Nawapata sana , lakin mbona cpea au vipul vya iyo powe tella hujaweka waz upatikanaji wake
@HamisPaul-j2r5 күн бұрын
Kwan power tella n bei gani
@nassoromarelbajouny44627 күн бұрын
Hatuutaki Muungano Zanzibar, msilazimishe utamaduni wa Zanzibar ji tofauti sana na bara kila nchi iwe huru kivyake tuwe majirani wema km mlivyo na Kenya au Uganda itoshe hiyo tu
@nevermwambela37199 күн бұрын
Viruga Biocide ndo mkombozi wa wakulima Tanzania
@AbdulhamiduHamisi20 күн бұрын
tanzanite how much
@user-qr3zl5km3vАй бұрын
Mbali na 77 mnapatikana wap duka lenu????cos wengne tuko mbali hatuwez fika hko
@zakayomtweve893Ай бұрын
Nahitaji ila nipo mbali napataje
@salutarisliganga7314Ай бұрын
🔥🔥..
@LizzydianaАй бұрын
👌🏾
@MRKp-zk7xsАй бұрын
🤝
@MRKp-zk7xsАй бұрын
🤝
@LizzydianaАй бұрын
👌🏾
@aquilinemakoi2028Ай бұрын
Mati ni pana
@MohammediAyubuАй бұрын
Je wanafunzi wapya wanaanz kijiung mwez w ngp
@Amani71602 ай бұрын
Napataje mkopo wa pawatila 16 hp naomba utatibu
@KassimSeifu2 ай бұрын
Huwezi kusomea degree
@Waltergifty2 ай бұрын
Kama mtu hajafaulu mathematics
@Waltergifty2 ай бұрын
Ada shingapi
@user-ep5fu9do9h3 ай бұрын
Mbn hamutaji bei zake munataja asilimia tu
@user-zz6vf8ry2p3 ай бұрын
Namba zenu please mbona hamtoi
@MsMollel-rw2tl4 ай бұрын
SASA TUNAPATAJE HIYO ELIMU YA MIGOMBA?
@danielmwakatumaakimu10505 ай бұрын
Naomba mamba ya cimu ya Whatsapp.
@epnyagawa5 ай бұрын
Je Njombe maeneo ya Makambako Migomba inastawi?
@evelinamwaikambo25065 ай бұрын
Tari hoyeeee,
@deogratiusyudatadei56586 ай бұрын
Namba mbon hazieleweki weka namba
@user-fg1ob6wt5j6 ай бұрын
Naitwa juma napatikana tabola naitaji pawatina
@user-fg1ob6wt5j6 ай бұрын
Nitaipaja pawatila Mimi Niko tabola
@Lizzydiana6 ай бұрын
👍🏽👍🏽👍🏽
@user-fd5zs1tu8g6 ай бұрын
❤
@henrymwazembe40837 ай бұрын
Niko musoma mara, nahitaji Mkopo wa powertiler
@aureliamyovela26557 ай бұрын
Ada zake shingapi
@mek72367 ай бұрын
Naomba kuonana na mhe. Ilivin mugeta... jaji mfawidhi mahakama kituo jumuishi mirathi na ndoa temeke
@richardmagambo23578 ай бұрын
Hongera sana Doctor Charles Mwamwaja kwa kuendeleza program ya uelimishaji juu ya elimu ya fedha kwa Watanzania. Watanzania wengi hatuna elimu hii. Tunaamini hadi kufikia 2025 tutakuwa tumeelimika. Tunahitaji kusikia zaidi na zaidi juu ya elimu hii kwani ni hakika ni " Msingi wa Maendeleo ya Kiuchumi" hongereni sana!
@joycehenry87838 ай бұрын
Hongereni Sana
@JacobErnest-vk7me9 ай бұрын
Wapi hiii inapatikana
@user-uz5cu7cr9h9 ай бұрын
Nic
@user-nd2dr8dj7k9 ай бұрын
Je Kuna mashine ya kupima madini kwenye duala ukajua Kuna mzigo kiasi Gani naomba msaada
@elinathanblasius904110 ай бұрын
Naomba kujua namna ya kujiunga na chama hiki
@simoninmwangatwa512710 ай бұрын
Kwa keshi na sh ngapi na kwa dar mpo wapi?
@josephkibiki813811 ай бұрын
Mbegu gan Ina stamili mkame images tofauti Na 306
@manyuhawilson4201 Жыл бұрын
Safi thanaaa
@barakampelanyi2136 Жыл бұрын
Je, unachanganya bolea kiasi ngani katika kalashimo la kupanda ndiz
@mwankemwaasege1313 Жыл бұрын
Udereva mnafundixha
@jacksonmashulano1348 Жыл бұрын
Hongera sana Tume ya Mahakama kwa usimamizi wa Maadili! Hakika mmeweka mfano bora
@babumollel1006 Жыл бұрын
Naomba kuuliza kwa makampuni ya microfinance je kwasasa je bdo wanapata leseni kutoka viwanda na biashara?
@NtanunuraWillsonBaru Жыл бұрын
Miradi upande miti kutakuwa na jangwa
@heliudjulias7748 Жыл бұрын
Africa oyeeee Tanzania na Uganda wazo zuri sema mnakutana na vikwazo vya magharibi jikazeni mtafika
@danielraphael5507 Жыл бұрын
nafutazi
@raymaakijangwa3347 Жыл бұрын
Mradi wa kisiasa.
@mustafakimalio9129 Жыл бұрын
Sasa mbona kukicha ulaya unataka kupiga Pini mradi huu nn msimamo wa serikali hizi mbili?