NEEMA YA UISLAMU (KHUTBA YA IJUMAA)
26:21
NGUZO ZA TAWAFU (1) NIA
8:24
Ай бұрын
MATENDO YA HIJJA (2)
7:18
Ай бұрын
MATENDO YA HIJJA (1)
7:41
Ай бұрын
SUNNA ZA KUSIMAMA AL-MUZDALIFA
8:03
MAFUNZO YA HIJJA NO.[2]
11:13
Ай бұрын
MAFUNZO YA HIJJA
10:35
Ай бұрын
KHUTBA YA IJUMAA :MADA (HASADI)
26:36
TUSIDHANI NI SHARI BALI NI KHERI.
4:06
Пікірлер
@omarmohammad1528
@omarmohammad1528 3 күн бұрын
Naomba Dalili sheikh
@SarafinaNestory
@SarafinaNestory 4 күн бұрын
Mashalaah
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 6 күн бұрын
Walaykum msalam warahamatullah wabarakatuh shukran shrkhe kutujuza. Mungu akulipe
@fatimahsoppah623
@fatimahsoppah623 22 күн бұрын
Na jee kama hakutoa kitu ila ulimfichia aibu ukasema alilipa ili ndoa ipite...jee hapo pana ndoa sheikh
@kautharjay5868
@kautharjay5868 Ай бұрын
shukran Allah atufanyie wepes
@user-rq3mj2mz7k
@user-rq3mj2mz7k Ай бұрын
Mmh!kuna viraa hatukatai lakini hiyo hati iliyoandikiwa hiyo mas haf ni kati ya hati zipi katika hivo viraa? Muitazame vizuri hiyo mas haf, kosa ya hiyo mashaf imeandikwa kwa hati ya lahaja ya kimoroco na wala si kwa hati ya warsh. Niwaombe t na nyie mukarejee vizuri aina za viraa na khatwi zake halafu muje mutuelimishe tena.
@AbJsm
@AbJsm Ай бұрын
Talaka Sio TAMKO - Talaka Haiwi Kwa TAMKO Sawa Ukitamtamkia Mara Moja au Mara Mia
@AbumndhualijumaAbumndhua-vu8bx
@AbumndhualijumaAbumndhua-vu8bx Ай бұрын
Someniacheniujanjakwenyedinimsioyajuayaacheni
@AbumndhualijumaAbumndhua-vu8bx
@AbumndhualijumaAbumndhua-vu8bx Ай бұрын
Dadahuyoakasomeasikurupukeasivamiemamboyawatudinisiyompiraasomemamboyaviraaelimusioujanja
@hawakiza6067
@hawakiza6067 2 ай бұрын
Wekeni msahafu uliozoeleka
@subralugege7019
@subralugege7019 2 ай бұрын
Kama alkua anafahamu auamepoteza fahamu
@hassanmitayo1875
@hassanmitayo1875 2 ай бұрын
Maswahaba walisoma Quran iliyoandikwa kwa hatyi ya wapi? na kwa nini tusifuate hiyo?, mnatuchanganya na usomi wenu, maana ukijiuliza maswali mengi hauingii akilini
@mwanamkemuislamutv9369
@mwanamkemuislamutv9369 Ай бұрын
Tatizo elimu..mtu akielimika basi hawi na mshangao kama huu.
@DR.SAIFILLAH.5363
@DR.SAIFILLAH.5363 2 ай бұрын
Shukran
@samirhumud7408
@samirhumud7408 2 ай бұрын
Wew soma dini mbona misahafu hiyo ipo kibao nchi tofauti ,imeandikwa kwa kiraa cha Arshi.Tatizo tz tunasoma misahafu ya aina 1 tu
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 2 ай бұрын
Ni bora iondolewe kuliko kuwepo
@hawakiza6067
@hawakiza6067 2 ай бұрын
Bora waweke. Ilio zoeleka
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 2 ай бұрын
@@hawakiza6067 kabisa maneno yako
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 2 ай бұрын
Inayo makosa Kwa sababu misahafu yote ina juzuu 30 mbona huo una juzuu 60
@samirhumud7408
@samirhumud7408 2 ай бұрын
Soma dini acha kukurupuka.Hamna kosa 60 ni hizb na wala si juzuu.Juzuu 1 ina hizbu 2.
@mwanamkemuislamutv9369
@mwanamkemuislamutv9369 2 ай бұрын
Ikiwa unajuzuu sitini hebu twambie ni juzuu ipi na ipi imeongezeka na sura zipi zimeongezeka ndani ya hizo juzuu 30 nyengine??
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 2 ай бұрын
@@mwanamkemuislamutv9369 tuwa ulize wao walio sema ina juzuu 60
@abdullahjuma3926
@abdullahjuma3926 2 ай бұрын
Maalim hio lengo kubwa ni kizazi kijacho ili kianze kujikonfuse wenyewe kwa wenyewe ili lengo Lau la kuchafua lifanikiwe. Jiulize mbona lugha Yao haina vitu kama hivo?
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 ай бұрын
Kukomfyuz vipi wakati hivyo visomo vipo tangu enzi za mtume saw
@samirhumud7408
@samirhumud7408 2 ай бұрын
Kwani kuna kizazi hawaruhusiwi kusoma ?
@ShaomoShahomi
@ShaomoShahomi 2 ай бұрын
Shukuran
@SUZANASUZANA-ku3jk
@SUZANASUZANA-ku3jk 2 ай бұрын
Shukran sheh ubarikiwe
@abdulazizal-mazroui3363
@abdulazizal-mazroui3363 2 ай бұрын
Masha allah
@user-dn3jh6oz8s
@user-dn3jh6oz8s 2 ай бұрын
Masha Allah Allah akuhifadhi
@marobaraka
@marobaraka 2 ай бұрын
kzbin.info4ernUyYydaY?si=BupQ_9Z3WrkhYjRt
@aliali-gw5pq
@aliali-gw5pq 3 ай бұрын
Mm nataka nikukumbushe mtume alimtuma MUADH Yemen peke yake (AHAD) kwenda kufundisha tawhid swala na zakaat, nyinyi khawariji riwaya AHAD hamzikubali ktk mas'ala ya tawhid na swala vp apo?
@adamcity9441
@adamcity9441 2 ай бұрын
Muadh alikuwa kiongozi wa msafara hakuwa peke yake.
@mariammaulidlimo9332
@mariammaulidlimo9332 3 ай бұрын
Shukrani kwa ilim
@user-we4ko2zf8w
@user-we4ko2zf8w 3 ай бұрын
Shk nimekufam natuko pamoja
@selemankishema5780
@selemankishema5780 3 ай бұрын
We mpumbavu? unafundisha na unatafsiri hizo khadithi unavyotaka wewe na masheikh wako
@mwanamkemuislamutv9369
@mwanamkemuislamutv9369 3 ай бұрын
Hatamki neno ila karibu yake yupo mwangalizi tayari. (Qaaf:18)
@user-yp4pq2lo4b
@user-yp4pq2lo4b 2 ай бұрын
Muislam anatakiwa kuwa na adabu wewe unamuita mpumbavu adabu huna wewe na adabu ni chombo cha kuweka elimu kama huna adabu kila siku utasoma na elimu yako haitokaa kwasababu chombo chako kinavuja
@suleymanseif972
@suleymanseif972 3 ай бұрын
Mashallah Allah akulipe kheri
@TabithaBeqaa
@TabithaBeqaa 3 ай бұрын
Takbir
@EshaAli-ts1xg
@EshaAli-ts1xg 29 күн бұрын
Allahu akbar
@SleepyMakeup-yu4mz
@SleepyMakeup-yu4mz 3 ай бұрын
Shukran nmeelew
@user-ju4ef5pj8z
@user-ju4ef5pj8z 3 ай бұрын
Maashaallah shekhe pokea zawadi yako🌹
@nchandzessaid680
@nchandzessaid680 3 ай бұрын
MASHALLAH Shkuran MUNGU hakujalia khre n ss tujifize zaid INSHAALLAH 🤲🤲
@user-pp3vo8rw5j
@user-pp3vo8rw5j 3 ай бұрын
Asante sana allaha akupe wepesi wakutufunza zaidi inshallah
@ZaharaJama-cn7kp
@ZaharaJama-cn7kp 3 ай бұрын
Shukran sana allah akujalie kwa mafundisho haya
@RiddleGenious
@RiddleGenious 3 ай бұрын
JAZAKALLAH KHARYAN
@user-ng5dr7mn1d
@user-ng5dr7mn1d 4 ай бұрын
asnte mkuu upo nchi gani ww umepotea
@suleimanzahor6878
@suleimanzahor6878 4 ай бұрын
Mashaallah ya shekhe
@MohamefMullah
@MohamefMullah 4 ай бұрын
Sheikhe kunyenyua mikono kuweka kifuani kuachia mikono sio faradhi wala sunna kwa hivyo hakukuwa na haja ya mtume kumfundisha aliekosea kuswali, kosa lake swala yake haikuwa na utulivu, lakini tunakushukuru kwa kutuelimisha
@seifseif24
@seifseif24 4 ай бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh Mashaallah lakin kunakitu sijakifahamu hapo ulisoma hadithi y mwanzo kuwa aliwekwa sawa swahaba kwenye kufunga kwake mikono uje wakushoto halafu juu yke wakulia aweke juu y kifua chake kimtazamo huyo swahaba kapewa elimu hapo au sio kuwa kufunga mikono ipo kwenye swala naam au sio La pili: Ulisoma hadithi kuwa mtu aliredeshwa n mtume kwenye swala yke kuwa hakuswali unavyo stahiki au sio hasa kama ww unaweza kuswali kama ulivyo Sema ivyo hadithi maana hapo sijasikia idhkari z rukuu wala sujuud wala tashahudi na ww je unaswali hivyo basi kitahidi kuzifatilia kiundani hadithi Jazakallahu kher
@user-cs7ew2bx6b
@user-cs7ew2bx6b 4 ай бұрын
Kama huna talaka mbili bila ya sababu
@user-ue7oj5xr8e
@user-ue7oj5xr8e 5 ай бұрын
aslm alykm,nami pia nimeskia wingi wake ni siku 60 uchache wake ni siku 40 na ndo nnnavyo fanya je nilifanya makosa tunaomba utufafanulie shekhe hapo
@faroukalmaamary9442
@faroukalmaamary9442 5 ай бұрын
Assallam Alaykum Shekh,Samahani mbona mm nimesikia mwisho wake ni siku 60 baada ya hapo hiyo ni damu itakuwa ni damu ya ugonjwa ss hapo kama sijaelewa naomba unieleweshe
@mwanamkemuislamutv9369
@mwanamkemuislamutv9369 5 ай бұрын
Ipo kauli ya baadhi ya madhehebu kama madhehebu ya shafi na maalik wanasema mwisho wake ni siku sitini, ila wingi wa wanachuoni wa shafi wanasema ni arbaini, na hii kauli ya 40 ni ya ibadhi na madhehebu ya hanafiya na hanaabila. Kwa hiyo kauli zote zipo utaangalia fiqhi ya madhebu yako unaweza ukafuata. Allah ndio mjuzi zaidi.
@S.SWarfa
@S.SWarfa 5 ай бұрын
Ma Sha Allah akuzidishie Allah elimu yenye manufaa kwa uma wa kiislamu.
@MohamefMullah
@MohamefMullah 5 ай бұрын
Talaka 3 za pamoja kuna medheikhe wengi na wanavyuoni wengi hawakubaliani nalo na katika wasiokubaliana na talaka 3 kuwa ni 3 ,mmoja wapo ni sheikhe Nurdeen kishki nae ana mchango mkubwa juu ya kadhia hii,kama masheikhe mulitakiwa mutowe ilimu kwa wana ndoa waache mchezo huu huu aliozungumza Saiydina Omar wa kuacha talaka 3 kwa pamoja na sio kwenda kinyume na sunna ya mtume maana talaka tatu zimeanza wakati wa saydina Omar Tufuate Quraan na sunna Talaka anazozitambua M,mungu ni Talaka 3 rejeea moja baada ya nyengine na ndio utazikuta ndani ya Quraan tuguate sunna
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl 3 ай бұрын
Sheikh nurdeen kishki yeye sio mwanachuoni Bali yeye ni mlinganiaji na kama ipoo hiyoo kauli ulioisema wewe basi kauli hiyoo Haina nguvu ,Kwa sababu mtume s.a.w amesema mambo matatu ukweli wake huwa ni ukweli na uwongo wake hua ni ukweli akataka talaka ,ndoa na kumrejea mwanamke ,kwahiyoo unaposema umemuacha MKE talaka tatu basi hpo hakuna uwongo ndani yake mazali umetamka mwenyewe Kwa ulimi wako ,
@EricabrunaSousayaorrou
@EricabrunaSousayaorrou 2 ай бұрын
Yaorrou
@MohamefMullah
@MohamefMullah 5 ай бұрын
Hakuna kukubaliana kitu ambacho mtume hakufanya,talaka tatu kwa pamoja ndani ya Quraan hakuna wala hadithi ya mtume pia hakuna,talaka tatu ni rai ya saydina Omar baada ya kuonq watu wanachezea talaka,lakini enzi ya mtume hakukua na talaka 3 wala wakati wa saydina Abuubakar sasa tuache sunna ya mtume tuchukuwe fikra za Saydina Omar masheikhe kuweni wakweli jee ndani ya Quraani ni sura gani aya gani imetaja talaka 3 au hadith ya mtume hata dhaifu ndoa ni ibada ndoa imeingia katika hukmu za dini mtume ameondoka dini imekamilika,,sass wstuambia juhudi na maarifa ya wanavyuoni,mwanachuoni mkubwa ni mtume,Kisa kifupi,kuna swahaba jina nimelisahau alimuacha mke wake talaka 3 baadae huyu swahaba akaenda kwa mtume huku akilalamika akimwambia nimemuacha mke wangu talaka 3 mtume wala hajamuuliza maswali mengi,bali alimwambia jee bado unampenda,akamwambia ikiwa bado unampenda unaweza kumrejeea na akamwamnia hata ingekuwa ni talaka 100 ingehesabika moja,
@user-yn9dr7tm9y
@user-yn9dr7tm9y 6 ай бұрын
Maashallah
@user-cy1od5xr8x
@user-cy1od5xr8x 6 ай бұрын
Nawapenda sana IBADH wanatahadhari sana katka mambo ya dini kuliko dhehebu lolote duniani kwa utafiti wangu
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 6 ай бұрын
Mashaallah... barakallah fiykum shekh na ostadh wngu shaaban albatwashy
@user-bp9mb9ve4i
@user-bp9mb9ve4i 7 ай бұрын
Asante kwakutufunza