Hatamm muziki nimeukubali Amina kabisa kabisa linapatikana wap
@IbrahimRamadhan-c5f15 күн бұрын
Amina wauemapepo
@sirgilbert176916 күн бұрын
Mungu akubariki sana Lea maombi yako muhimu
@LeahMwilapwa-i8f16 күн бұрын
Namshukur Mungu kwa masomo haya ilikuwa ni shauku yangu watu wasikie na yadumu Hadi wajukuu wangu waje wayasikie
@NesirithLukumai17 күн бұрын
Shetani ndo anapigwa Kofi siyo mtu
@janethjapheth515317 күн бұрын
Thank you
@janethjapheth515317 күн бұрын
Nice🎉
@aggyparty299017 күн бұрын
Barikiwa wana ukonga angel usiri na Elizabeth Mungu kawapa huduma ya uimbaji na mnaitumia vyema chini ya mchungaji spear mwaipopo
@user-ud9os9qs1p19 күн бұрын
Amina. Tunashinda kwa jina la Yesu Kristo.
@HaulatAndrea19 күн бұрын
Mungu ni mwaminifu
@HaulatAndrea19 күн бұрын
Amina
@frida2001tz21 күн бұрын
Amina. Mungu mwenye rehema atusaidie tumjue na tutembee katika njia zake❤
@LabanKabasi-y4h23 күн бұрын
mmmmh!🤔
@CatherineJactan-r1i23 күн бұрын
Utukufu kwa Yesu 🙌
@user-jk9pq7qr1u24 күн бұрын
Moto motooo
@yohanamartinus83825 күн бұрын
🙏
@PaulinaSarwat25 күн бұрын
T.A.G?
@user-cu7zo7uq2l26 күн бұрын
Jamani huu ndo kumtaka bwana na nguvu zake kweliii? Maana sielewi kwakweliii yesuuuuuuu baba tunalia haba t ag tumevamiwaaa tusaidieeee baba
@PastorMhini-m1s19 күн бұрын
Sasa ulitaka afanye Ibada kama paroko hii ndo original ya T A G kabla ya kuporomoka kiroho
@godichua445726 күн бұрын
Yesu yupo kazini
@patrickmunishi227726 күн бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@maikohaule557126 күн бұрын
Makofi yanatoka wapi sasa? Tumeambiwa tuweke mikono na wagonjwa watapona, makofi ya nini sasa?
@patrickmunishi227726 күн бұрын
somo nalirudia kila saa.yaani nabarikiwa mnoo
@patrickmunishi227726 күн бұрын
HAYA NDIYO MAFUNDISHO YA YA KRISTO. UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU
@BetyMwakibinga-st7vb27 күн бұрын
Yesu yupo hai na kazi zinaonekan
@mbomboboy27 күн бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu
@user-mi9ix6ce1q27 күн бұрын
Nilikuwa nataka kusima comment ila shida hamja comment😂😂😮😮😅😅😢
@tenzichagaga27 күн бұрын
🫡💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥
@patrickmunishi227727 күн бұрын
TUACHE UDUNIA JAMANI
@patrickmunishi227727 күн бұрын
KANISA LILIKUA LIMETEKWA.DU! ILIBAKI DINI TU.
@AufrasiaNzelu27 күн бұрын
Hatari
@AufrasiaNzelu27 күн бұрын
Hatari
@AufrasiaNzelu27 күн бұрын
🙇🙇🙇🙇🙇🙇
@EdwinMbwilo-fj6bf28 күн бұрын
Lipo wapi kusanyiko hil
@SmilingCityMap-xb9md28 күн бұрын
Hapo sio huyo mtumishi mmmmm washilika mmekwisha mmepigwa tayali
@sirgilbert176929 күн бұрын
Amina mtumishi chua
@mchungajifidelisshirima920629 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤝🙏🙏
@user-sp2pp7ih5y29 күн бұрын
Heeeeee!!!😢😢😢😢
@user-sp2pp7ih5y29 күн бұрын
Kweli Mungu atusaidie hii mpya
@mchungajiegidiuskategile577329 күн бұрын
Hii ndiyo TAG tunaitaka. Safi sana
@mchungajiegidiuskategile577329 күн бұрын
Yuko wapi??
@sirgilbert176929 күн бұрын
Tuko Ukonga Dar es Salam mtumishi wa Mungu ubarikiwe
@sirgilbert176929 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu tuko ukonga Dar es salaam ubarikiwe
@mchungajiegidiuskategile577329 күн бұрын
Samahani mtumish wa Mungu Yuko huyu.
@ronniemalima632529 күн бұрын
Yupo sehemu inaitwa machimbo,njoo mpaka Gongo la mboto afu ulizia bajaji zinazoenda mkolemba au moshing bar,shuka mkolemba afu omba boda boda wakupeleke TAG kwa mchungaji Gilbert
@patrickmunishi227727 күн бұрын
muombeeni huyu baba ana kitu kizuri sana.ambacho shetani atapenda adumu nacho.