Wow! My boys had fun and learned thru live experience, proud of them ✅
@mussayasini4130 Жыл бұрын
Siutamaliza nanas Hilo bi halo
@mussayasini4130 Жыл бұрын
Asante ntaanza kutumia soon hiyo smooth soon
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Asante sana nafurahi kusikia hivyo. Usisahau kusubscribe 🙏
@mussayasini4130 Жыл бұрын
Hizo cereal leave zimejaa Tanzania kibao especially dar , Mwanza Arusha , Zanzibar,
@khalifakanta7701 Жыл бұрын
Asante dada tumechoka flour chicken kwakweli. Naomba uturushie jinsi ya kutemgeneza salad ya kitamzania.
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Asante sana kwa kuangalia. Na endelea kuangalia na kusubscribe sababu video ya salad ya kitanzania nitaituma hivi karibuni
@edinaegidius6357 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Wellcome what
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
😀
@gladnessmwakalengwa6262 Жыл бұрын
Sasa wewe Dada unaikula hivyio si utamaliza hiyo ananasi😂😂😂?
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Nilinogewa lilikua tamu 😀
@sabrafadhil4713 Жыл бұрын
Yaani huyu dada nampenda sana kanifunza vitumbua
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Asantee ❤️.Nakupenda piaaa .
@ummusamira3518 Жыл бұрын
Masha Allah umejitahidi habibty 💖 Ila kufunga sio rahisi hata hivyo umejitahidi san sana Mimi siku yakwanza kufunga sikuweza hata moja niliwacha wewe umepambana umepata zaidi ya kumi kwakweli nakupongeza Sana fanya kila Muda in sha Allah utaweza
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Asante Sanaa my dear. Yaani nikisikia kwa nyie wenye ujuzi wa kupika sambusa mnasema nimejitahidi mnafanya nipate moyo wa kuendelea kujifunza. And please usisite kuniambia nimekosea wapi au niongeze nini nijirekebisha. Na mie niwe mkali wa sambusa ❤️
@ummusamira3518 Жыл бұрын
@@Queencecyvlogs tuko pamoja habibty hakika jiko hakuna mjuzi spice unatia upendazo habibty nisawa Tu umenichekesha ulipo kutia Yai haraka ukalitoa
@believeclemence1077 Жыл бұрын
Ngozi yako ni nzuri MashaAllah unatumia bidhaa gani ya ngozi
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Asante sana🙏.Tafuta kwenye video zangu, utaona moja inaeleza jinsi ya kutengeneza smoothie . Ukinywa inasaidia pia Ngozi
😀 Hapana .hili nililotumia ni Cucumber aka tango ambalo lina 96%water .. kwa wasiopenda maji ukila tango ni Kama umekunywa maji
@everinerulasuma5818 Жыл бұрын
Sasa ukikosa hizo mboga umekata mbili unatumia hivyo vingine tu au
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Ndio unaweza kutumia hivyo Kama huna majani. Ila jitahidi hata tango liwepo Lina faida nyingi na maganda yake pia
@rabiaiddi2884 Жыл бұрын
Nimeanza kukuona leo tu ila nimekupenda bure na nime subscribe takuwa nakufuatilia ❤
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Aaww. Thank you so much, nakupenda pia, na asante kusubscribe🙏❤️
@gloryaugustine94642 жыл бұрын
Hongeraa nakupendaa asantee kwa kutuwakilisha wapenda nyamaaa sio kwa uwakilishi huo😂😂
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
😀 Nakupenda pia, na Asante sana kwa support
@alphaigogo7872 жыл бұрын
You are so funny unavyo elezea. 😅 Asante kwa mapishi mazuri na ushauri wa afya. Barikiwa sana. ❤️
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
😀. Jamani Asante sana my dear. Na asante kwa support❤️
@rehemaimraan17942 жыл бұрын
hyo ya green inaitwaaje,
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Inaitwa kale (nafikiri no sawa na spinach) sijui kale kiswahili ni nini, anauejua atatusaidia humu😀. Asante sana kwa kuangalia na kujifunza🙏❤️
@rehemaimraan17942 жыл бұрын
Nanas cucumber tangawi na hyo nyingine inaitwaaje hyo ya green
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
Inaitwa kale/ na kuna baby spinach . Zote ni mboga za majani. Hakikisha unesafisha vizuri. Ikiwezekana loweka kwa maji ya moto sekunde kadhaa ule vitu safii💕😀
@rehemaimraan17942 жыл бұрын
sorry hyo banas cucumber tangawi na hyo nyingine inaitwaaje
@nyamkamawanjara292 жыл бұрын
unatumia kila siku ndo inakuwa juice yako ama kuna siku unaacha
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
Ukiweza kila siku ni vizuri sana. Ukishindwa japo mara 2 kwa wiki
@welcome-qk6ps2 жыл бұрын
Mambo safi
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
🙏❤️
@welcome-qk6ps2 жыл бұрын
Jina la green veg pls
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
Kale/spinach
@lovedeetv12262 жыл бұрын
Shoga angu piga kazi mpenzi
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
🙏❤️
@rachelpaul43732 жыл бұрын
Sorry hiyo ya green inaitwaaje??
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
Kale/spinach
@TheSonofZWANGENDABA2 жыл бұрын
Darsa zuri, tunajifunza
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
🙏❤️
@Queencecyvlogs Жыл бұрын
Nimefurahi umejifunza. Na karibu tena
@BetiTube22312 жыл бұрын
Hello dear, this is a beautiful process, dear Please share 🙏🙏Please, my sister🙏kzbin.info/www/bejne/iHbKmqBnr8-tmZo
@alphaigogo7872 жыл бұрын
Wow! Never heard of that place! Ukitoka hapo lazima nguo zote zinanukia vyakula 😍
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
😀😀. Yaani hapa hata usipokula utashiba kwa kuangalia vyakula viko vingiii vya kila aina
@suzanneshekifu71842 жыл бұрын
Eeee hapo umenikumbusha uhuru mchanganyiko kwa buge
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
😄😄, hapana chezea mihogo, ila ya shuleni kwenu uhuru ilikua noma.milainiii Na kale kapilipili ka unga😋😋😄 hapa hawakua nayo
@sheyabby71462 жыл бұрын
Welcome back
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
Thank youu🥰
@sheyabby71462 жыл бұрын
Tuliikumiss Mamie nilikua nafwatilia sana video zako
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
Aawww . Asante kwa support my dear. Nimerudi tena
@mactongathe1792 жыл бұрын
nimependa izo Mofongo foodie...
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
😂😄. Mafongo zilikua nzuri sana.. Thank you for watching🙏🙏
@jovinasaid64202 жыл бұрын
Barikiwa,kwakupitia video yako nimeweza kutengeneza vitumbua
@alphaigogo7872 жыл бұрын
Nice one Cecy! Mimi nayaprnda sema yamenishinda gesi yake 🤣🤣🤣 Nakula Dark beans sana.
@aramhouse2 жыл бұрын
wow yummy❤️
@sheyabby71462 жыл бұрын
Dada asante ukowap tumekumiss
@noahthegreat57252 жыл бұрын
I am going to be your guest 😆
@Queencecyvlogs2 жыл бұрын
Noah you are always welcome. We love you😍😍😀
@loycemukuta51292 жыл бұрын
You are the best 👌 👍 😍 🥰
@mustafaalloo813 жыл бұрын
Thanks a lot for teaching the recipe, golden memories of back home, ndizi mkono wa tembo
@gracepaulo7083 жыл бұрын
Thanks for the tip, it was fun to learn.
@ssk96533 жыл бұрын
Napenda mapishi yako simply tu
@tatukhalid66143 жыл бұрын
Maganda yameenda wapi..?
@Queencecyvlogs3 жыл бұрын
Nimetupa maganda
@estertweve3003 Жыл бұрын
@@Queencecyvlogs Zur ndiz dada
@TheSonofZWANGENDABA3 жыл бұрын
Yam yam yam yam!
@princessqueen61383 жыл бұрын
I so happy to see chicken
@daaron65793 жыл бұрын
Cecy, very nice my dear. Thanks for sharing. Dotto.