Mmefanya ivo mbn kinyabwaiga ina leseni feke fanyeni ivo tuoone
@jls887314 күн бұрын
Bu videoyu izleyince Afrika'da bu kadar modern, gelismis, temiz,doğa, parklar, teknoloji, yemyesil vs bir ülke beklemiyordum şahsen hayran kaldım ağzım açık izledim. Google'ye de baktım baya güzel bilgiler edindim. Tanzanya' yi görmeyi çok isterim. Kimbilir belki bir gün gerceklesir o tertemiz sahillerde yürümek bana da nasip olur. Kadın president çok mütevazı, bilgili ülkesi için gercekten çalışan bir başkan kendisine teşekkür ederim. Tanzanya' ya 🧡 bıraktım. Çiçekler Tanzanya' için 💐 ( Bu güzel vidoe'nun Türkçe seslendirme versiyonu olmasını çok arzu ederdim).
@WilsonMkoma14 күн бұрын
Habari naombeni mnisaidie kuna mzigo wangu upo kenya mombasa ulitumwa toka London lakini hawataki kutuma mzigo wangu uje. Please naombeni mnisaidie niweze kupokea mzigo wangu.
@michaelmahenge59327 күн бұрын
Rest in Eternal Peace my late President Benjamin William Mkapa
@AnwarOmari-qx9qzАй бұрын
Hongereni jeshi letu hakika muna jitoa sana kuiletea nnchi yetu heshima
@juliethkatabwa5306Ай бұрын
Mama samia amenisaidia nimepata haki
@msafiriomary893Ай бұрын
😢
@umbalicheАй бұрын
Tanzania bana noma sana. Airport huduma imeanza, kwingine kwa hao TPDC wanaendelea na mipango. Tuwe wavumulivu Jamani.
@jeremiamaduhu2127Ай бұрын
Sauti ndogo
@elishayona5887Ай бұрын
Hiv kwa mfano mtu kama huyo alionyeshwa ubinadam wa hali ya juu hivo na rais unadhan siku alipo sikia rais amekufa alikuwa katika hali gani ila tusije sahau yakuwa hata waziri mkuu yuko makini sana apewe pongez zake
@Ivon-qz6gg2 ай бұрын
Mfipa mwenye akili nyingi
@zakayomosha132 ай бұрын
Mawasiliano Safiii
@emmanuelmogela58712 ай бұрын
Mkomo mmoja milioni kumi na Tano Bei au sijaelewa kama ni hivyo masikini wataweza kweli
@hajjseif57372 ай бұрын
vp kenya burundi na rwanda hakuna uhusiano mbona hamkuungangana huko ni upuuzi mtupu muungano usilazimishwe waachieni watanzania waamue km wanautaka au hawataki hivi tanganyika ikiipoteza zanzibar maisha hayatoenda ?mbona nyny vizee wabishi?muungano co lzm ht kdg undugu ni damu sio siasa
Mwenyezi Mungu akujalie napia akupe afya njema mkuu.Kila hatua DUA kwako.Mkuu afande.MkundA
@bakundukizetz38803 ай бұрын
very impressive
@RithaJoseph-cx4zz3 ай бұрын
Tunaomba namba zunu
@user-fx6zr6ij5y3 ай бұрын
Akuna wahandishi wa habari hapo wanauliza maswali ya kitoto
@GoldenChinunda-yz3ve3 ай бұрын
Mjaku that's nice 👍👍🙂🙂👍
@user-gv2un4jl3m3 ай бұрын
Make hajapata akaoe nyumbani,wazazi watapelekeshwa jamani😂😂
@user-gz4qb9wz3d3 ай бұрын
Konde ana busara zake
@SlimWiz-zs5yl3 ай бұрын
Harmonize ka onesha Kama ana uwezo mukubwa kabisa freestyle ina onekana kamukimbiza mwambinu shuhudiyeni ili muni unge mukono na like zenu
@ChristopherMajengo-nj1vl3 ай бұрын
Napenda kwenda lkn sijapangiwa daaaah inaumaa saaan
@LRomaRoma3 ай бұрын
Konde konde
@nestorylitowolo33243 ай бұрын
Je mwanafunzi ambaye ajachaguliwa anaruhusiwa kujiunga na mafunzo hayo?
@ChristopherMajengo-nj1vl3 ай бұрын
Je amabao hatujapangiwa tunaweza kwendaa
@ChristopherMajengo-nj1vl3 ай бұрын
Ambao hatujapangiwa tunaweza kwendaa?
@JastineMtayoba3 ай бұрын
Link ya kuangalia majina
@suleimanomar46933 ай бұрын
Mbona hamtaji burndi mlikua nchi moja mnaiandama Zanzibar tu.
@anthonymasai63593 ай бұрын
hiyo hatua ya kuanza kazi kwa muda fulani kabla ya kuanza kulipa kodi...mheshimiwa Nape ilete na kwenye traditional media,tunaumia sana na ada ya mwaka pia hebu kaeni chini punguzeni hizi tozo na kodi takriban 21ambazo traditional media zimebebeshwa ni mzigo mkubwa ambao hauathiri tuu wamiliki bali hata waajiriwa wao maana hakuna mapato
@IPMMEDIA3 ай бұрын
Big up 💪💪💪
@rahimzuberi26733 ай бұрын
Mmejitahidi endeleeni siyo tuwacheke tu
@Giliad90Mgata3 ай бұрын
kaz nzuri sana hyo mana tembo wamekua weng sana
@lugelosanga57983 ай бұрын
Tushauza bandariii na ngorongoro kwa mkoloni Bado kuvalishwaaa minyololo
@geraldchaka7913 ай бұрын
This is a wonderful look at Tanzania led by the female President. It's also available on Amazon Prime.
@derekmurusuri35784 ай бұрын
President Samia's state of the union address is unprecedented. A masterpiece indeed. Congratulations and long live Tanzania!
@JohnShuma-jr1uz4 ай бұрын
Ntaka nijue jinsi yakujiunga chuo chaualim patand
@lugelosanga57984 ай бұрын
Da twafwaaaaaa na mafuliko kurufijiiii umama ali kuuuturuki kusaini imikataba da tulinisha hadi basiii twafwaaa
@abdulazackabdul18944 ай бұрын
KAZI IENDELEE
@franciskobelo4 ай бұрын
Muungano daima
@rashidabdallah32534 ай бұрын
Muungano ili iwe sawa bc lazima ziwe serikali tatu iwe serikali ya Tanganyika,serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na serikali ya muungano na hapo kwenye ya muungano kuwe tuu na mambo kama matatu hadi matano kwa wingi hayo ndo yawe ya muungano hapo kiama kitatuuka hutosikia kelele zozote juu ya muungano.
@rashidabdallah32534 ай бұрын
Kwa nn unakimbilia kwenye serikali mmoja na husemi tatu? Na ukisema kwenda serikali mmoja hiyo dhana ya muungano itakuwa ipo wapi?
@darianclery44554 ай бұрын
Herligt at opleve Tanzanian in Tanzania our history very lovely documentary...
@wesley36844 ай бұрын
P R O M O S M
@OscarFabian-uu3rs4 ай бұрын
Mungu mpokee kwenye ufalme wako. Amina
@dicksonmadihi4 ай бұрын
❤
@yurisangarciaramirez48485 ай бұрын
God bless this family, always 🙏🏻 RIP 🤍Mr Sokoine 🙏🏻