Huyo nasri muongo.. abuya ni winga ya kushoto hata kenya anachezaga hivyo. Japo namba 10 anaweza kuicheza
@AbisinaRashidi-c8d55 минут бұрын
Coastal ni wasenge tamaa mbona mamnyeto mlikopwa mbwa nyie na mpaka Leo hamjalipwa fara hawa mashoga sana
@josephfrank44463 сағат бұрын
😂😂😂kitawakuta
@taucdulle74607 сағат бұрын
Anajikanyagaaa😂😂😂daaah Na baada iyo pesa kuingia hawakujibu walikaa kimya😂😂waache kumjandamiza mtoto wa wa watu
@taucdulle74607 сағат бұрын
Yani uyu jamaaa ni muongooo😂😂😂
@danielmsoma47418 сағат бұрын
HAYAWAHUSU
@robertedward199210 сағат бұрын
Hapo ndio mtajuwa hao wanaowashawishi kma hamuijui Simba.
@vascombembela363210 сағат бұрын
Mbona maelezo ya mwanzo na Leo yanakinzana kabisa? Mwanzo walisema club haijalipwa pesa yote, Leo wanasema mchezaji alisema hajalipwa pesa yote !ajabu sana yaani hata ukimsikiliza msemaji unaona Tu kwamba kuna mahali wamejichanganya ngoja tusubiri tuone Nani mkweli?
@iampantah928410 сағат бұрын
😂😂😂 pacome, aziz, muda na max ni below 30 yrs, huyu mchambuz anamaliza mshahar wa boss tu
@ahmedalsaadi71089 сағат бұрын
Wote hao hawajafika 30
@AshimuMuhammadСағат бұрын
We muongo ndugu
@iddiramadhan11 сағат бұрын
Achani zenu tamaa mbaya munoooo
@haidhabushiri955811 сағат бұрын
Eti mudathiri umri umeenda
@GodfreyJames-zt6ig11 сағат бұрын
Tamaa ni mbaya chamoto mtakiona
@user-bt6ep3yb2h12 сағат бұрын
Mkude?.
@DM_1512 сағат бұрын
Tamaa mbaya cost union kucheleweshwa kwa hela siku 9 mna zingua dirisha lilikua halijafunguliwa, nb mwamnyeto walikaa mwaka mzima wakalipwa inamaana mwamnyeto hakua wamaana kwao? Waache sarakasi
@MzeewaYanga-hm8jq12 сағат бұрын
Mwamba kabisa uy price ki pakamwe😂😂😂😂😂
@drallan687913 сағат бұрын
manula aachwe alituhujumu no wonder hatupo champion league
@GabrielMkuki13 сағат бұрын
Viongozi wa tff ndo walioanzisha maana ndo wanataka kumuuza
@hamisijuma501013 сағат бұрын
Cost wanajikanyaga
@tempochoir13 сағат бұрын
Coastal acheni janja janja ....soka letu halipo huko kwa sasa ..
@rexgodwill735313 сағат бұрын
Coastal hamna viongozi.. Mpira wa miguu ukiwa timu kubwa lazima ufuate sheria siyo uswahili uswahili.. Mnaidumaza timu kwa hizo akili zenu za ubabe wa kimbumbumbu
@jonamnyone801413 сағат бұрын
Coastal mmefanya uhuni na mmeponzwa na tamaa. Mlipokubaliana na Simba hamkuwa na deal la Belgium
@nkoydavid965813 сағат бұрын
Hilo dili la ubelgiji ni uongo uhakika ni Haowanaojiita Wabelgiji ni Yanga walimshawishi mchezaji ..ndio maana walikuwa wameamua kumtema Gift Fred ila mambo yamekuwa magumu wanataka wamrudishe Fred
@mwanangusana12 сағат бұрын
@@nkoydavid9658😂😂😂😂 yanga hawana shida na lawii .... Pambaneni na hali zenu 😂😂😂 ... Yanga imevuka kwenye hatua za hovyooo😂😂😂
@muksinimbaruku123311 сағат бұрын
Huna akili usajili wa ndani utafananisha lawi na nani kwa beki?@@mwanangusana
@SaidAlly-uh4qw13 сағат бұрын
Tff hawana budi kwa simba kuna sheria inatumika inaitwa BUSARA wataitumia kuinyonga coastal Union
@monelayongola41930 минут бұрын
Nyie ndio mnawarubuni Watu , HAKUNA Cha busara Bali Kuna utaratibu na kanuni. Tatizo lenu mnawasikiliza COASTAL UNION pekee na hata Hawa wachambuzi wanafeli. Nilazima ubalansi stori kwa KUHOJI pande zote. UKWELI nikua , Simba walishamalizana na kukamilisha kila kitu. PESA ukiicheleweshwa kidogo, HURUHUSIWI KUVUNJA mkataba. INATAKIWA kumkumbusha mnunuzi na kumpa siku 10 ukisubiria Na ndio Simba walitakiwa kulipa pesa, Mwisho tarehe 31/06/2024 Ila walichelewa na hatimaye wakakamilisha tarehe 08/07/2024. LAWI Ni Mali halali ya Simba. Sio kwa busara Bali kwa kanuni na Sheria. Kukawiza pesa hakuwapi uhalali Coastal kuvunja mkataba. Walitakiwa kuwaandikia Simba barua na kuituma kwa email. COASTAL hawakufanya hayo. Na Simba hawakuzidisha siku 10 Tena . AHSANTE
@ernestkamata255513 сағат бұрын
Mtaongea mengi
@user-tm3wk7qt4h14 сағат бұрын
Kimenuka
@williamkajala800514 сағат бұрын
Subilieni Iwanyeshee, Simmeyataka?
@DanielChaula22 сағат бұрын
Urefu nikitu Bora pia Ako nacho
@suleimanmwenyemvua995Күн бұрын
Wachambuzi... bado mtaielewa tu YANGA... Kwani Yanga ilipata shidaa wakati wa lipoumia wachezaji wake.ndiyo maana ya usajili huo
@alexanderfute4559Күн бұрын
Ikumbukwe haya ni mapemdekezo ya kocha na ndio alimhitaji
@ZakariaWitalaКүн бұрын
Inshallah mwaka huu tunaweza kuchukua ubingwa
@dr.edmundbmgeni486Күн бұрын
Yanga msimu huu anachukua Makombe yote ya Ndani. CAF champions league Yanga anacheza Nusu finali. Keep in mind this, you will remember.
@dr.edmundbmgeni486Күн бұрын
Naamini benchi la ufundi la Yanga wako very strategic. Wachambuzi chungeni maneno yenu. Siku Moja mnaweza jikuta mnatamani kuacha uchambuzi. Mtamwelewa tu Gamond, just wait.
@elkanangosha9588Күн бұрын
Shabalala naye ana makosa mengi sana,asi sifiwe sana,shabalala amehusika naye kwenye kujifunga mara nyingi pia
@tempochoirКүн бұрын
Na kwa nini Simba walisajili ASANTE KWASI?!
@tempochoirКүн бұрын
Geoff upo sahihi sana...Kapombe ni longtime sana kwenye MAJERAHA...wengine hapo wameanza uchambuzi juzi...akumbuke kwa nini Simba walisajili Zana Colibali...??!
@ladislausmakarious2023Күн бұрын
Jfdd 18:42 😊ds
@user-ps6wm2qm4fКүн бұрын
Hili lichama kiburi sana
@user-qi3wv8sf5jКүн бұрын
Sio KWELI,duke ni winga WEWE wa pande zote,Sifa yake KUBWA ni pumzi na kukaba
@yohanamabula7088Күн бұрын
Alikamwe limemugusa maana wanajua wanachokifanya na makolo walifubgwa kwa sababu ya maduka . Master yuko sahihi
@saidsalum6101Күн бұрын
Inshaallah mungu isaidie simba
@zeddymourice4249Күн бұрын
Mwili jumba akili kisoda😂😂😂😂
@RashidiNyinzaКүн бұрын
😢uyu nasri wachezaj wa yanga wote anawatilia mashaka sjajua kwann atuambie labda alitaka yanga anamsajili nan
@kolosii4351Күн бұрын
Kuelewa huhitaji Ds 2. Hapo funguo alishatia sahihi yanga mapema.
@worldherotvКүн бұрын
Wachambuzi wa kisasa hawana mambo ya namba ten sijui six tena
@haidhabushiri9558Күн бұрын
NASRI sometimes unazingua uyo Kacheza winga
@proisolution7166Күн бұрын
hapa nani yupo sahihi tatizo ya hawa waandishi wengi wenye upenzi na simba walizoea short cut za friends of simba,ndiyo utasikia wanaongelea uchawi,bahasha,kwa kuwa historia ina wahukumu.hapo kuna mwanadada alianzisha mchango wa mzawa kisa eti mayele,lkn enzi za akina bocco na kagere uzawa hatujawi kuusikia,lkn enzi za msuva na ngoma uzawa ulianza.
@rebmannminja3671Күн бұрын
Chama in Young Africans! Why not?
@brownmasai774Күн бұрын
Brother Kamwe, inasemekana kuwa ktk mambo yaliyomfanya Nabii Issa ibin Mariam amchaguwe Yuda Iskariot kuwa mmoja wa wafuasi wake ni pamoja na nidhamu yake Yuda. Imasemekana hata mkoba wa fedha za matumizi yao slikabidhiwa Yuda. Lakini tazama alichokifanya Yuda dhidi ya Nabii lilipofikia suala la utajiri binafsi!!!