Sasa hii ni Nini kweli?nilikua nathani ni kitu Cha maana kumbe ni ufujaji wa Mali ya umma ttu!!!hamna lolote.
@thulanimashaba84915 ай бұрын
Mashamba yako pande hizo?
@MehmetMtonga-bq5kg5 ай бұрын
Kwaiyo tufanyeje kama mkurugenzi
@omaryhussein38145 ай бұрын
Tuwekee na ya mang'ula
@alphoncinadomician37756 ай бұрын
Hongera Sana Kwa kaz nzuri
@JitihadaMasimba-ng5mv6 ай бұрын
Mbona hyo habari imetumwa kipande vipi?
@NumberOneProductions6 ай бұрын
Hongera sana Kaka Jamal
@danielnyari11196 ай бұрын
Kazi nzr
@AngelMatale6 ай бұрын
Inapendeza inavyochezwa kwa mduara,siyo hivyo. Nazani hao si wapogoro watakuw wanakop na kupest
@JitihadaMasimba-ng5mv7 ай бұрын
Tsh ngapi na atuletee huku Mbingu
@Africa.177 ай бұрын
Limejengwa mlimba seheem gani hili jengo
@christinainnocent31847 ай бұрын
Hawa sio Wapogoro bwana hawajui sangura na huwa hawavai hivyo
@lukagulagekidehele43797 ай бұрын
MLA ndizi husahau, bali mtupu maganda husahau, je Shukrani hizo kwa Mkurugenzi anayehama ni ushahidi kwamba kilichofanya hayo ni fedha zake za mfukoni ama mapato ya ndani ya Halmashauri na ziada kutoka serikali kuu? Kikubwa ninachoendelea kikisisitiza kwa umri wangu na uzoefu wangu, kwamba kila kilichofanyika {H} ya Mlimba kimetokana labda na usimamizi bora wa wawakilishi wetu ambao hii ni Halmashauri yao, wawepo madarakani na hata wakistaafu. Kumbe Mkurugenzi ni mtekelezaji tu wa ilani ya mathubuti ya ccm. Yeye alikuta kila kitu lipo vikiwemo vyanzo vya mapato na mipango, nisomeke hivyo tafadhali.
@jacklinembuya27497 ай бұрын
Hongera sana
@trueinkertv53938 ай бұрын
Mimi naomba tender ya Kuprint tshirt zote za uchaguzi
@JitihadaMasimba-ng5mv8 ай бұрын
Yes our Dream become True soon INSHAALLAH
@seciliapaul3668 ай бұрын
Big up
@mlimbadc428 ай бұрын
Thank you.
@naimannganunga40729 ай бұрын
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema
@mlimbadc429 ай бұрын
Karibu useme
@mezaally90969 ай бұрын
Kwenye furaha hakuna kujua au kutojua. Waache wafurahie sangura
@mlimbadc429 ай бұрын
Hakika
@africandarling69258 ай бұрын
Ha ha haaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hiyo KIBOKO dooo AISSEH Htr sana
@mariyammariyam435710 ай бұрын
Mnache.vibaya.kwaza,hamjui
@mariyammariyam435710 ай бұрын
Hiyo,sanguragani,hainamwerukeno .ngomayetu
@rashidmwaya235911 ай бұрын
Mlimba ni 🔥
@mlimbadc4211 ай бұрын
Karibu sana sana
@chalreskajiru967711 ай бұрын
Hongera sana
@LeokadiaKabandika-my8td Жыл бұрын
Vijana tuamke oyeeeeee
@Losambofc-gy7bs Жыл бұрын
Blessed
@rajabdimosso1061 Жыл бұрын
Hongereni sn Mlimba
@mlimbadc42 Жыл бұрын
Asante sana sana Kiongozi
@angelasteven6015 Жыл бұрын
Ahsanteni sana kwa fursa hii.. "MAENDELEO YA UTALII NI MAENDELEO YA TAIFA"👏🇹🇿
@trueinkertv5393 Жыл бұрын
Mlimba tuko juu saba
@THEONEC.S Жыл бұрын
Sina Mashaka na utendaji Wa Serioali yetu Mlimba Dc
@christinaemily146 Жыл бұрын
bableynzaluke
@amosihonde4460 Жыл бұрын
Hongera Sana viongozi wetu wa Mlimba Morogoro
@mlimbadc42 Жыл бұрын
Asante
@lukosielly4411 Жыл бұрын
Safi
@fridantandu6854 Жыл бұрын
Uchindile
@mlimbadc42 Жыл бұрын
Karibu
@kleidanyaulingo5027 Жыл бұрын
Hapa ni wapi
@mlimbadc42 Жыл бұрын
Uchindile
@RechoMgaya-mo5pp3 ай бұрын
Nyumbn jmon
@amosihonde4460 Жыл бұрын
Hongera Sana H/W Yetu ya Mlimba Good job Hayo ndiyo maendeleo ya Kasi