Yoyote atakae kufa nje ya uislamu ni motoni na huo si uislamu
@drsiloАй бұрын
Wakiwa majukwaan viongozi wao wanasema A alaykum ni uchale tuu
@lulumussa90092 ай бұрын
Madhara ya demokrasia
@khatibabass31062 ай бұрын
Hayaweee waislam ,chama cha kiislam shenz wakubwa mguu supu mara hii mkiingia mtaisoma
@abuubakarmohd75322 ай бұрын
Wamliliy maalim afanye nn sasa awaondoshee maumiv au ata mkalia vip huyo mait hawasikii achen huo ujingaa,........
@NoufelSalim3 ай бұрын
❤
@NoufelSalim3 ай бұрын
Poleni sana ,Allah ndo mjuzi wa yote hayo, waliofanya hayo leo wao wanafurahi wakati nyinyi munalia ,ila ipo siku wao watalia nyinyi mukiwa na furaha ,
@salyali78073 ай бұрын
Allahumma ameen Allahumma ameen
@RashidAli-rn3ro3 ай бұрын
Munazingua ACT mumekua wapenda ngoma kupita kiasi na michanganyiko ya wnawake na wanaume, hio mikesha ckuiz cjui ata mumeitoa wp. Chungeni maadili ya dini na hulka za wazanźibr. Dah
@hamidamussa5933 ай бұрын
We Yahaya weeeeee
@MahmoudHamad-fy1in4 ай бұрын
Inshallaha inshallaha inshallaha Allah yuko nasi na kwa uwezo wake yy ndio muweza kwetu kwa kile tunachokipigania.
@RashidAli-rn3ro4 ай бұрын
Mdogo wngu Yahyà na Seif pongezì kwenu
@RamadhaniMussa-xs5uk4 ай бұрын
Ccm mwaka huu hawama pakutokea
@nassorseif79074 ай бұрын
Kwa lipi wakawa hawana pa kutokea kwani hio miaka ya nyuma wanatoka vp naomba utufahamishe😊
@salyali78075 ай бұрын
Raha Pemba
@AllyOmarHamad5 ай бұрын
Hom kwetu kunoga kangagani chagua act wazalendo chagua OMO chagua Kombo Rashid Ali
@thauriayetu61595 ай бұрын
Jaman mbona kama nimepitwa hapa,yahya hukunipa khabar mbona mambo yangu kabisa haya
@salyali78075 ай бұрын
Vijana wa Pemba poa
@salyali78075 ай бұрын
Mashaallah.. ndio sasa naiona hii ya Pemba
@salyali78075 ай бұрын
Lovely
@iddi295 ай бұрын
Nicely
@saidkhamis13565 ай бұрын
Hao zima moto wanakura mishahara ya bure tu hawana lolote yani wapo hapo hapo jengo linaungua hivo duuh mtihani kwa kweli 😢
@thauriayetu61595 ай бұрын
Kuna shida kwa kikosi cha zimamoto,kwa hapo jengo lilipo na wao walipo inakuaje ajali inafikia kua kubwa hvyo au walikua wamelala?
@seifaljahury13745 ай бұрын
Wapo slow sanaa na bado wapo local kabisa. Kwenye suala la uokozi wanapaswa kujipanga upya.