Namna Gani utaweza kutengeneza hesabu za biashara ya salon
@AliMwambola2 күн бұрын
Nimetunga kitabu kinachoeleza utengenezaji wa hesabu za biashara. Kitabu kinapatikana kupitia WhatsApp 255 716682439
@natemirisho60174 күн бұрын
Boss Salam. Vipindi ni vizuri lalini matangazo mengi. Kama ikiwezekana Acha matangazo katikati ya vipindi. Tangazo liwe moja tuu mwanzo na mwisho. Kazi njema boss
@GraceMlaga5 күн бұрын
Naweza nikaanza na milion moja
@AliMwambola4 күн бұрын
Kama ni mtaji unatakiwa uwe na fedha za: (a) Kulipa gharama za usajili wa biashara na leseni (b) Gharama za pango la sehemu ya biashara (c) Gharama za kununua bidhaa za vipodozi (d) Gharama za kununua vifaa vya kufanyia biashara Million moja inaweza kutosha na inaweza isitoshe. Inategemea unataka kufanya mambo gani
@salummsusa50075 күн бұрын
Asante nimepata maarifa mazuri❤❤❤
@AliMwambola4 күн бұрын
🙏
@niohmaker78611 күн бұрын
Inaonekana tuh mtaji wake ni mkubwa ushanikatisha tamaa maan hapo hadi magari yametajwa 😁😁🤣🤣
@AliMwambola11 күн бұрын
Sio rahisi kuweka makadirio ya mtaji ya kila anayetaka kuanzisha biashara ya gas. Wako wale wenye mitaji mikubwa, mitaji ya kati na mitaji midogo. Hata mwenye mtaji mdogo unaweza kuanzisha biashara ya gas. Jambo la msingi ni kufahamu vigezo vya kukadiria mtaji ambavyo ni vitatu: (a) Malipo ya gharama za kuanzisha biashara ambayo nimeyataja (b) Malipo ya gharama za kuendesha biashara (c) Malipo ya kununua vifaa vya biashara Wewe ndiye mwenye kufanya uamuzi kiasi gani cha fedha unacho kwa kila fungu kati ya hayo mafungu matatu. Kwenye upande wa vifaa nimeweka gari kwa sababu wako wenye uwezo wa kununua gari kwa ajili ya kufanya hiyo biashara. Sio rahisi mambo yote yanayo husu mtaji wa biashara kuelezwa kwenye video moja ya dakika 5 au 7. Kwa habari zaidi kuhusu mtaji nakushauri usome kitabu changu cha mtaji wa biashara ambacho kinaeleza mambo mengi kuhusu mtaji wa biashara. Nakushukuru kwa kueleza wasiwasi wako lakini nakushauri usikate tamaa. Endelea kupata elimu ya ujasiriamali na nina imani utafanikiwa
@PerisNekesa-k5f11 күн бұрын
Hi
@AliMwambola11 күн бұрын
Hi. Karibu Tan Business Channel
@MariaMlewa-z7r14 күн бұрын
nikiwa na m 5 naweza anza kuuza jumla?
@AliMwambola14 күн бұрын
Unaweza kuanzisha biashara ya jumla. Kuanzisha biashara ni jambo zuri lakini jambo zuri zaidi ni kuanzisha biashara ambayo ni endelevu. Hivyo ni muhimu kutekeleza mambo muhimu ya kuanzisha biashara ambayo itakuwa endelevu
@HarounHafidh21 күн бұрын
yah of cause
@AliMwambola18 күн бұрын
🙏
@liannsambu726425 күн бұрын
K
@AliMwambola18 күн бұрын
🙂
@PerisNekesa-k5f25 күн бұрын
Asante
@AliMwambola18 күн бұрын
🙏
@johnchokala4849Ай бұрын
Hujui bado kuchanganua unakariri naku copy 😂😂😂
@johnchokala4849Ай бұрын
😂mzee iyo gharama mbona kama ni duka 3 hivi
@upendonyoni7421Ай бұрын
Wao
@user-hy1fw2xe8pАй бұрын
Nitumie pcha ya pombe Kali zote zlizopangwa Kwa pamoja
@hajihashim4038Ай бұрын
vze
@josephinembise6151Ай бұрын
Natamani ningekutana na wewe sir
@AliMwambolaАй бұрын
Wasiliana nami kupitia WhatsApp 255 716682439
@THREE_ANGLES_MESSAGE.Ай бұрын
MUZIKI UNAHARIBU CONCENTRATION YA KUSIKIKIZA
@AliMwambolaАй бұрын
Ahsante kwa ushauri
@xisco60882 ай бұрын
Asante sana
@AliMwambola2 ай бұрын
Asante 🙏
@JaphetVenance2 ай бұрын
Asante sana
@AliMwambola2 ай бұрын
Asante 🙏
@alexntahiraja29742 ай бұрын
Nachukuwa nafasi hii kukushukuru kwa kazi njema unayoifanya. Siyo Vijaya tu wanaonufaika na mafunzo yenu hata sisi wazazi unatusaidia sana. Mimi sikufanikiwa kuwa na elimu ya juu. Mafundisho unayotoa yanaeleweka hata kwa mtu ambae aliyesoma elimu ya msingi. Nashukuru sana. Nawezaje kujiunga na online training? Ubarikiwe sana .
@AliMwambola2 ай бұрын
Asante kwa pongezi zako 🙏 kuhusu training wasiliana nasi kupitia WhatsApp No. 255 716682439
@Neema-fh1wp2 ай бұрын
Mimi wa kwanza 'kama unapenda faida kwenye biashara yako gonga like hapa twende sawa...
@samwelmwita24312 ай бұрын
Ahsante kwa elimu yako
@AliMwambola2 ай бұрын
Ahsante 🙏
@levenboss2 ай бұрын
Asante sana
@AliMwambola2 ай бұрын
Karibu tena
@oscarclaine58782 ай бұрын
Hii imeeleweka sana.. na kwa wanaoogopa mfano uliowekwa nawashauri kuwa wapole tu.. kwani hizo gharama zote zitaendana na ukubwa wa biashara yako.. Ambapo mimi nimetumia 3M tu kwenye biashara hiyohiyo. Tubaki kwenye hivo vipengele vitatu tajwa
@AliMwambola2 ай бұрын
Ahsante kwa maelezo yako 🙏
@user-th7nj3lu8b2 ай бұрын
Tunakipataje hicho kitabu
@AliMwambola2 ай бұрын
Unapata kitabu kupitia WhatsApp. Wasiliana nasi kupitia WhatsApp Number 255 716682439
@user-th7nj3lu8b2 ай бұрын
Biashara ya duka mtaji sh ngapi
@AliMwambola2 ай бұрын
Hakuna kiasi cha mtaji ambacho kinafaa kwa biashara zote. Ukubwa wa mtaji unategemea ukubwa wa biashara unayotaka kuanzisha na mipango yako kuhusu biashara Jambo la msingi ni kufahamu vigezo 3 ambavyo hutumika kukadiria mtaji wa biashara (a) Fedha za kuanzisha biashara (b) Fedha za kuendesha biashara (c) Fedha za kununua vifaa Kwa melezo zaidi nakushauri usome kitabu changu cha jinsi ya kukadiria mtaji wa biashara. Wasiliana nami kupitia WhatsApp 255 716682439
@joachimsamwel8122 ай бұрын
Shukrani sana mkuu
@AliMwambola2 ай бұрын
Karibu tena 🙏
@user-xf2rv8gn4o2 ай бұрын
Samahani mm nilipo kunamaduka 3 na wanauza za wakubwa tuu kama baby shoppers halipo
@AliMwambola2 ай бұрын
Hiyo ni fursa kwako ya kuanzisha biashara ya nguo za watoto. Nakushauri usome kitabu changu cha jinsi ya kuanzisha biashara ya nguo. Wasiliana nami kupitia WhatsApp 255 716682439
@Mwajumahoya2 ай бұрын
Mm nataka kufungua duka la vipodozi lakini sina elimu ya vipodozi unanisaidiaje 🙏🙏
@AliMwambola2 ай бұрын
Ili lupata elimu ya biashara ya vipodozi, nakushauri usome kitabu changu cha jinsi ya kuanzisha biashara ya vipodozi. Wasiliana nami kupitia WhatsApp 255 716682439
@WinifridaGregory2 ай бұрын
We nae v2 unavyo orodhesha adi una mkatisha mtu tamaa sasa, naona ww unaongelea matajiri
@AliMwambola2 ай бұрын
Hakuna kiasi cha mtaji ambacho kinafaa kwa biashara zote. Ukubwa wa mtaji unategemea ukubwa wa biashara unayotaka kuanzisha na mipango yako kuhusu biashara Jambo la msingi ni kufahamu vigezo 3 ambavyo hutumika kukadiria mtaji wa biashara (a) Fedha za kuanzisha biashara (b) Fedha za kuendesha biashara (c) Fedha za kununua vifaa Kwa melezo zaidi nakushauri usome kitabu changu cha jinsi ya kukadiria mtaji wa biashara. Wasiliana nami kupitia WhatsApp 255 716682439
@paschalimathias2 ай бұрын
Mtaji ni shingqp
@AliMwambola2 ай бұрын
Mtaji unategemea unataka kufanya biashara ya ukubwa gani na mipango yako. Jambo la msingi ni kufahamu vigezo 3 vya kukadiria mtaji: (a) Fedha za kuanzisha biashara (b) Fedha za kuendesha biashara (c) Fedha za kununua vifaa, mashine, nyumba, magari etc