Samahan kak me nko dar es salaam napataj izo pren shuka ili nifume
@MrZahir255Ай бұрын
Saw Karibu Sana No. Hii Ya WhatsApp 0685202797
@salvatoryoscar823Ай бұрын
Hivi nyinyi mbona kama mmelogwa, unajua siku zote chema chajitembeza chenyewe kibaya kinajiuza, wawachambue Ujermani kwanza timu yenyewe wanaijua. Wacheni kujifariji. Ujermani, ujermani hivi unavyofikiria wewe wana muda wa kuiangalia takataka yenu hiyo. Mjitafakari saana hata kwenye kumi bora katika Africa hampo alafu wawe na muda wa kuwatafakari ninyi namkajindumba ninyi
Asante lakini hujui kuelekeza watu waelewe labda tafuta namna nyingine ya kuelewesha ikiwemo speed
@audaxbizimana80842 ай бұрын
Hii nchi ngumu😅😅😅😅😅😅😅😅 utopolo kabisaaah😅😅😅😅😅😅😅 🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸
@monicalucas37382 ай бұрын
This is Yanga bana🎉🎉🎉🎉
@Zaynab-ny6gr2 ай бұрын
Makolo vp huko ubaya ubwela unaendelea au kibu togwa kalitia ndimu na bado shubamit nyie hamuogopi??
@Zaynab-ny6gr2 ай бұрын
Yanga bingwaaa 🎉🎉🎉
@jameskeya86972 ай бұрын
Yuko mtu mmoja anasema Yanga walicheza na Mashujaa waliochamgamka
@sallyeliya52132 ай бұрын
Kuna tim zitakimbiwa na mashabiki na wanachama kabla yabmzunguko wa pili wa ligi kuu😂😂
@himanmwalwala75692 ай бұрын
Sasa mlitaka wajadiri singida ambayo haikucheza??mbona waandishi mna kuwa mambo ya ajabu hata kama ingekuwa ihefu ingecheza na hiyo timu wangiichambu
@monicalucas37382 ай бұрын
Punguza hasira mwanasimba
@akidashekue1632 ай бұрын
Back line ya yanga mbovu
@MpateIsmail2 ай бұрын
Bgp chama langu
@SafanAlphonce2 ай бұрын
Nakupenda yanga jmn inanipa raha mieeeee dhuuu🙏🙏
@josephgalandu1282 ай бұрын
simba mpira wao ni matusi na mdomo tuuuuuu unasajiri wachezaji 15 unatarajia kumfunga yanga[
@JaphetMulungu2 ай бұрын
😂😂😂😂😂big up yanga
@RobertMato-cs8uc2 ай бұрын
Wakubwa tunacheza na wakubwa eenzetu
@NuruMbongo2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 a bado watasubili sana
@notimushi22002 ай бұрын
Seif abasi moshi hiyo no yanga tunawataka Simba tunahasira nao
@YusuphJilala-r4e2 ай бұрын
Wenye wivukolo wajinyongeeeeeeee
@MohammedMahir-f4w2 ай бұрын
Naipenda sana yanga hongere ni tunahitaji juhudi zaidi
@kessysenga87002 ай бұрын
Wengine wanaumia rohon wanaumia
@nicodemusmemba14022 ай бұрын
Wananchi tunajifariji wenyewe,
@JACKOBBenson2 ай бұрын
Nilitarajia hiki walichokionyesha yanga kwa mpira wa jana ligi ya mabingwa timu zijiandae ligi kuu kaa mkao wa kula
@SalvatoryMtunga2 ай бұрын
Siyo Yanga, hao ni wachambuzi wabobezi toka ujerumani, kwa hiyo usihangaishe moyo wako, nasema tena siyo Yanga, hao wachambuzi waliobobea kutoka born UJERUMANI.
@emmanuelfreddy36172 ай бұрын
😂😂😂 Mnajua kujifarijii mmefinywa
@stevensosipita2 ай бұрын
ETI MMEFINYWA UNAFIKIRI YANGA NI KOLO ALIYEBOKOLEWA 6-2 NATIMU DARAJA LA 2
@haidhabushiri95582 ай бұрын
😂😂@@stevensosipita😂😂😂
@Butigi-og2 ай бұрын
Yanga Bingwa 💚
@KIJAMAGEMBE2 ай бұрын
Hongera sana yanga nawapenda sana
@wahidabakar3 ай бұрын
jamani vitambaa vya mashuka vilio kua avija fumwa vinapatikana wapi
@MrZahir2553 ай бұрын
Namba hii ya WhatsApp 0685202797
@wahidabakar3 ай бұрын
haya mashuka kabla hayajafumwa yanapatikana wap
@MrZahir2553 ай бұрын
WhatsApp number 0685202797
@kherithewriter6653 ай бұрын
Mi naomba unielekeze Jinc yakuanza kuifuma shuka yenye mchoro wamaduara pleas
@MrZahir2553 ай бұрын
Karbu Sana Join Kwenye group Langu Kwa Mafunzo Zaid Au WhatsApp Number 0685202797
@Justusjohn-rh2do3 ай бұрын
Maua nimekupa ushukuliwe🎉😮😅😊😂❤
@ZuhuraKhatibu3 ай бұрын
Mashuka kias gani
@NadhifaNassor3 ай бұрын
Asnt sn ila nna ombi tnaomb kuon jinsi ya kuchora izo dizain n vipimo vyk❤
@nwele4 ай бұрын
Shukrani. Mungu akubarike sana
@josianeniyitanga4145 ай бұрын
Mwalimu muzuli sana
@vairethvyizigiro-hj3uf7 ай бұрын
Tunyeshe njinsi ya kufuma makunguru ya kisasa.pamoja na mwiba.harafu iwe mda mlefu.nawaomba jamani
@AgnesSaid-t5u8 ай бұрын
Yupo vizuri sana❤❤❤
@Angebella-ri3hy8 ай бұрын
Asante
@neemanibizi90439 ай бұрын
😇
@FatmaShaban-d4s9 ай бұрын
Sasa unapo anzia kat kwa wanafunz kam sis inakuaje?