mungu nimetoa dhabihu naomba unifungulie njia za mafanikio
@johansenghanyb14 сағат бұрын
kesi ya shamba lngu limeisha kwa jina la YESU hakuna kesi
@gloryneousafi427317 сағат бұрын
Naomba Mungu kupitia Ibada hii maombi Haya nafungulia kouchumii Nita pata ndoa kirahisi Zaidi Kwa mchumba Wangu libani unikumbuke anithamini pia aniheshimu Nita pata pesa njia rahisi kwanizia Sasa kazini kwangu nipate wateja wengi Ameen
@EvaavE-h4b19 сағат бұрын
Kwakinjinana layesu nijiungamanisha namaombi haya watoto wabosi wanipende wananichukia
@EliasNdayisaba-qk5qh19 сағат бұрын
Nataka nipate kazi kilaisi sana
@JohnSichizya19 сағат бұрын
AMEN
@JohnSichizya19 сағат бұрын
Naomba kaz
@RizikiKulaya20 сағат бұрын
Amen
@MaureenMsita20 сағат бұрын
Baba nina mpenz ananipe nampenda mungu naomba tufikie malengo amina
@MaureenMsita21 сағат бұрын
Naomba nipate kazi kiulahis San
@MarryBayyo-pf5rn21 сағат бұрын
🙏🙏
@MarryBayyo-pf5rn21 сағат бұрын
🙏🙏🙏amen
@chikamajenisia2244Күн бұрын
Amen
@DoreenVictor-qi9ldКүн бұрын
Nataka allyasimaliye ujenzi wanyumba yangu bila kunifanyiya utapeli
@AdiaChidyКүн бұрын
😊😊eee mungu kama amek Uja navitu vakichawi mungu naomba viludie mwenye mngu naomba nifunikie uzao wangu popote napokanyanga mngu
@AsimenyeMbughi-rl6iyКүн бұрын
Namimi napoleya kufunguliwa kiuchumi kwa jina la Yesu, naitwa Asimenye Mbughi Niko Malawi ili namimi nije nishuhudie happy Arise and shine.
@AdiaChidyКүн бұрын
Mungu naomba ,,,,🤰
@AdiaChidyКүн бұрын
Emungu naomba unituwe mizgoo kwenye mwili wangu naomba mizgoo mizito kwenye mwili wngu
@AdiaChidyКүн бұрын
E mungu nAmbau unifungu apanilipo naomba mungu
@BashariNyomeКүн бұрын
Ee mungu nisadie nilinde na yalionitokea usiku huu nikiwa nimelala
@AKRAMHAMOODIКүн бұрын
Ee Mungu Mungu namba uipandishe imani yangu🙏
@DianaKatuga-ml8mqКүн бұрын
We mwnyz mung naomb Moses anipigie cm popt alip na kuniomba msamaha ninakuomba
@MarcelineLucianaКүн бұрын
Eeeeh mungu nahomba umusahidiye mama yangu apone macho pamoja na dada yangu pia tulipwe mikopo yetu yote
@MariamAloyce-rs4teКүн бұрын
Amina baba
@MariamAloyce-rs4teКүн бұрын
Mungu naomba uwafungue wanangu Abdulrazak na Amina ktk masomo yao wakawe kichwa na siyo mkia...waongoze ktk masomo yao baba
@NdagaManyasiКүн бұрын
Mungu nisaidie nifanikiwe kwenye mambo yangu nilio kuimba🙏🙏
@NdagaManyasiКүн бұрын
Mungu nisaidie nifanikiwe kwenye mambo yangu nilio kuimba🙏🙏
@MariamYasintaКүн бұрын
Mtumish kwa jin naitw sarah naomb unisaidie hay matatizo yang nahitaj mtot unijalie uzazi piah unisaidie familia yangu iondokane na maish magum niwe na maish. Mazur katk familia angu na ndoa yangu iwe na aman na utulivu ameen
@HarimaHarima-yn1veКүн бұрын
Mtume mwili wangu mda wote nina maumivu makali sjielew
@tonykonki1437Күн бұрын
Mtume mimi nko kenya naomba namie mungu anitendee makuu yake, pia nami siku moja nijione nashuhundia kwa madhimbao ya arise ..
@tonykonki1437Күн бұрын
Naomba kukubarika zaindi kwenye bihashara yangu,wateja wawe wanapendezwa na bidhaa zangu na kuzinunua zaindi,ameni tena hio bihashara hiwe inatoa fainda mara mia kwa ple ilikua inatoa..
@tonykonki1437Күн бұрын
Arise and shine Mt u me naomba kuinuka kiuchumi tena kilaisi sana,pia familia yangu ikombolewe kutoka na mangonjwa miili yetu ipate afya nzuri,tena ndoto mbaya ziniondokee ameni.
@RosinaMnyamogaКүн бұрын
Amina
@RosinaMnyamogaКүн бұрын
Napokea biashara kiraisi
@NdagaManyasiКүн бұрын
Mung naomba unisaidie na mmi
@LauraLamosayКүн бұрын
Mungu naomba umponye mtoto wangu
@RositaAndreMarcosКүн бұрын
Amém
@RositaAndreMarcosКүн бұрын
Amém
@neemakagine9902Күн бұрын
Naomba kibali cha kupokewa kwajina layesu pamoja malaika washuke kunipinania kwanzia leo mungu naamini napokea visa kwajina layesu nimwenzi kupata visa kwajina layesu
@user-py2tb4fh7rКүн бұрын
Mimi nataka kupokia yesu naomba musahanda 🙏🙏
@GairoDodomaКүн бұрын
mungu nisaindie juya kazi zangu zakilasiku ukanilide napia ukanipadixhe viwango
@GairoDodomaКүн бұрын
mungu naomba unifanikixhe katika maitaji yangu
@Faalboy-z7iКүн бұрын
Amiiini naamini imikua Asante
@GiftNyangotaКүн бұрын
Amen🙏🙏🙏
@Merinala-t6hКүн бұрын
Napokeya mutume
@StalayChulamboКүн бұрын
Ameeen napokea muujiza kufunguliwa kiuchumi kiafya mm na family yangu njia kirahisi
@marymary8313Күн бұрын
Amen
@GiftNyangotaКүн бұрын
Mungu naomba nitunzie mimba yangu 🙏🙏🙏
@Merinala-t6hКүн бұрын
Amen
@StalayChulamboКүн бұрын
Napokea muujiza kufunguliwa kiuchumi nipate kujenga nyumba yangu njia kirahisi sana