Hongera sana My Wazir,fanyeni mpango wa kutanua njia pale Kiwalani maana hakuna segemu ya watembea kwa miguu wala waendesha baiskeli.Mfano kwa Binti Mussa,Bombom,Yombo
@georgewilliam600110 сағат бұрын
Na Jana wamekamata mbegu feki zaidi ya Tani moja...kumbe ni ya kweli
@dismasmtui72913 сағат бұрын
May peace not be upon you!
@MustaphaSeleman-z7c14 сағат бұрын
Nimependa iyo😂😂
@AmonSamsn16 сағат бұрын
Jamani pole sana ila serikali naona ingekazia xana Xperia za barabarani ili kuokuoa maixha ya abiria❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@augustinemukandara934122 сағат бұрын
Chama cha majambazi!!! Wamekuwa wezi sugu kiasi cha kujiibia wenyewe
@BristinaMmassy22 сағат бұрын
Amenunaaa😂😂
@MussaNgosi-tk6cuКүн бұрын
Kamaninyi munaibiana yvamavingine mutavifanyaje
@erickmtega726Күн бұрын
Ingekua chadema hapo ungeona mabomu ya machozi
@JohnMagudiКүн бұрын
Kama imekuwa hivi kwenu wenyewe itakuwaje kwa mpinzqni?
Chezea ccm wewe ccm ina wenyewe ,kura haiamui nani apewe uongozi HAYO NDIO MANENO YA NAPE NNAUYE ,SASA MUNAANZA KUGOMBANA WEWNYEWE KWA WENYEWE ,,MAJIZI YANAIBIYANA BONGE LA MOVIE
@MatumlaMatumlaКүн бұрын
Wote rangi moja
@GeofreyMwandanji-ot2lfКүн бұрын
Sasa wewe umechoka nini kuibiwa wakati wewe ni mwizi pia haMa ccm
@healingclinic698Күн бұрын
Haya tunayoaoona ndio yapo mpaka ngazi ya Urais tutajua tu ngoja paendeleeee kunyeesha Samia unakazi kubwa ukipita ukawa Rais labda Mungu aliekuumba awe amekufa
@HappyGondola-gs8cgКүн бұрын
kumbe wizi upo
@FRPBYPASSTZКүн бұрын
Mnatakiwa kujiajili kwenye ufugaji hayo mambo magumu vijana wenzangu
@FRPBYPASSTZКүн бұрын
Kumeanza kuchangamka 😂😂😂😂😂😂😂😂
@mosesmligo9614Күн бұрын
Ngoja na mm nicoment Leo ..Ivi kimeumana maana yake nn?😂😂😂😂
@Hemedmikole-r9eКүн бұрын
Wenyewe kwa wenyewe wanagombana duuh atuna viongoz tz
@HajjHajj-he6eyКүн бұрын
Tafuteni watu wa wilaya nyengine wasimamie
@AmosKayegaКүн бұрын
Ukiona chama hawa gombani juwa ni chama mfu
@AmosKayegaКүн бұрын
Kama huwajuwi CCM utashangilia wakigombana kula za maoni ukifika uchaguzi wote kijani mtangoja sana embe chini yamnazi CCM oyeee
@margarethpolepole7438Күн бұрын
Mwaka huu kiboko 2024 2025 kazi mbichi Tanzania imekuwa hali tete Mungu tunaomba Amani tu Tanzania