HISTORIA YA INSTAGRAM
5:41
2 ай бұрын
MWISHO WA iPHONE UMEKARIBIA?
2:30
Пікірлер
@onesmodavid5125
@onesmodavid5125 3 күн бұрын
Bado inasumba mbn??
@hemedsalim2887
@hemedsalim2887 10 күн бұрын
charging will resume when iphone returnes to normal temperature ina maana gan hyoooo
@ShabaniMkwesso
@ShabaniMkwesso 12 күн бұрын
Asnt kak yang
@alcycubahiro-pe7fu
@alcycubahiro-pe7fu 20 күн бұрын
Unaongea sanaa kuwa naenda kwenye point
@piusmsoma3326
@piusmsoma3326 Ай бұрын
Content yako ni nzuri, tatizo maelezo mengi sana..
@MussaNyoni-g5z
@MussaNyoni-g5z Ай бұрын
Unaongea sana
@KyllianJosh-n2n
@KyllianJosh-n2n Ай бұрын
Unaongea San broo nenda kwenye point
@DaddyQaiyath
@DaddyQaiyath Ай бұрын
Naomba nifahamu ety ukisha hide hapo unafanyeje kuzirudisha tena ety
@JohnDakika11
@JohnDakika11 Ай бұрын
Ndio ni simu nzuri lakin bei yake kuanzia m.1 kuendelea
@habibumkavi9665
@habibumkavi9665 Ай бұрын
Inabidi upitie changamoto ili kufika apo ulipo✍️
@JenniferjloTz
@JenniferjloTz Ай бұрын
Iv iphone 11 zmetoka feki?
@AmosMbwambo-up3ks
@AmosMbwambo-up3ks Ай бұрын
Role model🎉
@canbreezy1832
@canbreezy1832 Ай бұрын
Daaaaah nimepat kitu kupitia huyo big❤
@WardaThabit
@WardaThabit Ай бұрын
Ety mtu anaweza kutrack kupitia emeri
@princecharmingtz8130
@princecharmingtz8130 Ай бұрын
🔥
@salmakasim8390
@salmakasim8390 Ай бұрын
Super hero daddy Big up kevie endelea na moyo huo huo
@emilians1885
@emilians1885 Ай бұрын
💥
@PeterMalugu-j3h
@PeterMalugu-j3h 2 ай бұрын
Maneno mengi ata haueweki😊
@danielmloka6379
@danielmloka6379 2 ай бұрын
Maelekezo mengi saana kaka hadi Mb zinaisha
@YusufuBadi
@YusufuBadi 2 ай бұрын
cm ni platform tosha kaka
@mackbelkisala6600
@mackbelkisala6600 2 ай бұрын
Sasa mwana Kitaa huo ukaguzi wandani huwezi ukagua ukiwa huja lipa coz box ina sild na huwezi itoa paka uweumesha lipa so waeleze zaidi njeee ya box huko kwenye ma setting nipale umesha pigwa 😂😂😂
@the_danniels
@the_danniels 2 ай бұрын
Huwezi hata siku moja kuondoa matangazo kwenye simu yako. Android hawafanyi biashara ya hasara ivyo hata sku moja labda ULIPIE premium. Wewe ulichofundisha watu ni kufuta utambulisho wao wa kuletewa matangazo yanayofanana na uhitaji wao. Kwahyo hapo wataletewa matangazo na mbaya zaidi yatakua hata hayaendani na ufanano wa matumizi yao. Utkuta mtu analetewa kitu irrelevant kabsa. Mfano hupendi maswala ya mpira na unakuta unaletewa, kwasabab umefuta id yako ambayo ilikua inawaambia google ni nini unachokipenda na kipi usichokipenda kwa kuangalia matumizi yako ya kila siku na vitu unavyo search sana.
@JacksonRuben-b4y
@JacksonRuben-b4y 3 ай бұрын
Simu KITAA umetishaa Unaokoa jaazi
@Vennieh-i8p
@Vennieh-i8p 3 ай бұрын
Kwakweli mpaka sasaivh sijaichukia iOS 18… sijapata changamoto yeyote ❤
@Vennieh-i8p
@Vennieh-i8p 3 ай бұрын
Me naskiliza nikiwa nimeshaapdate 😂
@Zanura-t5e
@Zanura-t5e 3 ай бұрын
Nataka kujua iPhone 12 Iko vzr au laah
@mercymodest2248
@mercymodest2248 3 ай бұрын
Ukiwa unaelezea izo bezzle au nyingine boss wangu onyeshaa kwa kuweka mbele tuone sio maeleoz tuu.
@kgn924
@kgn924 3 ай бұрын
Umesahau true tone boss
@Sàlim_Møhd3
@Sàlim_Møhd3 3 ай бұрын
Naitaka hio Copy niuzie
@gayanimwansasu
@gayanimwansasu 3 ай бұрын
SimuKitaa barikiwa leo Barikiwa na kesho pia
@unleloo7616
@unleloo7616 3 ай бұрын
Polen sana ofisi ya sim kitaa! Niliona video ya behind the sciene mlivyokuwa mnatupambania jinsi ya kutupa elimu hii muhimu sana kwa watumizi wa iphone na watarajiaji wa iphone asanten sana na hongeren sana hatuna cha kuwalipa zaidi ya kuwa wateja zenu! Na kuwaletea wateja💪💪🙏🙏
@Hunter_339
@Hunter_339 3 ай бұрын
Halafu ios 18 imekalia kibiashara zaidi ukitaka kuifurahia kuwa na icloud ya kulipia
@Hunter_339
@Hunter_339 3 ай бұрын
Vipi kuhusu model no
@stephenernestkaforongo7585
@stephenernestkaforongo7585 3 ай бұрын
Hapo kwenye applications ya photos mi mwenyw sijaipenda kabisaaaa
@IbrahimJutta-o2d
@IbrahimJutta-o2d 3 ай бұрын
Shua muda kipengele kka usiwe kama ananias edga tumemtua kwa sababu ya kurefusha mda sna mwsho bando zetu unajua za ngama mzee
@emmanuelkamala697
@emmanuelkamala697 3 ай бұрын
Nimeangalia nkakagua simu yangu mara kumi kumi😂😂😂😂 @simukitaa
@pierre-tr4dc
@pierre-tr4dc 3 ай бұрын
Wafanya biashara wenzako wanao penda ela tu awaja ku maindi kweli kaka sema watajua wenyewe Sisi tuko pamoja na Wewe maombi ni mengi mno tunayo kuombea wanyooshe awatoboi mitano tena kaka🔥🔥🔥
@amouramiry5438
@amouramiry5438 3 ай бұрын
Mwanakitaaaaa☠️
@NicholausMichael-s9y
@NicholausMichael-s9y 3 ай бұрын
uwakika mwanangu nimekuta mwamzo mwengaa😂🫡🫡
@TandaSon-d8x
@TandaSon-d8x 3 ай бұрын
2pe na ya Samsung
@osamasta9720
@osamasta9720 3 ай бұрын
Sasa mwana kita ninaswali kama sisi wafundi iphone coppi ukicomeka kwenye 3utool inakubali?
@yohanatunge1085
@yohanatunge1085 3 ай бұрын
Kuna option pia ya kuchukua serial number na kuzi search kweny iphone website na kujua kama ni copy au orginal
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 3 ай бұрын
Unitahidi kupangilia upunguze muda utumie dakika 8 mwisho
@gracejacky7760
@gracejacky7760 3 ай бұрын
Unampangia mwalimu tena😅😅😅😅
@sasimusa-c1g
@sasimusa-c1g 3 ай бұрын
Mwanakitaa ubarikiwe sana kutupa madini
@Huncho404
@Huncho404 3 ай бұрын
muda mwengine ay feki yanakuwa network inasumbuwa unaweza kutia lain ikasoma lkn ikakaa no services na ukipiga ikapatikan na ukiwsh data ikakubali lkn inakaa no service 😊
@NicholausMichael-s9y
@NicholausMichael-s9y 3 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@AnwarMnawar
@AnwarMnawar 3 ай бұрын
Mwanakitaa kitaaani nipewe like zangu
@dazzmastory5510
@dazzmastory5510 3 ай бұрын
wabongo bwana wana roho mbaya sana sasa mtu unamuzia mwenzako simu feki na unampanga og si bora unamchana tu bwana hiii famba achangue yeye tu
@sasimusa-c1g
@sasimusa-c1g 3 ай бұрын
Hatar sana
@juliusmangalu1306
@juliusmangalu1306 3 ай бұрын
Naomba like zangu simukitaa 🎉🎉🎉🎉
@nelsonresbron5820
@nelsonresbron5820 3 ай бұрын
Kuanzia 14 kwenda juu hayo matatzo sio mengi
@tarkybey3586
@tarkybey3586 3 ай бұрын
Dah mimi screen yangu ina flickering halafu naona kioo kama hakina quality yani green na kijivu kwambali yani dah changamoto