Mwenye passport na anahitaji connection ya safari anicheki
@Compassioninthecourtcomedy4 ай бұрын
Mim hap
@simplemanmtotowamamazawadi58483 ай бұрын
Safari ya wapi sasa
@Ashi_Mushi6 ай бұрын
Nimekusikiliza leo as new comer na nimuelewa kishenzi👏👏
@sospeteralex3787 ай бұрын
Nataka huo mchongo
@rolax19997 ай бұрын
Vipi lugha
@rolax19997 ай бұрын
Safi
@donardedward61529 ай бұрын
Point a up to point b 25 m?
@bishopbirdie9 ай бұрын
20 au 15 metres
@bishopbirdie5 ай бұрын
20m au 15m
@willydigital8196 Жыл бұрын
Hongera sana ndugu yangu nataman sana na mm nianze huu mchakato wa kuapply hiyo kazi mm ni baharia nipo saudia napambana ila nitakuchek unipe mwongozo Maan bongo nilishaomba jeshi sikupata
@bishopbirdie Жыл бұрын
All the best mzee
@Msafirimakini Жыл бұрын
Umeongea point bro ni matamanio yangu ya siku nyingi sana kupitia hapa kwako naanza kupata mwanga
@bishopbirdie Жыл бұрын
All tge best kaka
@t.a.sonline Жыл бұрын
Nimekusoma bro asnte kwa kutupa elimu, nafasi zinatarajiwa kuwa mwezi wa ngap kutangazwa?
@bishopbirdie Жыл бұрын
Still ngumu kutabiri but just kaeni mkao wa kula
@dennismunywoki453 Жыл бұрын
Nafuatilia bro asanti kwa maelimisho
@bishopbirdie Жыл бұрын
Karibu sana
@barickmwikangila6574 Жыл бұрын
Hy link mbn haipo
@bishopbirdie Жыл бұрын
Very true mzee, manake unaanza mdogo mdogo then linazidi kuwa gumu as you go on
@t.a.sonline Жыл бұрын
Zoezi kama dogo hiv ila ukiwa sio mtu wa mazoezi linakutoa njee mapema tu