Nakubal elimu na ushauri tupo pamoja na nyinyi kiteng cha elimu ya afya PAMOJA TUNAWEZA💪💯✌
@suleimansaid-rb1knАй бұрын
Asante sana Mhe. Sisi tuko pamoja na wewe na vijana hawa
@ZamraMatlubАй бұрын
Kaz nzur HPU allah awalpe
@feiswalsalim2117Ай бұрын
aslmk mheshimiwa hilo nibombi tu utbulishi basi naomb ujiano na wahudumiawa wakuwe bakadi zajua kuwa utabulishi wao utajulikana kupiatia utowaji huduma kupitia kadi kusuka kupitia mfumo huo
@mimalee5403Ай бұрын
Kwanini walojitolea katoka ngaz ya jamii sasa wanmbiwa waombe kaz wakt wao walishspewa kipao mbele?
@besthonney32322 ай бұрын
Maji safi hatupati
@user-sr1uy4zl4z2 ай бұрын
thank you for every health , nurses are making an incredible contribution on every stage of our lives, I want to thank the thousands of nurses like her in towns and cities who make an amazing contribution to our lives.
@emilychambua12133 ай бұрын
Kazi nzuri
@LilianSanga-rr1yu3 ай бұрын
Tunaomba kupewa kipaumbele tulio kuwepo mwanzoni
@mohamedhajj98814 ай бұрын
Maradhi haya yanajulikana na wachache.. Kichocho na matende
@rashidally11494 ай бұрын
Munawapa watu wachache halafu munajuumuisha wizara nzima wakt Pemba munawatenga
@mohamedhajj98814 ай бұрын
Haya ndio majibu ya kitaalam kwa mkemia sio kama wale.. Wanaodandia gari kwa mbele...
@user-mx3vu4gy2x4 ай бұрын
Nice
@user-vr4pg3rf2u5 ай бұрын
Ewa kazi nzur❤
@user-ze8jz4pe7j5 ай бұрын
Tumekusikia mhedhimiwa naibu waziri wetu afya kwanza kwa wanannchi malipo baadae
@user-mx3vu4gy2x5 ай бұрын
Nahitaki
@user-mx3vu4gy2x5 ай бұрын
Nahitaj
@user-mx3vu4gy2x5 ай бұрын
Nahitaji
@jumapiliarcein56255 ай бұрын
Rabanah taqabal dua
@lusakaone77826 ай бұрын
Hongera, ila bado kufanya presentation ni shida kwa watu wengi
@nasramirajialy43016 ай бұрын
Hakika elimu inahitajika zaidi kwa wanajamii hivyo ni kuwapa elimu zaidi CHWs ili kuweza kufikisha elimu kwa jamii ili waweze kufika vituo vya afya kwa wakati linapotokea tatizo
@nasramirajialy43016 ай бұрын
Hakika elimu inahitajika zaidi kwa wanajamii hivyo ni kuwapa elimu zaidi CHWs ili kuweza kufikisha elimu kwa jamii ili waweze kufika vituo vya afya kwa wakati linapotokea tatizo
@mohammedmnyimbi36886 ай бұрын
Asante kiongozi kw kugusa changamoto za DHMT moja kw moja.tunawategemea na kuwaamini wakuu wetu.kazi iendelee.
@nasramirajialy43016 ай бұрын
hakika nao tunataka tuuone jamani
@kingayzaq80767 ай бұрын
Uzi Island Oyee.! 🇹🇿
@kingayzaq80767 ай бұрын
Awali ya yote Mimi nimefurah sana baada ya kumuona MH' Nassor Mazrui kwa Kuvaa hiko kitenge kilichotolewa na CHWs 🇹🇿
@user-bc4cz7vo1x7 ай бұрын
Hii ipo SAWA sana Asante sana Mr President ndugu Husein Mwinyi.
@user-ci4zj3kz7j7 ай бұрын
Tunaomba utenzi tafadhali
@user-ci4zj3kz7j7 ай бұрын
Tutumie na utenzi wa chv tafadhali
@nasramirajialy43017 ай бұрын
tunaomba utenzi mutuwekee
@halimahassankipanga7 ай бұрын
❤❤❤
@nasramirajialy43017 ай бұрын
hongera sana wizara ya afya
@mustafaabdulhafidh32579 ай бұрын
Wcs making waves #zanzibar, God bless
@marioumhadid30769 ай бұрын
Go dada👏👏👏 make Mama proud 🫶🏼
@KhojaNasri9 ай бұрын
Nice
@mkubwaalikheir5359 ай бұрын
Hahahahahha
@fatmajuma75559 ай бұрын
Hatari kwa kweli ila kwa spitali binafsi kosa c la mtumishi wa maabara bali la mmiliki wa spitali hua wanaambiwa lkn wamiliki wanakua wakaidi na bajeti nyingi
@salumsuhaila778910 ай бұрын
Ma sha Allah, tuna imani naye kubwa raisi wetu Mh. Dr Hussein Ali Mwinyi, Allah ampe umri mrefu wenye manufaa in sha Allah
@asiafadhilmakame9532 Жыл бұрын
Cvh hongreni kwa kazi nzuri
@suleimanfaki1764 Жыл бұрын
Sauti Iko chini saaana
@asiafadhilmakame9532 Жыл бұрын
Hongera Sana Dada kwa kujiamini na kuwawakilisha vyema wahudumu wa Afya ya jamii katika wilaya yako bigup.
@asiafadhilmakame9532 Жыл бұрын
Hongereni CHV wa kaskazini A kwa kuchapaka kazi vizuri Sasa kilichobakia serekali izione jitihada zenu naiweze kuwaunga mkono kutokana na kazi ngumu mnazo zifanya
@fadhilkhatibu9220 Жыл бұрын
Wee mikoti weye kunatuzuilia maji yetu kwakuwa yatoka Pemba inshaallah utakuja yafukuw Kwa meno yale
@abdallahkassim8600 Жыл бұрын
Bora muwape elimu naibu wazir juzi anamwmbia mtumzima amjukuu anamwbia ww mzee mkaidi sna kwkweli nilimia sna ktk kisima cha chemuchemu msuka
@khamisali5978 Жыл бұрын
Kazi yenu nyesi ndo mana mnaweza kuenda mda wowote na unasafiri mnao, kwa hio possible, mgejaribu kuenda kwa gari ya abiria. Pia wakati mnapanga mikakati pia mkumbuke kuwachangia nauli watumishi, vyenginenyo wanachopewa kitaenda ktk nauli.