Пікірлер
@wewa7329
@wewa7329 Сағат бұрын
Hakuna mafanikio bila maumivu solution ni kuchutama tuumize kichwa tuache kutegea
@TobiasAlexander-o2t
@TobiasAlexander-o2t 2 сағат бұрын
Akiingia CCM akili zake zote zinakufa.
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 3 сағат бұрын
Fikra tunduizi
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 4 сағат бұрын
Kwahiyo wanda na tononoka zina maana moja,sio?
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 4 сағат бұрын
Huko nyuma walikua wanasema maliza haraka ili waongee utumbo wao
@davidnhamanilo6389
@davidnhamanilo6389 20 сағат бұрын
Huyu kijana ni tunu ya taifa... Serikali imupe nyenzo zaidi Ili aje asaidie taifa kwa upana zaidi
@KijanaMsemakweli
@KijanaMsemakweli 21 сағат бұрын
Nimeelewa speech yake haswa kwenye statement yake ya mwisho kwamba "tutakuwa wajinga haswa zukidhania paka waweza kujifunga kengele"
@pitabarnaba6787
@pitabarnaba6787 21 сағат бұрын
Wewe ni fundi kaka
@goodlucktarimo6170
@goodlucktarimo6170 Күн бұрын
Harariii
@LuckySanga-t5h
@LuckySanga-t5h Күн бұрын
TUNAOMBA UTUANDALIE KAMUSI YA MANENO HAYA KIJUNGU JIKO MSALAGAMBO MTULINGA MAKADALA TAJAMALA CHONDA NA KIBURUTI CHATA NA TAMBO MKETO MAAMUMA
@juniorgodfrey1527
@juniorgodfrey1527 Күн бұрын
FAKIRI WA MAFAKIRA
@dicksonmajaliwa127
@dicksonmajaliwa127 Күн бұрын
Hakika unahaki ya kupewa ubarozi wa kiswahili mungu akujalie zaidi hekima na busara ulio nao azidi kukuongoza ili usje ukakengeuka kwa kulewa sifa
@Akili9-h3k
@Akili9-h3k Күн бұрын
Kitabu tunakipateje?
@Yusuphlalusa
@Yusuphlalusa Күн бұрын
😂
@nathanpallangyo5244
@nathanpallangyo5244 Күн бұрын
YOU ARE THE ONE OF MOST BIG LEADER IN THE WORLD, AFRICA AND TANZANIA MY BEAUTIFUL COUNTRY
@nathanpallangyo5244
@nathanpallangyo5244 Күн бұрын
KUNA KUSUDI LA MUNGU KUBWA NDANI MUNGU AKUJALIE KULIFIKIA NA KULITENDA
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 2 күн бұрын
Nakukubali sana
@LemiMgaya
@LemiMgaya 2 күн бұрын
Mfano wa kuigwa na hazina ya taifa hakika tunaitaji waafrka wengi Kama wewe
@chiefnorbertkangalu1403
@chiefnorbertkangalu1403 2 күн бұрын
Hv hao wanaoptapta huko nyuma hawawez kukaa na kutulia kucklza hotuba? Wanaleta usumbufu sana kwa watazamaji... wape salam mzee wa Bakita ila leo hujacheka kle kcheko chako😊
@EliudiJastini
@EliudiJastini 2 күн бұрын
Nakukubali sana joramu napenda kukusikiliza ukiongea maneno ya wazee wetu wazamani 🙏
@charlzmboya
@charlzmboya 2 күн бұрын
NAMKUBALI SANA HUYU KIJANA MWENZANGU ...NATAMANI SANA HUYU GINEUS AJIUNGE NA CHADEMA ATAPATA SAPOTI KUBWA SANA KULIKO KUISHIA KULE CCM...
@johannesjoseph7496
@johannesjoseph7496 2 күн бұрын
Ulumbwi adi huku kwenye english
@papafikiri
@papafikiri 2 күн бұрын
Ni Magufulification sio magulification.
@johannesjoseph7496
@johannesjoseph7496 2 күн бұрын
Kichwa safi hiki
@saidkajagale3716
@saidkajagale3716 2 күн бұрын
Anatondoa utondozi Kwa uketo
@franklechipya6828
@franklechipya6828 2 күн бұрын
Napataje vitabu vyako nipo Dodoma
@basilhongoa6728
@basilhongoa6728 3 күн бұрын
Huyu anauelewa mkubwa na brain 🧠 yake iko na fikira chanya, vijana umetuheshimisha
@elifariji
@elifariji 3 күн бұрын
DearJoram, I had a chance to listen to one of your speeches at Nkuruma Hall, University of Dar es Salaam. I was highly inspired, the way you addressed and contained the audience. Though it was a short speech, I'm sure they have learned something. All the best Joram. I'm sure you're amongst our future leaders.
@jamesbillochamgiu8523
@jamesbillochamgiu8523 3 күн бұрын
Asante, Professor PLO Lumumba I confirm you're inspiring many on my wall page.
@LizaniaGerson
@LizaniaGerson 3 күн бұрын
Hongera sana joram
@lwanzalionay8078
@lwanzalionay8078 3 күн бұрын
Hii ni saada na sudi kumsikiliza huyu mtu mwenye fikra tunduizi mlumbi Joram Nkumbi
@ntegrity277
@ntegrity277 3 күн бұрын
Tumia kiingereza kama msomi, tumia lugha ya dunia sio kiswahili lugha ya kienyeji
@colmanmfoyi2805
@colmanmfoyi2805 3 күн бұрын
Kwan kufahafu English ndio kuwa msom😂😂 fikra finyu
@BULLETGUNTRADERS
@BULLETGUNTRADERS 2 күн бұрын
Pumbavu. Kingereza ni lugha kama lugha nyingine ya mawasiliano. Mubashara kwa kingereza nin ninj? Tazam french,china,Russia, Spain, Italy,arab wanatumia lugha zao mara nyingine hata wakiwa nchi zingine isipikuw ambassadors (balozi)ktk nchi husika. English itatumika mahal itakapotakiwa kam ni kweny vikao vys kimataifa vya maamuz na kimkakati. Ongeza matumizi ya akili zaid ktk nyakat hiz
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 2 күн бұрын
Halafu ndo unajiona msomi😂😂😂, kwani hiyo hadhira hapo haielewi anachozungumza? Hata hicho kiingereza unachotaka amekizungumza pia, kama kweli Umesikiliza Hadi mwisho😂😂
@aronathanas4997
@aronathanas4997 2 күн бұрын
Ndipo utajua ukoloni umewatawala. Kwahiyo kiingereza ndiyo usomi? Acheni ujinga na kiingereza chenu. Kiswahili ni lugha ya Africa na ni lugha ya dunia. Hivyo kiingereza siyo suluhu ya fikra tunduizi
@jactonmoris3034
@jactonmoris3034 2 күн бұрын
Acha ujinga
@juliusosoroomwoyo8848
@juliusosoroomwoyo8848 3 күн бұрын
Banae, ninakuhusudu sana Najua Mola atanipa abra ya kukutana nawe unipe mbaraka kakangu. Unaniaminisha kwamba kuwa Kuna wachache ambao wanaamini kuhusu ili suala la uanamajumui. Rabaka akubarikie sana
@ElizabethMelaisho
@ElizabethMelaisho 3 күн бұрын
NI MSIMU MPYA!
@hosenisamweli5500
@hosenisamweli5500 3 күн бұрын
Barikiwa Sana Joram Mlumbi
@fatmamsindi4612
@fatmamsindi4612 3 күн бұрын
Hongera sana son, nice speech
@kinanaissango3492
@kinanaissango3492 4 күн бұрын
Smart speech
@Danielchikusela
@Danielchikusela 4 күн бұрын
Kak naomba namba yako please
@jamesbillochamgiu8523
@jamesbillochamgiu8523 4 күн бұрын
Learn Swahili like me.
@ladslausnkanabo4991
@ladslausnkanabo4991 4 күн бұрын
Tutaongea sana ila hayo únayoongea ni kubadili mitazamo kulingana na Dunia inapoelekea mf wasomi wa Kenya ni tofauti na wasomi wetu? Wa Tanzania kwani wamejenga ujasiri wa kwenda popote Duniani kufanya kazi au biashara kwa kuwa Serilikari yao haina ajira za kutokutosha . Ila tz wasomi wengi ni waoga sana mda mwingi anatem bea na vyeti na ukiangalia mazingira ya kufanyia kazi ni mazuri kikubwa kujitambua ma uthubutu
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 4 күн бұрын
Wanaogopa kwenda nje maana hawajui Kiingereza
@afyayakoelimika
@afyayakoelimika 3 күн бұрын
Kiingereza ni usenge tu, kinafaida gani kwako​@@rumdeesonsoa1811
@athanaskalihamwe3046
@athanaskalihamwe3046 3 күн бұрын
I once had my boss when working with UNICEF, he once said to us that, who cares about English, what matters is content and confidence. Ni baada ya wengi kuwa wanaogopa kuomba nafasi za kufanya kazi nje. Those who were inspired are now working in different countries. Kiingereza ni lugha tu wandugu.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 күн бұрын
@athanaskalihamwe3046 Not knowing English makes people less confident especially for Tanzanians. I witness that all the time. Wakiona mzungu anaongea Kiingereza pekee wanajaribu kumuavoid. Utawezaje kuanzisha mazungumzo na mtu ambae hujui lugha yake na ukizingatia conversations bring opportunities? Kujifunza lugha zaidi ya moja ni jambo la muhimu. Nimeshuhudia vijana wengi wamepata fursa mbali mbali kwenye nchi za wazungu just by starting conversations with them in English. Ukikutana na mzungu mtaani ataanzaje kukwambia kuna fursa fulani inapatikana Uingereza, Canada au Marekani ikiwa hujui Kiingereza?
@MhinaLwassa
@MhinaLwassa Күн бұрын
Tanzania! Majina tu degrees. Hata huku mashulen ukiwasikiliza walimu wenyewe wa kiingereza utalia machozi. Less than you can imagine. Hopeless. Tumajinadi kiswahili! Unahusianaje na jumuiya ya kimataifa na hujui lugha Yao.? We lie to ourselves. Hata tukiwa wajuzi wa lugha yetu, are we sure tuna Kila kinachotakiwa kukifanya kiswahili chetu kituweke kwenye uwanja wa kimataifa wa kiumchumi, kiteknolojia na kisiasa?
@ElishaMkumbwa-h6r
@ElishaMkumbwa-h6r 4 күн бұрын
Smart Guy
@joramunkumbi
@joramunkumbi 4 күн бұрын
Mambo 8 ya Kuzingatia 1. Kila mwanadamu lazima aamue kama atatembea katika nuru ya utu na uungwana kujitolea Maisha yake yawe Msaada kwa wengine ama atatembea katika giza totoro la ubinafsi na uharibifu kuumiza wengine. 2. Sayansi huchunguza, dini hutafsiri. Sayansi humpa mwanadamu maarifa, ambayo ni nguvu; dini humpa mwanadamu hekima, ambayo ni utulivu na nidhamu binafsi. Sayansi hushughulika zaidi na ukweli unaoonekana; dini hushughulika zaidi na maadili. Vyote viwili si mahasimu. 3. Ni lazima tutumie muda kwa ubunifu, tukitambua kuwa kila wakati ni mwafaka wa kufanya lililo sahihi. 4. Hakuna jambo la kusikitisha zaidi kuliko kumpata mwanadamu aliyekwama katika matope marefu ya maisha bila kuwa na upana wa uhai. 5. Mali imekusudiwa kuhudumia uhai na roho za Watu na haijalishi ni kiasi tunaipa mali heshima na hata kuisujudia, mali yenyewe Binafsi si uhai. Mali ni sehemu ya ardhi ambayo mwanadamu hutembea juu yake. Kosa la msingi ni kutumia Mali kutoa Uhai wa Wengine na hata kuumiza wanyonge. Kosa hili litakuwa na Adhabu kali kihama. Maana Maskini ni Mashaidi wa Mungu wanahukumu Kila siku mwenendo wa matajiri. 6. Kazi ya elimu ni kumfundisha mtu kufikiri kwa kina na kumpa fikra tunduizi. Fikra tunduizi pamoja na tabia njema hiyo ndiyo shabaha kuu ya elimu ya kweli. 7. Huenda sisi sote hapa tumefika kwa kupanda meli tofauti, lakini sasa huko tunakoelekea lazima tuwe ndani ya mashua moja ya utu na uungwana. 8. Kazi yoyote inayoinua utu wa mwanadamu ina heshima na umuhimu, na inapaswa kufanywa kwa umakini na ubora wa hali ya juu. Kazi njema ni Ibada Mungu anaipenda hiyo.
@isaacthomas7888
@isaacthomas7888 4 күн бұрын
Nakukubali br
@DismasKaitanga
@DismasKaitanga 4 күн бұрын
Toka nmeanza kikufatiliaa napata experience tofauti kuhusu ya maisha kuna point niliipata kwenye speech zako kuwa ""mtu hutakiwi kuishi kama mnyama l,kula na kulala"" imenifanya nitafute maarifa huku nikitafuta ugali.......thanks BRO
@MathewIgulu
@MathewIgulu 3 күн бұрын
U-joramisho Wa kiswahili...
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 күн бұрын
the start is now
@davidmjatta8413
@davidmjatta8413 4 күн бұрын
Urumbi kila pahala barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@syliviabebwa6708
@syliviabebwa6708 4 күн бұрын
Nahitaji kitabu?
@syliviabebwa6708
@syliviabebwa6708 4 күн бұрын
It’s important for everyone to listen and understand what is spoken in this video. VERY IMPORTANT 😊
@mudrickabdallah7251
@mudrickabdallah7251 6 күн бұрын
And I'm gonna ask you to bless me one day inshaallah
@mudrickabdallah7251
@mudrickabdallah7251 6 күн бұрын
Damn😮
@bulayaconfidential7212
@bulayaconfidential7212 6 күн бұрын
Nilipokuona kwenye yale mafurushi ya kijani ma vyura wa manjano na machawa bora kuliko akina mwijaku&baba Levo hapo ndio niliamini kuwa sina haja ya kuamini mtu mwenye vinasaba vya kijani, mlumbi ulizingua sana hata vitabu vyako naviona sawa na vya yeriko Nyerere ofa ofa na havina ushawishi kisa kuwa muunga juhudi 😢😢😢
@toughffulintime6534
@toughffulintime6534 7 күн бұрын
Heshima kubwa kwako ndugu,hekima Iliyotukuka hii juu yako