Brother mgisa mtebe since I know ur teaching 2010 todate. I never regret.
@alkaullahmediaTz11 күн бұрын
Nimekuelewa sana Mwalimu Mgisa Mtebe
@alkaullahmediaTz11 күн бұрын
if yuh love something set if free tunasemaga ukilipenda UA haulikati unaliacha likue
@adamuyustin703111 күн бұрын
Amen
@jobObwanabarasa14 күн бұрын
Jobobwanabarasa
@user-dk3xi4pz7o19 күн бұрын
Amina Shukurani sana pastrami
@yusuphshadrack916819 күн бұрын
Natamani kuona
@BenjamnFrank22 күн бұрын
Ahsantee sanaa Mwalim Mgisa, Mungu azidi kukutumia zaidii na zaidii viwango na viwango
@BenjamnFrank22 күн бұрын
Ubarikiwee sanaaa
@koladinamahundi554725 күн бұрын
Baba katika jina la YESU NAOMBA utakase damu ya familia yetu katika jina la YESU
@koladinamahundi554725 күн бұрын
AMINA
@HarmonyGreet28 күн бұрын
Mchungaji Bwana asifiwe naomba unisaidie nahitaji mafundisho yako na mahali nipo siwezi kusikiliza redio saa 3 asubuhi
@alimambabazi3666Ай бұрын
Hallelujah Hallelujah Hallelujah 😂❤❤❤
@JacintaMaiyu-ed2mhАй бұрын
Amen
@SiemawnАй бұрын
neno la Mungu ni taa ya miguu yetu; na litumulikie maishani mwetu mwote huku likitupatia maarifa ya kuishi katika dunia hii👏👏🙏
@asaphasaph6415Ай бұрын
Ufunuo wa Yohana 12 9 Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
@nguvuyamaonomediaАй бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@GEOGIOАй бұрын
Mwalimu tunaomba playlist ya roho mtakatifu 🙏🏽 (kumjua, jinsi ya kutembea naye nk)
@williammussa5621Ай бұрын
Amen
@jesusgirl9416Ай бұрын
Mungu akubariki mwalimu
@isihakajongo4832Ай бұрын
MTU NI NAFSI, ROHO NI ASILI AU KANI (NGUVU) YA UHAI, BIBLIA IMEELEWEKA VIBAYA
@jesusgirl9416Ай бұрын
Nimejifunza. Ubarikiwe mwalimu
@nguvuyamaonomediaАй бұрын
🔥🔥🔥🔥
@nguvuyamaonomediaАй бұрын
🔥🔥🔥
@clarakimaro6077Ай бұрын
Mungu wangu naomba unifundishe na kunionesha njia
@clarakimaro6077Ай бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@mamria7Ай бұрын
Tunapataje somo zima?
@Emiliana-tu2cmАй бұрын
🙏🏻🙏🏻
@dainakinyamagoha-go6kfАй бұрын
Namshukuru MUNGU kwa kukuinua na kutupa mafundisho ya kutufumbua macho
@everkivuyo8596Ай бұрын
Asante sana Mungu akubarikie sanaa pastor
@GODisable7573Ай бұрын
Nabatikiwa sana na mafundisho uyafundishayo, natamani kuwa tunapata somo zima🙏🏾🙏🏾 uzidi kubarikiwa na ROHO MTAKATIFU azidi kukupaka mafuta mabichi ya utumishi aliokuitia🙏🏾
@dicksonmusigwa5266Ай бұрын
Ubarikiwe mwalimu kwa kuweka youtube wengi walikuwa wanataman hii
@everkivuyo85962 ай бұрын
Mungu akuinue zaid una madin ya Mungu
@user-hp5uy3gu1s2 ай бұрын
Hallelujah Milele Ukuhani wa Kifalme
@switberthhande43022 ай бұрын
Asante kwa chakula
@SamsonDaniel-vo4dj2 ай бұрын
amen
@rebeccamsonge67692 ай бұрын
Oooyes it's true
@rebeccamsonge67692 ай бұрын
Tunabarikiwa sana
@jerolifesunfloweroil2 ай бұрын
Tunashukuru sana Kwa huduma hii mtumishi, HAKIKA MUNGU ANAJIVUNIA WEWE MTUMISHI
@LilianMbangwa2 ай бұрын
Ameeen Ameeen
@dicksonmusigwa52662 ай бұрын
Ameni
@AnodiusprojestsevelinAnodiuspr2 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba bwana akuinue zaidi
@nancykimaro16852 ай бұрын
Ameen Barikiwa mwalimu
@user-cw4yq7is5h2 ай бұрын
Amen
@user-kp2jf5jc2i2 ай бұрын
Uko deep, nakukubali!
@josephfrancis85712 ай бұрын
Kaka rudi darasani ukaisome vizuri lugha ya kiyunani kuwa inasema nini juu ya kunena kwa lugha naomba namba yako uniandikie ili tufundishane juu ya hili swala ambalo shetani amelifanya kuwa mtego mkubwa Nakuomba tuingie darasani kidogo mimi na wewe ili tuone chimbuko la lugha ya injili ambayo ni kiyunani maana kiswahili kimechukua kutoka kwanye English nayo English imechukua kwa kiyunani sasa twende kwenye lugha mama naomba namba tafadhali.
@josephfrancis85712 ай бұрын
Huu ni uongo na utapeli wa hali ya juu hizo ni lugha za kipepo zisizo na maana usitudanganye kabisa