Looking good follow back done God bless you ❤🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🙏🤳
@BoniphaceBarackaАй бұрын
Naomba na ya nne
@NasraAlly-vx4yhАй бұрын
Nice ❤
@user-uh3eg5cj2rАй бұрын
Mh! SIJUI kama kawe kipindi cha uchaguzi mambo yaliuwaaje?
@gracenyangusi62302 ай бұрын
Kwakweli. Unielewe au usinielewe hainisaidii. Ninachotaka Mungu anasema nini juu yangu.
@inno_tz2 ай бұрын
Amina Baba
@PendoSamson-rr8uy2 ай бұрын
Aminaaa kubwaaa baba
@mariafranklyimo64062 ай бұрын
Mungu atututetee
@rukiyamohammed29452 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@allyjumarashid60953 ай бұрын
😂 ASALAM ALAYKUM NDUGU ZANGUNI KUULIZA SI UJINGA SWALI LANGU KWENU NI KUHUSU MAFURIKO HAYA MAJI YA MAFURIKO AMBAYO YANATOKEA SEHEMU MBALI MBALI YANA KWENDA WAPI HASWA AMBAKO HAKUJAI MAANA IKIWA HAYA MAFURIKO SEHEMU AMBAZO YANATOKEA YANA LETA MADHARA MENGI JE HUKO YAENDAKO MBONA HATUJASIKIA NAKO YAMELETA MADHARA HUKO NA KAMA YANAENDA BAHARINI MBONA BAHARI HAILETI MAFURIKO
@jameelajameela5953 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@yusuphmaginya58593 ай бұрын
Kazi ni nzuri sana ila niwatie moyo kutafuta Camera yenye uwezo, hii ni ndogo sana
@yusuphmaginya58594 ай бұрын
Good, hapo sawa
@gunteakarweh19924 ай бұрын
Unafanana na sifaeli mwambuka mungu akubariki
@jdanny4974 ай бұрын
Fake MP
@muhamedjaffar56534 ай бұрын
Lakin mlikua wapi kuzuia toka mwanzo .achen kujisafisha hali vitu vishaingia.mtakuja kuwekewa na sumu ndani .awatoi vitu bure bila faida .wana long plan .kipindi cha magufur akukua na vitu vya kipumbav .
@iddikibwana91854 ай бұрын
Well said
@user-td4kg7sw7l4 ай бұрын
Wazir nakupenda kwaajili ya Alaa
@racheljoseph94024 ай бұрын
❤❤❤❤❤nimekupenda bureeee basheee
@patkrinsliy73894 ай бұрын
Hatariii kwanza kabisa hizo Non governmental organization taasisi zisizo za kiserikali ni taasisi hatari zaidi za kijasusi zinazojihusisha na mambo mengi ya hovyo sana barani Africa. Mfano mtu akiwa anakulishia kijana wako basi kama hana nia ya kumchezea kimaumbile basi lengo ni kutaka kuidhibiti akili ya kijana wako amuone yeye ndie wa maana zaidi kuliko wewe mzazi.
@Abdalakangile14 ай бұрын
Asante sana mzee waambie
@mahersaid2584 ай бұрын
Kwann wa sipelek kenya 🇰🇪 kwa watumwa wao
@lusajomwakalinga58134 ай бұрын
Shikamoo wazir
@issaothman-eu3ii4 ай бұрын
Safi sana waziri bashe
@andrewmagwila16024 ай бұрын
Mh Bashe mungu akuweke sana
@faidaimmaculee284 ай бұрын
Hiyo nikweli👍
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
mimi skuli yoyote anayosoma mwanangu nikigundua wanapewa vyakula na majibwa wale basi namtoa
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
heeeee huo msaada wa washenzi wale wallahi haupo salama kuna kitu jamaa ni washenzi walee msiba hizi ngo bora muzifungiye wanapewa pesa kusambaza tu ushoga tena tukiwaachia baada ya miaka 20 tumemaliza kizazi
@user-mc8rz4yp4r4 ай бұрын
Mnajuaje mchele una una nini ndani yake mmezoea kupewa mtapewa mpaka visivyo shauri yenu Tanzania ni nchi ya kupewa chakula,
@user-qv7jv8id2k4 ай бұрын
Clever Bashe💯💪
@youngtomuller-vh2pu4 ай бұрын
TOGETHER ❤❤😂
@dawsonlucas32524 ай бұрын
Daa we waziri unaakili sana
@RajabHamis-ng3ze4 ай бұрын
Hatuitaji msaada wao chakula tunacho
@HANGU3154 ай бұрын
huo ni udhalilishaji wanajambo Lao wanataka wanajua lazima waje kwanjia tofauti kwanini mpokee vyakula vimesha tiwa sumu baada yamda wote watajua wale hawatoi vitu Bule jamani kule kwenywe mateja kibao naomba omba wanao lala balabalani cozy kwao wenyewe watu wapo mitaanii wanakitu wanafanya mtakuja kumbuka hakuna kitu chabule msiipende vya bule vinaua📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯📯
@marckmasassi74664 ай бұрын
Waziri Bashe Yuko Sahihi Sana Especially Katika Vipindi Hivi Vyenye Utata Sababu Hawa Wazungu Away Aminiki, It's So Impressive Cause It Is Right Discission
@AloiyceBosko4 ай бұрын
Nabarikiwa sana mama yangu mlezi na Mtumishi wa mungu mchungaji shangwe kiluvia na nikiliona kanisa langu limesimama imara barikiwa sana sana sana
@AloiyceBosko4 ай бұрын
Mimi ni rafiki Yako Alois nabarikiwa sana
@AloiyceBosko4 ай бұрын
Nakubali sana mama yangu na mchungaji Betty nabarikiwa sana
@rebekamchunguzi2184 ай бұрын
Woooow keep it up brethren
@user-zx3cv5mf9b4 ай бұрын
Mwàisa mtu mbadi
@HalaaComedy4 ай бұрын
🔥🔥🔥
@josephmnjokava74064 ай бұрын
Ondoa huo wimbo haraka kwenye channel hujui tumetumia gharama gani nafikiri unaelewa hii ni biashara
@josephmnjokava74064 ай бұрын
Kaka tafadhali shusha huo wimbo kabdala mambo hayajaharibika
@Entertainmen_tv20244 ай бұрын
Sauti ipo chin
@AdamSaffi2114 ай бұрын
Ugonjwa mbaya sana huu wa sifia sifia mtu mmoja, Samia oyeeeee! Hiyo fedha ni kodi yenu wewe mbwa koko!
@mgenikhalfan74714 ай бұрын
Mm Yanga nimefurqhi sasa leo mumenifurahisha kwakweli
@bumijakitumu4 ай бұрын
Nitawaokoa,Mimi ndio Diwani mtarajiwa wa chama changu sikivu CCm,nitajishughulisha,nafikiri wenye dhamana wameshindwa kujishughulisha.wanajishibishatuu