Wajinga ndo liwao,mtastuka ameshawapiga vya kutosha.
@LydiaowinoКүн бұрын
Powerful.teaching
@DaudiMakazaКүн бұрын
Amina baba
@lucyboti8327Күн бұрын
Ndiomana Jide hazeeki
@Coachsamwel2 күн бұрын
Thanks dr Elie & Team Chomoza
@GODisable75732 күн бұрын
Tunamtukuza MUNGU kwa ajili yako Doktor na team nzima. Tunajifunza mengi. Swali; kwa wale ambao tumeshaona madhaifu na ubovu kwenye familia na koo zetu nasi kunataka tuwe na tufanye tofauti, tufanyeje jujinasua kwenye mifumo mibovu ya koo na familia zetu?
@bahatibillah69422 күн бұрын
Nmependa sana ulivoelezea kuhusu role ya mzaz katika kuelekeza mtoto asiwe mnafiki. Please do more sessions on that, thanks.
@GladysGladys-q3o2 күн бұрын
Ameen
@NtayandiLeonard2 күн бұрын
🙏
@BarakaAmos-u5d2 күн бұрын
God bless my brother
@aishavogelmann50212 күн бұрын
Mola awabariki sana tena sana.shukran Yanga haitoshi kwa maneno wala chochote humu duniani ila mola awabariki namaisha marefu muzidi kutufunza ❤❤❤🙏🙏🙏
@celinestevens88712 күн бұрын
Asanteni . brutal honest
@saramwaigomole71122 күн бұрын
Take chaji maishani mwako
@saramwaigomole71122 күн бұрын
system ni responsible
@saramwaigomole71122 күн бұрын
Mambo yote ni siri
@kivumbaobadiah42202 күн бұрын
Sauti inakatika Sana sikuhzi
@ebonybhoke53212 күн бұрын
Asante dr, ila sauti ni changamoto,hata somo la 71,nadhani mtalitafutia ufumbuzi,ni mara nyingi sauti inakiwa ni tatizo,mara iko chini hamsikiki,ama kukatakata na kukoroma
@DorethMselem2 күн бұрын
Asantee dr nimekuelewa vizuri pia mimi ni O+ ni damu nzuri ya balaa❤❤😂😂
@AsteriaMontgomery2 күн бұрын
Kuna sehemu inakatakata..nimejifunza mengi mno Asante Dr
@oliverypaul9043 күн бұрын
Kweli.....u Docta kwangu kiroho, kiakili na kimwili....katika magonjwa na kimatibabu.......Mungu azidi kukutunza🙏
@Coachsamwel3 күн бұрын
So deep aiseee🙏
@egidekalume10853 күн бұрын
Une leçon approfondie...l'intégrité une probité absolue...merci infinement pour toute l'équipe chomoza..aaah c'est très profond
@hamidafundi-pw1gw3 күн бұрын
Uadilifu(Integrity) . Mwenye nidhamu mtiririko wa mawazo ni thabiti kwa kila jambo lake analolifanya. Mwadililifu hapotoshwi.Uadilifu hutengenezwa na maadili aliyo nayo mtu binafsi.Uhuru si kupewa bali ni KUJIPA mwenyewe. Ni KUJIWAJIBIKIA mtu mwenyewe.Kujihudumia mwenyewe ni ufunguo wa maisha. Muadilifu ni mkweli. Chukua muda kuisoma familia yako kwanza , itathimini ,bila kulaumu mtu yeyote ili kchukuwa tahadhari mwenyewe. ❤🎉 .Nimejifunza. Asante Chomoza pongezi kwenu nyote .
@hadidjaissa91543 күн бұрын
❤❤
@sarambasha77023 күн бұрын
Dr.anamafundisho mazuri ..Changamoto ni Muda jamani
@yvettekyalika9073 күн бұрын
❤ Na wapenda...Aksanti sana...😮Swahili luga ntamu ❤
@bushimani15443 күн бұрын
Gd
@AlfredMoshaa3 күн бұрын
Namuonea wivu evans hapo I wish ndo niwe nimekaa karibu na dokta namna hiyo
@AlfredMoshaa3 күн бұрын
Oh my Goodness
@Samweli3313 күн бұрын
Namba haionekani kiongozi
@MwamuJuma3 күн бұрын
Tupo pamoja bro jimmy from zanzibar man by mwamu
@IbrahimOlenga3 күн бұрын
Tupo pamoja kitoka DRC
@JosephatKinemo3 күн бұрын
Mbarikiwe team chomoza, mnatuponya
@ashireydaimu31483 күн бұрын
Nazidi kumpata mwanga. Mkipost tu Mimi moyo wangu unakuwa km nimepata kitu ambacho siwe kukielezee
@EmmanuelKisaka-y2b3 күн бұрын
Sawa
@wandedalushi29843 күн бұрын
Naendelea kupona
@ramsdenjames97823 күн бұрын
Safi skuiz mnapost mapema
@Coachsamwel3 күн бұрын
Stay blessed Dr Elie & team Chomoza
@AgreyAckim-pt3wv4 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏
@Coachsamwel4 күн бұрын
Sure ungekuwa mpigaji ungetajirika sana😂 hahaaa this ending
@Coachsamwel4 күн бұрын
Muwe mnaweka lipa namba tutoe sadaka aisee... sipendi kupata value kubwa namna hii burebure... Dr na organiser wote mbarikiwe saaaaaana Nimefaidika mno
@Coachsamwel4 күн бұрын
Mimi ni kitabu.. mimi ni jibu.. mimi ni secret book kwa dunia
@Coachsamwel4 күн бұрын
Shukrani sana 🙏
@HaikaJohn-w3h4 күн бұрын
28/09/2024
@benjaminchuma54685 күн бұрын
Mathayo 24:29 Lakini mara, baada ya dhiki ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka mbinguni, na nguvu za mbinguni zitatikisika; 30 ndipo itakapoonekana ishara yake Mwana wa Adamu mbinguni; ndipo mataifa yote ya ulimwengu watakapoomboleza, nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu mwingi. 31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya wateule wake toka pepo nne, toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho huu.