Пікірлер
@swabirattwas.12
@swabirattwas.12 21 күн бұрын
Mashallah
@jumamukoko6662
@jumamukoko6662 Ай бұрын
Mawahabi mbona hampendi kukosolewa
@user-bp6fb6wo5u
@user-bp6fb6wo5u 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 huyo bacho kawagusa inaonekana.... 😅😅😅😅 kwani kasemaje haswa??? Mbona mumekuwa wengi mnaomsema??? Yaonekana kaongea haki... mimi sijui lakini mara nyingi ukiona mtu ashangiliwa na kila mtu basi ameongea haki!!! Laa sivyo mbona mna waswasi???? 😂😂😂😂😂
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 2 ай бұрын
Kwahiyo arafa nimbili kila mmoja apewa yake hiyo siamini tuacheni !
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 2 ай бұрын
Jamani musipate tabu tunajua kuwa mwezi ni mmoja arafa nimoja TU hakuna ya Kenya Wala Tanzania ila ipo makka ikfuatana na ibada yahija
@darajanida
@darajanida 2 ай бұрын
lete dalili ya hilo akhiy
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 2 ай бұрын
Masufi Munauzunisha kama wewe hatachembe ya elim kupambana nabachu huna kumradi mtu toa aya nahadidhi ndo utaeleweka lasivyo wenimtupu kielim
@rashidhemed1444
@rashidhemed1444 2 ай бұрын
Mwambie arudi aje akosoeeee kikojozi wako
@SafiaHaji-fo3sl
@SafiaHaji-fo3sl 2 ай бұрын
nyny hamuna mawaidha kila mmoja anajifanya yy anajua
@SafiaHaji-fo3sl
@SafiaHaji-fo3sl 2 ай бұрын
wacheni mawaidha yenu ya mipasho
@sharifsayyid
@sharifsayyid 2 ай бұрын
Niulize tu mbona ma twariqa na Sufi ndo kila mara wanaleta mzozo wa mwezi yani lazma wao wafunge siku ya eid
@rashidhemed1444
@rashidhemed1444 2 ай бұрын
Sisi tuna mzozo sisi ni wafuasi wa mtume ndugu kwa ushahidi sio maneno ya kuunga unga
@sharifsayyid
@sharifsayyid 2 ай бұрын
@@rashidhemed1444 Sufi hamfati mtume hata kidogo maana mwezi ikitangazwa na mtu wa ahlul Sunnah Sufi hakubali hadi Sufi mwenzao aone
@rashidhemed1444
@rashidhemed1444 2 ай бұрын
@@sharifsayyid mwezi wa mtume ni mwezi wa popote na mwezi wa maswahaba ni mwezi wa popote na mwezi wa tabiina ni mwezi wa popote na mwezi wa tabi tabiina ni mwezi wa popote kwa ushahidi wa hadithi ya ibni Abasi swahaba wa mtume ktk qisa cha qurayb
@rashidhemed1444
@rashidhemed1444 2 ай бұрын
@@sharifsayyid sasa mimi nishakupa hilo weye kosoa halafu unipe mwezi wa kufata sauia je ni mwezi wa kitabu gani
@bmkaskazinib4363
@bmkaskazinib4363 2 ай бұрын
Na hyuy bachu arudi kwao asitukanishe fani yake yuko mdomoni sana
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 2 ай бұрын
Wacheni ujinga wanafunzi wa kisufi ,,mliona mwenzenu said alipata umaarufu kupitia bachu ,,nanyi mwaanza kujitokeza ,,
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 2 ай бұрын
Yani masufi wanahangaishwa ni bachu ,,,,ama kweli masufi mmazuzu sana
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh 2 ай бұрын
Shukran
@binhussein4411
@binhussein4411 2 ай бұрын
Raddi ukikosea urekebishwe hata uwe nani..ati tufikiriw cheo ndio uovu ueneee kwasababu ya che cha mtu..mwafkiria vipi nyinyi bana lahaula. Kwa hvyo mtu akikosea aachwe sababu ni shekhe lako ama ni mtu mzima
@miqdadnasrudin7447
@miqdadnasrudin7447 2 ай бұрын
❤mashaallah ❤❤
@khamisiiddi2470
@khamisiiddi2470 2 ай бұрын
Piga kabsa hao hizbu ssalaafi pamoja na salafi jadida mpaka wakome
@Muislamu
@Muislamu 2 ай бұрын
Basi tu na sisi tuzungumze
@user-bs9ww8xb7y
@user-bs9ww8xb7y 2 ай бұрын
Nawewe zungumza Hasidi mkubwa ww alie kuzuia kuzungumza ninani?
@Muislamu
@Muislamu 2 ай бұрын
Ww ni mwehu
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 2 ай бұрын
Yamebaki matusi dalili huna kwa kweli sindano zinawachoma kweli kweli stahmilini
@abdallahassan2080
@abdallahassan2080 2 ай бұрын
Mashallah
@Al-Buraq01
@Al-Buraq01 2 ай бұрын
youtube.com/@al-buraq01?si=er_pGRu0Ym-IZ9iC
@sharifathman5908
@sharifathman5908 2 ай бұрын
Kama amefukuzwa kwao bac afukuzwe msa pia maana ataleta fitna kubwa
@abdulbandari1551
@abdulbandari1551 2 ай бұрын
Kenya inauhuru wa dini acha kujisahau
@darajanida
@darajanida 2 ай бұрын
muhammad bachu wacha ujanja ujanja hii nidini alla atungoze sote insha allah
@Dr-ubaida965
@Dr-ubaida965 2 ай бұрын
Mashaallah
@Maresca368
@Maresca368 2 ай бұрын
Wataka shekhe lako apotoshe watu aangaliwe tu! Mwanzo ww huna kisomo ulichokipata kwake ulisoma kwengine ukaja kumaliza kwake! Kama ni kweli atoe kijana alomkuza nwenyewe ajibu suala hili . Said Ali Hassan ni ubepari tu ndani ya Gongoni lkn hana maendeleo yoyote kwa watu wa Gongoni kwa kielimu!
@user-gv4xn6ro9y
@user-gv4xn6ro9y 2 ай бұрын
Sawa sawa umesema vizuri kabisa nakufahamika asofahamu hatafahamu tena abakie na
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 2 ай бұрын
Maa Shaa ALLAH 💚
@saidali9255
@saidali9255 2 ай бұрын
Huyu jamaa mbona anaongopa?.wapi Bachu alifukuzwa Zanzibar?..si ukweli huo,Bachu anatowa daawa zanzibar bila shida yoyote ile na watu wanampenda sana! Maswala ya Haajar Tv ni ya kikazi tu!..wacheni porojo tafadhali..
@mr.abubakarbausi3982
@mr.abubakarbausi3982 2 ай бұрын
Abdallah aonesha si msomi aende akalale
@hassanrangambo8007
@hassanrangambo8007 2 ай бұрын
Mawahabi ni janga ktk uislamu
@khamisali5942
@khamisali5942 2 ай бұрын
Yaani nyny mnataka muharbu dini halaf muchekewe tu ndo mnavotaka mukiambiwa kua jambo hili sivo mnanuna na kumfanyia mtu hasad lkn tutawambia tu mukinuna musinune hii dini sio yenu. Huyu kijana atawanyoosha na tunamuomba ALLAH amzidishie elimu na ampe umri mrefu ili azid kuwanyoosha
@darajanida
@darajanida 2 ай бұрын
sasa nyinyi mawhawabi ndo munaitengeneza ivo au
@user-pu2uw2ib5y
@user-pu2uw2ib5y 2 ай бұрын
Unamuombea kwa Allah ili azidishe kupotrza watu?
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 2 ай бұрын
Sasa hapo kanyoosha nn zaidi ya kujifedhehesha tu ni ni mtu jaahili sana yaani ni mjinga sio msomi hata kidogo
@chancelorharubu2731
@chancelorharubu2731 2 ай бұрын
Kuwanyoosha kwa kusema anaangalia watu kwenye televisheni,mtume ndivyo alivyokua akifanya,ivi kama sio utandawazi uisilam ungekua haujakamilika?,na kama jibu ni hapana,kwanini uislam wa siku hizi hadi tuone vyombo vya habari vinasema nini.mtume yeye alifanyaje ni kipindi hicho hakukua na televisheni wala nini,inamaana hawakua sahihi?,tuache uislam wa vyombo vya habari
@Bombwejr18
@Bombwejr18 2 ай бұрын
Yaani m nashindwa kuwaelewa hawa masheikh zetu wa Tz mbona sisi na makkah tunafanana mbona hamtoi mfanano huo ili hoja iwe nzito mnatolea hoja ya china au pakistan kwani sisi tuko Pakistan masheikh mnapotosha Ummah
@MBAROUKSAADHUSSEIN
@MBAROUKSAADHUSSEIN 2 ай бұрын
Umesema kweli na wala hawatowi nn maana ya matwalai, ila wanasisistiza tufaate matwai yetu ila SAUDIA matwilaya Yao mbona ni EAST AFRICA STANDARD TIME Kwa sisi walimu wa GEOGRAPHY tunaeafundisha wanafunzinhivyo.
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 2 ай бұрын
Mabasha hawa kazi kufumua watoto.ustadh wakweli hanyoi ndevu alivonyoa uyu mtu
@fauznuhu9981
@fauznuhu9981 2 ай бұрын
Mungu akusamehi kwa maneno yako machafu ana aihifadhi famialayako nama neno macafu kama hiya kwako
@arifali3942
@arifali3942 2 ай бұрын
UNA JIB LA KUJIB KESHO KIAMA KWA ULILOLUSEM CHUNGA SSNNA
@Bombwejr18
@Bombwejr18 2 ай бұрын
Ila hii dini bana watu wanauhasama sana na Bachu aisee sasa mtu akirekebishwa ndo zarau au hii dini bana watu baada wafate hoja wanaleta Ushabiki kwenye dini alikosolewa Amiril muuminina Omar aliposema ntakata kichwa chake mtu atakaesema mtume amekufa hapo hapo swahaba mwenzie Abuubakar r.a akamrekebisha kwahyo hilo jambo kama mtu kakosea kurekebishwa ni lazima na lipo katika dini sio kupetuka mipaka wala kumkosea heshima kama unavofanya ww hapo ostadh
@hudheyfanassir601
@hudheyfanassir601 2 ай бұрын
MASHALLAH
@khalifaahmed5232
@khalifaahmed5232 2 ай бұрын
Uislam wa technology una balaa na fitna kubwa sahii huez skia kasema mtume sahii ni kasema technology ya mzungu na dalili ni twaona Kila kitu mambo yako wazzz😂😂mtume apo ameachwa nyuma kiac sababu technology hakuzipata ALLAH ATUONGOZE SOTENI INSHALLAH
@Captainome
@Captainome 2 ай бұрын
Hebu tuambie hii ADABU NA MTU KUWA NA TABIA MZURI KUREKEBISHA KOSA HUWA VIPI KWA MAANA Omar (R.A)karebishwa on the spot na akakubali khalifa wa kweli.mbona mmekuwa watu wakukimbilia kichaka cha ooih hana tarbia.basi asomeshe pia kukataza kusujudia makaburi kina barzaji shirki kibao.bachuu . Allah akuzidishie elimu yako sunnah innuke zaidi in shaa Allah
@rushu1232
@rushu1232 2 ай бұрын
Huyo ni mjinga anasukumwa na baadhi ya watu kuingilia masheikh wakisufi mbona hao wanaomtuma hawajitokezi nimpuzi sana huyo bachu.
@CubeedCali
@CubeedCali 2 ай бұрын
Mungu atuhifadhi na makhawarij
@MuhsinAhmad-vh4ck
@MuhsinAhmad-vh4ck 2 ай бұрын
Bachu kila ukiwakoseya adabu wanazuwoni mungu hukushusha chini ,utashuka hadiqiyama
@user-zh3pm7tu9o
@user-zh3pm7tu9o 2 ай бұрын
mashaallah naona kila mmoja atetea shekhe lake
@SaleheKhamis
@SaleheKhamis 2 ай бұрын
Huyo bachu hana lolote muuza pweza tu huyo
@NasrulislaamCBO
@NasrulislaamCBO 2 ай бұрын
Asemae bachu hakukosea heshma .hakusikiza vizuri maneno yake ya kejeli kuwa sheikh hastahiki kutoa maneno ya utheimiin..mpaka kutaja kusimama atajwapo mtumi kwenye maulid. Sh said nimtu anaheshimika kenya na inje
@rashidhemed1444
@rashidhemed1444 2 ай бұрын
Tunashkuru kuwa ufumbuzi wa mwezi mawahabi wote wamwkubali ndio maana wamekimbilia kwenye makaburi na maulid ha ha ha mawahabi bwana
@abdulkhalfan8586
@abdulkhalfan8586 2 ай бұрын
BACHU ATAKA APEWE DOSI NYENGINE NA USTADH SAID
@Twariqabaalwy
@Twariqabaalwy 2 ай бұрын
Itakua si sawa kwa sababu bachu ni mtoto Sana kielimu na kiumri kwa sheikh letu
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 2 ай бұрын
Huwezi kuchukua dozi Kwa chizi asiyejua Sasa saidi anajua nin😂😂
@darajanida
@darajanida 2 ай бұрын
@@saidimkwinzu9106 mbona kama hajui kiti alikikimbia nakujikojolea au huna macho wewe
@MBAROUKSAADHUSSEIN
@MBAROUKSAADHUSSEIN 2 ай бұрын
Kwan pale alifanya nn SHEKHE said hebu kueni waadilifu mada mulikua munazijua tangia mjala wa Tanga ndiko alipotokea SHEKHE SAID kule TANGA hakukuwana mjadala wa SHEKHE WA BARZANJI BALI WALIJADILI BARAZANJI
@abdulkhalfan8586
@abdulkhalfan8586 2 ай бұрын
MASHAALLAH
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 2 ай бұрын
Kwa uwezo wake Allaah Shekhe Muhammad ataendelea kufanya Da'wah hapo kenya, na atalindwa na Allaah kutokana na shari zenu na maovu yenu. Ama kuhusu masala ya fataawaa za Ulamaa kuhusu ikhtilafu ya mwandamo wa mwezi na masala ya arafa hapa hamuna jipya, na ukitaka kulijua hilo ngoja ifike siku ya jumapili muangalie watu watafanya nini? Mnadhani mutawafanya watu wajinga kila mwaka muwakosesha fadhila, na kuwafungisha skukuu na kuwalisha ramadhani. Angalieni viwanjani ilivyokua mwanzo nasasa nihivohivo, au nivipi!!!
@binaamour318
@binaamour318 2 ай бұрын
Hakuna aliekatazwa mlipaji ni alwah anaefuata soudia na asiefuta ww endelea ushabik w dini t
@yasinmustafa6710
@yasinmustafa6710 2 ай бұрын
خالف تعرف
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 2 ай бұрын
Kama unahoja zako ulitakiwa ulete hoja zako tu nasio kumfanyia hujuma Shekh Muhammad Bachu. Na ulipo sema kua hamutaweza kumuacha endapo ata .............. Mbona haya maneno sio yakweli, kasema mangapi mmekaa kimya kwa sbb mlikosa lakumjibu, mpaka akaj dj Side akafanya vioja vya mwaka😂😂😂😂😂😂😂😂 Mpaka wazushi wakatangaza wazi kua kuanzia leo tunaacha usufi na uzushi wao wote tunapiga na chini😂😂😂 Pia baada ya hapo kuna mengi aliyasema kuhusu uchafu wa shirki, urongo na utovu wa adabu wa mashekhe zenu, mlikaa kimya, au hamujaona tuwatumie😂😂😂😂😂
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 2 ай бұрын
Kwanza kabisa wazushi tabia moja hii hamuwezi iwacha hata iweje. Kuwafanyia watu khiana!!! Hii ndio silaha yenu kubwa, unawaambia watu fulani yuko hivi wakati yuko vyengine. Pili ufisadi na kuchonganisha baina ya dola na Mashekhe wa kiwahabi, kwa sbb bila kuekewa vikwazo na serekali hao Mashekhe wa kiwahabi nyinyi mnakosa hoja na hamna amani hata kidogo, na uovu wenu unakaa wazi, kwaio lazima mushirikiane na dola kuwafanyia ufisadi Mashekhe wa Sunnah, ili mupate wasaa wa kueneza bidaa zenu na shirki zenu, na mbele ya Allaah mutashirikiana kwenye moto kwa ufisadi munao wafanyia Mashekhe wa Sunnah!!! Tatu, nyani haoni..................... Nne, nyoyo zenu wazushi na mahasidi nyote zina waka moto wa Hasad kwa Shekh Muhammad Bachu kutunzwa na kupewa uwanja na kupewa thamani na nafasi ya kufanya Da'wah hapo kenya!!! Hasad mbaya sana, lengo lenu nahapo pia aondoke ili mupate kutamba kwa shirki na uzushi wenu!!! Mi nauliza kama kweli Shekh Muhammad Bachu katovuka adabu kwa Maulamaa, alie tovuka adabu si anafunzwa hio adabu😂😂😂😂😂 Nakama hasikii unabainishwa utovu wake wa adabu kwamba nihuu nahuu. ..................................................... Kuhusu kukitupa chini kitabu kilichojaa uchafu wa shirki, uzushi, na urongo, hili alikosea kwa sbb moja tu, ndani ya kitabu kuna Aya za Allaah Azza Wajalla, na kuna majina yake na ya Mtume wake Muhammad Alayhisswalaatu Wassalaam, na alipo lijua hilo, alifanya uungwana na inswaaf kubwa mnooo, akaja tena mbele za watu na kutubia kwa kosa hili. Inakuaje unalileta hapa sasaivi lengo lako nini? Sisi tunawajua mashekhe zenu masufi ni mabaradhuli-mashoga, na wengine ni mabasha-walawiti, na mpaka kesi zao zime andikwa, lkn hatuji kutaja aibu zao, na wengine tumeskia kua wamesha tubia kwa Allaah...... Kwanini muna tabia ya kuchafua sura za watu, na ikitokea Shekhe kakosea na katubia kosa hilo nyinyi kwenu hio ndio njia munayo ishikilia ili kuwafanya watu wamuone mbaya na yale mabaya yenu ambayo ni maovu zaidi yaendelee kuonekana ni yasawa! Masufi tabia hii mumejifunza kwenye Dini gani; 1-Uislamu. 2-Uyahudi. 3-Ukristo. 4-Umajusi. Uislamu hauja fundisha tabia hizi chafu, bali uchafu huu mmeuchukua kutoka kwenye. 2,3,4. Pia Shekh Muhammad Bachu alianza raddi yake kwa maelekezo na maneno mazuri kabisa, nawala haja kusudia kumchafua mtu, lkn kwann wewe umekaa na wazushi wenzio na mukaona njia nzuri yakuanzia raddi yako ni kuingia kwenye kuvunja heshma ya Shekh Muhammad, na kumchafua kwenye macho na maskio ya watu, kwanini iwe hivi? Sisi twafahamu kinacho endelea Zanzibar sasaivi, kwa kuchukuliwa wajinga ndio wakapewa mamlaka ya kuamua mambo ya Dini. Lengo tunalijua na hii fitna haijaanza kwa Shekh Muhammad Bachu, bali hii ndio njia ya watu waovu na watu wa baatwil wote duniani, akionekana mtu anakuja na mafanikio yoyote yale, basi atazimwa mapeema, ili wajinga na mafisadi wandelee kwenye................... Madhwaalim waendelee .......... Wazushi na washirikina waendelee kwenye..................... هذا هو حال المبتدعين الفاسدين المفسدين في مجتمعنا اليوم! يقتلون ويعزلون ويحاربون كل شريف كي لا يكون شاهدا على بدعهم وضلالاتهم وفسادهم وإفسادهم!!!
@binaamour318
@binaamour318 2 ай бұрын
Ww Omar umeandika ukurasa mzima malalamiko kejeli dhanna tuhuma zarau umeacha hoja y msingi kauli utheh my kuhusu muindamo w mwezi misimamo yake kuhusu arafa unakuja na madhambulizi binafsi kana kwamba una ushahid mpaka mbele ya alwah hayo unayoyasema na utakwenda kuulizwa ulijue Hilo!
@masoud744
@masoud744 2 ай бұрын
Nakushauri ukasome kwanza
@masoud744
@masoud744 2 ай бұрын
Bachu anafahamika wewe hifahamiki..... Ukisema amemvunjia adabu shehe lenu.. katumia neno gani baya.?