadhani5427Ай бұрын
Na wewe kwa nini huktpiga picha hukua na sim maneno mengii
@Elsah-r8cАй бұрын
MashaAllah ❤
@AmirIbrahim-wh5sq2 ай бұрын
Allahu Akbar❤
@sammarley14132 ай бұрын
Nyerere laanatullah alayhi
@fasterwalker1464Ай бұрын
Sasa nyerere kafanyaje nawewe
@AdnanOmar7663 ай бұрын
Masha Allah kwamawaitha mzuri Jazzakakher shek
@mauricendungu4 ай бұрын
Its 7.35am the only sheikh i admire in kenya
@seiframadhan12545 ай бұрын
Mashallah
@MackameHassani5 ай бұрын
Hakuna alie mwema Kati ya mzungu na mwarabu kwa Muafrika hata siku Moja, dini hizi sis tumeletewa jmn sisi waafrika tusijazane chuki hapaa kila mtu aiheshimu dini ya mwenzie.
@MaryamIssa-y7v4 ай бұрын
Ss ulitakaje chaguwa kushuka au kunyowa mitume aliwachaguwa Allah kuja kuwatangazia njia aitakayo yeye na baada kuondoka kwao maulamaa ndio warithi WA mitume na Kila ummah unashahidi.kazi kwako kutia pamba sikioni au laa usisahau kaburi
@fasterwalker1464Ай бұрын
@@MaryamIssa-y7vhayo yawazungungu unajua ya waarabu lakin? Jinsi walivokata watu mikono na jinsi wavomuua kwa sumu mtemi Milambo wa Tabora hawa wote mashetani tu
@MwanaidMaulid-ou9sk6 ай бұрын
Pepo iwe makazi yako shekhe wetu
@saidalmarjibi61126 ай бұрын
Uislamu uliletwa na Waomani…. Na Watanganyika walikuwa na imani nzuri kabla ya kuingia Uislamu, haikuwa vigumu kuwafahamisha fadhili ya mwenyezi Mungu. Wakaja wa European kukamilisha.. wengi tena wakaingia Ukristo--- na hao ndio wananchi wa Tanzania 🇹🇿 leo. ❤
@Rad079194 ай бұрын
Haukuletwa na wa omani, uislam ulikua ushaingia visiwani ila wao waliusambaza sehemu nyingi za East Africa.
@fasterwalker1464Ай бұрын
@@Rad07919 unaweza kutuambia hapo visiwan uislam ulifikaje?
@nassirmasoud25456 ай бұрын
Shida yko shekh unapenda matusi mno.huu upumbavu uusemao wapenda mno kuutaja.usimzulie mtumi kua amesema ni upumbavu. "Man kadhabba alaiya fal yatabawwa a mak adahu ilal naar
@HusnaHusnamohamedi9 ай бұрын
Masha Allah
@MohamedKasalama9 ай бұрын
Makubwa umetuachia na kutufungua Allah akuhifadhi mahali pema pepon Aaamin
@MohamedKasalama9 ай бұрын
Akili zenu fupi hata kama jina ni la kiarabu huyo muarabu mkiristo anatoka wapi? Mtamuelewa tuu sheikh
@AkitakaHuwa9 ай бұрын
Shukran sana
@issaissa762810 ай бұрын
Allahu Akbar 🥺
@DjumaAsha Жыл бұрын
Ma sha Allah Tabaarakallah Furaha hadi machozi ❤❤❤Allah atuongozee vizazi vyetu vilivyo hai na vitakavyo kuja pia Awajaze kheri mashekh zetu watukufu
@babually173 Жыл бұрын
Elimu ya bure kabis allh akuifadh ustadh
@alhabibmkama3566 Жыл бұрын
Allah akbar. Subuhana llah. Hizi ndo darasa zinazotakiwa kwa waislamu wa zama hizi
@hamadiomari7804 Жыл бұрын
Mungu atupe Kila lenye kher
@SalmaTelkom Жыл бұрын
MASHAALLAH ALLAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI SHEIKH WETU