Kuota una panda baiskeli ila ukawa una anguka anguka huku ukiwa umebeba mfuko wa ngano ukielekea kuuza na unaye muuzia akawa ni mfanyakazi wa hoteri na ukaona ana ubwabwa ulo baki ukamuomba akakupa ukala na huku yule mwanamke akawa aliwahi kuwa mchumba wako wa utotoni ina maana gani hii nimeiota mimi na nikiwa ktk hali ya umasikini
@user-qg3qu1hm3iКүн бұрын
Jazakaallahw kheir
@user-zt6re1dr5fКүн бұрын
🙏🙏🙏🙏
@user-zt6re1dr5fКүн бұрын
Mungu akuhifafhi dada wew❤❤❤
@user-zt6re1dr5fКүн бұрын
Takbiir❤❤❤❤
@PopoSuleman-e3b3 күн бұрын
Marshallah tabaraq'Allah
@rukianassoro5034 күн бұрын
Ameeeeeeen❤❤❤
@habibujuma-hl8pd4 күн бұрын
Kalibu kwenye dini ya haki dada yangu laila
@JudithWanyonyi-cp6mq5 күн бұрын
Niliota nakula ugali na mboga ya maajani green
@MuasitiAboBakri-ew5mu8 күн бұрын
Kuna vitafunio hupendwa pande za kiarabu zipo kama chapatti nyeupe na nzuri huwa napendaga kunywea chai na nikawa nimeota nakula gafla nikastuka nimeamka je inamaana gani shekhe na nipo kikazi nje napitia changamoto na huzuni nyingi mno ila nipo na Allah sw kwa kila hatua naomba duwa napata ujasili wakutojikatia tamaa
@Dirawandesiymran8 күн бұрын
Naomba uniunge kwa group ustadh
@user-ev4lo6xi1e9 күн бұрын
Shelhe Mimi nimeota na wapa chakula maduwe zangu
@user-xo2dq6nq6n9 күн бұрын
Jazzakalah khairan sheikh Allah akulipe inshallah 🙏🙏🙏
@andrewmwandau83649 күн бұрын
Tulio nje ya nchi twaeza shiriki aje?
@user-cu9tp7ze7z11 күн бұрын
Alhamdulillah
@ZaitunSalimin13 күн бұрын
Je ukiota unakula nyama inamanicha nn ustadhi
@ZaitunSalimin13 күн бұрын
Je ukiota unakula nyama inamanicha nn ustadhi
@fatimaidresa128313 күн бұрын
Amin
@MuasitiAboBakri-ew5mu13 күн бұрын
Nimeota pesa nyingi sana ila mwenzangu hakubahatika kukimbia akaanguka kwenye maji yake sijaelewa ila mimi nikakimbia nakuluka daraja salama na kutoka nikaenda nikakutana na mwanaume aliyekuwa ananipenda sana ila anaumwa kama kaathilika kisaikolojia nikakutana naye nikamsaidia akaniambia kumbe unapesa nyingi sana akapona tukaingia kwenye upendo ukaludi na tukawa tunaenda nyumbani kwake, majirani wakaanza kumuambia umepigania umpendae hadi umempata wakatusifia mmependezana baadae wakaona wivu majirani kwa sisi kupatana kwetu, , maana hatuelewani na tuligombanaga mda sana na uchumba ukaisha hatukuowana ni miaka 2 imepita , je inamaana gani shekhe
@MuasitiAboBakri-ew5mu13 күн бұрын
Naomba uniunge shekhe kwenye group
@sadahassan475016 күн бұрын
0712218955
@zainabonlinetv221016 күн бұрын
Ushirikina upi lete dalili dini hii inaenda kwa dalili weka dalili hapo chini
@muhammadkhamis939616 күн бұрын
Shekhe me nafahamu ya kuwa dua ya ahlulbadri ni kati ushirikina
Asalaam Alaykum warahmatullah wabarakatuh shekhe ukimuota mtu usiye mjua ila alikufa kwa kupigwa baada ya kuwa mnaenda kuzika watu wamekuja wengi sana ila yeye alipigwa kwa kuzingiziwa hakuwa mwizi alikuwa na miaka 11 sasa wakati tunaenda kumzika ikanijia sauti kuwa ni mfunue kabla ya kumfukia tulikuwa watu wengi sana ile kumfunua alikuwa ni mzima mazishi ya kahairishwa nikaja kumuona amekuwa mtu mzima ana 18 ana mke ila mkono wake wa kulia ulikuwa tayari umekuwa mbovu haukunjuki kwa sababu ya kupigwa akiwa na 11 ila baada ya kuwa mtu mzima anapendwa sana na watu na na ofisi yake vipi hii tafsiri yake na maiti hakuwa kwenye jeneza ila alikuwa kwenye nguo nyeupe nasi amefungwa kama sanda hapana naomba kujua maana yake insha'Allah
@Fatma-yz2xr29 күн бұрын
MashaAllah
@user-mg9bw1me5x29 күн бұрын
Mashallah
@FatumaAli-xm8di29 күн бұрын
Mtoto wangu aliota amelala nae lkn haha mdhuru
@FatumaAli-xm8di29 күн бұрын
Mmi nimepata ndoto nyoka ameni fungal ssa Yuko tayari kuni meza Nika amka tafsiri yake ni nn
@FaridaKadugudaАй бұрын
Kumbe huwa unaomba chenji😅😅😅😅
@mwanakomboali8374Ай бұрын
Shukurani 🤲 shehk
@AyuniSuediАй бұрын
Asalam aleyk nimeota na mtu alokufa tunapiga stori inajirudia inamaanisha nn
@SeleBobo-q1iАй бұрын
Ukiota umemuona ndan chini ya kabati mana nilieka mayai 7 lakini aliyala 3 yaka baki 4 nikawa na wasi wasi kuwa kala nyoka nikamtafuta nikamuona nyini ya friji nikawaonesha kaka zagu akatoka nyoka akaenda chini ya kabati akaja mtu akataka kumtowa
@ramadhanirama7970Ай бұрын
Shekh niunge kwenye group la tafsir
@MuasitiAboBakri-ew5mu14 күн бұрын
Mashaallah❤❤❤❤❤
@esterpastory8918Ай бұрын
Mm huwa namuota binamu yangu alishafarki zamani sana huwa naota naongea nae au naota ananipa mtoto nimshikie mara ananipa hela
@EuniceReuben-bx6ofАй бұрын
Ukiota unakula half cake ndoton maana yake nn
@AbdallahMohamed-n8bАй бұрын
Mashaallah
@user-uv8ne8hk8yАй бұрын
Nakubali hiii mie mana niliota nimepewa pesa kumbe ilikua fitna subhanallah
@RizikiKalumeАй бұрын
Jamani pia mm nmeota nala pilau kisha nikamfichia babangu chakula hicho ele nmeshika nyama dadangu akanambia wewe na hizo na safari yako utajuwa mwenyewe
@ABEDISAIDILIGOMAABEDISAIDILIGOАй бұрын
Kumbe Kuna mambo menge ya kujifuza
@abdulkhaliqmuhammed456Ай бұрын
Mbona imeishia kati hiyo
@user-cp9cf5te6nАй бұрын
Nimeota nilifunga imefika mda wa kufungua nikala ugali sahan 3 naulizwa mbona unakula sana nikajibu nilikua na njaa nimeamka tumbo halipo saw
@HabibaJumanne-yi4voАй бұрын
Mimi nimeota nimekufa rakini sikuosha wara sikuwekwa kwenye jeneza wara sikuzikwa ira kunamutu akaja kunifunika macho nikajikuta ninatembea na wanangu kira wanakokwenda kama murizi
@mohamedimiraji5495Ай бұрын
Hili lishia, nalijua. puuzi kabisa.
@WinfridaAloyceАй бұрын
Mm nimeota nimeumwa na nyoka wa kijani na nyeus kwenye mkono
@user-pz8qk7ke4hАй бұрын
Mi niliota nimeshika mbuzi nyeupe nampelekea nayo n vipi sheikh