Jana nilikuwepo. Ofa hizo nilizipenda lakini niliogopa gharama. Ni mimi Mzee Mwaikambo.
@dr.saidsaid2 минут бұрын
Utaogopa hadi lini?
@mwaupinailejeyetuКүн бұрын
mbona haifunguki
@nuruali96084 күн бұрын
Mimi ht nikipata laki mbili za tz nitashkuru sana mwanangu
@nuruali96084 күн бұрын
Nimama nyumbani napika tuu sina kazi but time nikonayo
@nuruali96084 күн бұрын
Mimi naomba tuu unishike mkono hadi nielewe tafadhali
@nuruali96084 күн бұрын
Nimeipenda sana hii...mimi nina umri mkubwa na kiingereza siwezi kuitumia mtandaoni...je nafanyaje ??? Pesa nazihitaji sana Sana naomba muongozo mwanangu
@classcamp10 күн бұрын
Big up sana brother Ahazi na team nzima ya online profit..
@elizabethndimbwa547024 күн бұрын
Ahsante sana kwa ushauri na ushuhuda wenye mafanikio.
@elizabethndimbwa547024 күн бұрын
Hongera sana kwa mafanikio makubwa
@elizabethndimbwa547024 күн бұрын
Ahsante sana kwa elimu nzuri na ushuhuda wenye mafanikio
@erikor513724 күн бұрын
well said🙌🙌🙌
@elizabethndimbwa547025 күн бұрын
Hata mimi nitakuwa na ushuhuda wenye kushangaza maana napambano ili nifikie lengo niwe na ushuhuda kama hao.
@elizabethndimbwa547025 күн бұрын
Ahsante sana hiyo ni nzuri sana Mungu akubariki sana .