Kaulizwa sheikh Albani swali hilo, kakataa kuwa haifai. Wewe shehe wa mchongo unaharamisha
@MohamedLulenjeАй бұрын
Kwani ibadhi na hajawirah mnatofauti gani mbona mnafanatu
@isihakamgeta5433Ай бұрын
Kivipi fafanua
@MohamedLulenjeАй бұрын
2:53 2:55 2:56
@MohamedLulenjeАй бұрын
2:53 2:55 2:56
@MohamedLulenjeАй бұрын
2:53 2:55 2:56
@MohamedLulenjeАй бұрын
2:53 2:55 2:56
@MohamedLulenjeАй бұрын
2:53 2:55 2:56
@saidalhabsi6485Ай бұрын
Leta ftwa
@saidalhabsi6485Ай бұрын
Dahh, wewe shekhena acha kudanganya kumbuka kuna moto
@Hafidh0712Ай бұрын
Ni awla maibadhi waseme kwaswali nyuma yenu haifai kwasbb nyinyi ndio mna bidaa zinazokufurisha mnasema Allah ana mkono na mengine sasa lipi kubwa hapo kusema quran ni makhluuq au kumfananisha Allah mtukufu na binaadamu, إنكم لتقولون قولا عظيما
@Hafidh0712Ай бұрын
أستغفر الله العظيم، ما هذا الفتوى العجيبة هدانا الله واياكم
@ABUUALLY-ch5jr2 ай бұрын
😂😂😂 wewe shehenaa kweli maana kazi ya shehena halichagui linabebaa tu chochote tu hatakama yakiwa mavii linauwezo wa kubeba ndio wewe 😂😂 yaani muongoo mzuri sana tena unawazulia wanachuoni 😂😂😂 basi kwa ulolisema litabakiaa mpaka siku ya quyamaa na utaenda kulitolea ushahidi mbele ya Allah s.w .kazi uwongoo na unafik hamuna jipyaa
@AllyNassor-de6ck2 ай бұрын
Shekhe muongo kabisa wewe kweli wayahudi wameingia katika uislam acha uongo shekhe
@SalehLofy3 ай бұрын
Wapi IBADH anakafirisha muislamu? Tibia yenu mnawasingizia wengine Huyu jamaa ya uongo anasema ya ukweli hasemi
@SalehLofy3 ай бұрын
Eti Fatwa za Ulamaa wa kiislam kwaio maibadhi sio waislam KUSEMA tu QURAN imeumbwa kama haijaumbwa imejiumba? Tatizo pia nyie Quran mnaitafsiri neno Kwa neno na ndio maana mnasema Allah amefanana na nabiiAdam Utaona hasa kuwa Hawa ni wasanii na nyie mnakaribiyana na Mayahudi Kwa mambo mengi
@SULEIMANMussin3 ай бұрын
Nyie sasa mnawagua waislam na mnauvuruga uislam sya gang iliyo zungumza madhehebu msitukane watu mbona wakristo hawabauni kama nyiee
@pavillioncry52414 ай бұрын
Kweli ni haramu kuswali kwa ibadhi, Kwanza wanamtukana othman vibaya sanaa
@ABUUALLY-ch5jr2 ай бұрын
😂😂😂 ukisema hiyo kauli kama haifai kuswali nyuma ya ibadhi Kwani wewe ndie unaepokeaa swalaa? Me naona munajitesaa tu 😂😂 Kwa sababu hata wewe huna uhakika kama swala yako Allah s.w anazikubali 😂😂 Sasa iwejee ukufurishe swala ya wenzakoo 😂😂 ndio maana nasema kwamba Hawa mashehena ya kisalafi ni walevii kwanza wanalewa ikisha ndio husimama wakatoa mawaidha ya uwongoo kudanganya watu 😂😂😂
Wewe shekhena unachuku binafsi njaa ndio inakusumbua acha kueneza uongo katika dini utachomwa jahanam
@faisalkhalef617128 күн бұрын
Mashehe wa kisalafi ni mapuppet wa mayahudi
@AhmadaHassan-gy5uj5 ай бұрын
😂😂😂 huyu sheikh ana chuki na maibaadh
@hamzakimaro37645 ай бұрын
AHLUSUNNAH WALJAMAA ni wale wasiowatukaba MASWABA,IBADHI wanamtusi SWAHABA Ali bin Abutwalib,wala hawakubali kuwaita watoto wao jina la Ali!!
@AllyNassor-de6ck2 ай бұрын
Kaka kasome vizuri mbona mi naitwa ally acheni uongo kundanyikeni na maimamu wenu
@binseif221614 күн бұрын
Acha ukhasfu wewe ma ibadhi wote wanamkubali aly bin abi twalib radhi za Allah ziwe juu yke me mwenye muibadhi ndugu zangu oman wengi majina yao Aly
@AllyNassor-de6ck14 күн бұрын
@@binseif2216 huyo mwehu hajui dini kazi kuropoka mi muibadh og jina langu Ally
@hamzakimaro37645 ай бұрын
MAIBADH ni katika mapote ya opotevu ya KISHIA
@AhmadaHassan-gy5uj5 ай бұрын
Upeo wako umeishia hapo.
@mohamedmasanga91345 ай бұрын
Dini ni Mali ya Allah sio ya taasisi au dhehebu Fulani acheni ujinga
@SoudSanawari5 ай бұрын
Maskin mtoa mada kama vile hujasoma yaani wewe sijui kama hukua unatafunwa
@SoudSanawari5 ай бұрын
Kulla siwa LLAH MAKHLUUK chochote kisichokuwa Allah ni makhluuq
@z34-kp9qq5 ай бұрын
Sio swahiyh maneno hyo.
@SaidMzee-mk4vw6 ай бұрын
Allah Akbar some din yenu waislam
@ABUUALLY-tv8rl6 ай бұрын
Unaweza ukajiona wewe mbele ya Allah ni bora kuliko wengine ikawa wewe ndie wa motoni kuliko huyoo unaemkufurishaa 😢
@Sharifuhabiby8 ай бұрын
Yahudiii huyu
@truthspeaker20629 ай бұрын
Mm nadhan bora mufanye mdahalo na maibadhu kisha haki itajukikana kwa atakaetaka kuifuata
@Hafidh0712Ай бұрын
Ttzo mdahalo hawataki wanasema ni bidaa mtume hakufanya, shekh Ahmed al khaliily Allah amhifadhi alitk mdahalo nao tena pembezoni mwa al kaaba waksema ni bidaa, sasa waacheni tuu watoe fatwa zao za kiajabu
@abbaspaziaog218822 күн бұрын
Kuswali nyuma ya maibadh wapotevu haifai kabisaàaa. Na0 midahalo na hiyo mishekh miovu .ilopinda misimamo yao. Pia. Haifai
@ABUUALLY-tv8rl9 ай бұрын
Sw maibadhi wanasema qur ani ni kiumbe ! Na nyie mawahabi munaempachika mungu viungoo sasa kati ya maibadhi na nyinyi mawahabi nani waovuu?
@abdulhalim59507 ай бұрын
Mungu akuongoze kaka
@ABUUALLY-tv8rl6 ай бұрын
Na wewe pia mungu akuongoze au tayari munajiona ushaongokaa ?? Hebu ni thibitishie kama wewe kweli ni mja wa peponi ? Unauhakika gani kama wewe wa peponi ? Huenda yule unaembashiria moto akawa wapeponi na wewe unaejiona mtakatifu ukaenda motoni 😢acheni siasa izoo za chukii mambo yamefanyika na makosaa yamefanyika kipindi Cha maswahaba nyinyi munataka kuyafufua acheni fitnaa izoo muogopeni Allah s.w acheni unafik
@ABUUALLY-ch5jr2 ай бұрын
@@abdulhalim5950 😂😂😂😂. Ndo kawaida ya wajingaa wanajiona wanaelimu kuliko wengine 😂😂😂 nyinyi ni walevii tu hamuna mujuwaloo ndio maana waafrica hawaendelei kazi chuki na ufisadi hawana jengine
@ABUUALLY-ch5jr2 ай бұрын
Unajua Kwa sababu gani mtume hakutoka Africa Kwa sababu mwenyezimungu anakujueni vizuri kwamba waafricaa ni waongoo hatarii 😂😂
@ABUUALLY-tv8rl9 ай бұрын
😂😂kwani huyo ibnu qayyim wako yeye ni nani ? Yeye ni mtume au? Hata atakachosema ni sahihi? Acheni kuwatukuza watu wapuuzi nyie kwenye huu ulimwengu anaestahiki kusikilizwa ni mwenyezimungu na mtume wake tu hakuna mwengine
@ABUUALLY-tv8rl9 ай бұрын
Kwenye huu ulimwengu kuna vitu viwili tu hakuna cha tatu ! Ambayo ni mungu na viumbe kwahiyo kila asiekuwa Allah ni kiumbe cha Allah kwa hiyo je qur ani ni Allah? Jawabu qur ani sio Allah basi kama sio Allah basi ni kiumbe ambacho kakiumba mwenyezimungu ! Kwani kusema kiumbe dhambi ? Au ndio kumtukuza Allah s.w ? Yaani nyinyi mawahabi munahoja za kipumbavu kabisaaa 😂😂
@ABUUALLY-tv8rl9 ай бұрын
Je inafaa kuswali nyuma ya asiekuwa ibadhi ? Jawabu ndio inafaaa kuswali nyuma ya asiekuwa ibadhi kwa sababu sisi waislamu sote ni ndugu
@abdulhalim59507 ай бұрын
Mjinga www pia swali kwa shia bas na yy ni muislm anajiita
@mbarakrashid98189 ай бұрын
Acha uongo wa kuwazulia maibadhi Hayo unayoyasema kuhusu maibadhi na wewe msimamo wako ni huo huo asiye kuwa salafi ni mubtadiu ni ghurafi si muislamu safi Motoni!! Tafauti iko wapi? Kila mmoja anaona yeye ndio yuko sawa peponi moja kwa moja Na asiyekuwa yeye ni motoni Mwenye kazi ya kuingiza peponi na motoni ni الله peke yake
@SalehLofy9 ай бұрын
SALAFY NI WANASIASA SIO DINI WANAPENDA UONGO IBADH HAKAFIRISHI HATA SAHABA MMOJA MAANA HAO IBADH KATKA MZOZO WALIKUEPO KATKA KUNDI LA SAYYIDNA ALI. HAWA WANA USANII MWINGI NDIO MAANA WANAKUWAMBIENI MSISOME VITABU VYA IBADH, AU SHAFI,MALIK NK MWISHO WA DUNIA KUNA MAMBO MENGI ETI WAKRISTO, WAYAHUDI, WASHIRIKINA KWAO BORA KULIKO MUISLAM AMBAE WAMETOFAUTIANA RAI
@SalehLofy9 ай бұрын
SASA KILA MTU ANASEMA ANAENDA PEPONI KWA MUJIBU WA DHEHEBU LAKE NDIO MAANA YUPO KATKA DHEHEBU HILO LAKN NYINYI MNAWAKAFIRISHA WATU KILA SEHEMU NJE NDANI NA MNATANGAZA CHUKI WAISLAM KWA WAISLAM MIAKA YOTE MAIBADH WAPO NA MADHEHEBU NYENGINE HAIJAWAHI KUTOKEA WAKAGOMBANA
@SalehLofy9 ай бұрын
KWANI IBADH NA NYINYI MASALAFI NANI WAMEKUJA MWANZO DUNIANI HAPA WATU LAZIMA MJUE HISTORIA JAPO KIDOGO
@saidsuleiman221810 ай бұрын
Kaeni meza moja usijitutumuwe pekee yako tu dini si hivyo nasaha upole unyenyekevu muhim
@ABUUALLY-j7k Жыл бұрын
😂😂😂hao ni majahil usiwasifu kama wanaelimu Kwa sababu fatwa zao za kubaguwa waislamu 😂😂😂
@saidalhabsi6485 Жыл бұрын
Wewe shekh au shekhena maneno yako yote yauongo hakuna chochote maibadhi hawana matatizo na mtu yoyote masunni wanasala nyuma ya ibadhi wewe ni fitna imekujaa na njaa inakusumbua
@abalqasim Жыл бұрын
Maibazi niwajinga hawana lolote
@saidalkiyumi9270 Жыл бұрын
Mjinga wewe kwanza
@salehsaif1414 Жыл бұрын
Shaikh wetu inaonekana ilimu yako kuna fasi inarudiliya jiyaribu uwa sogeleye ma ibadh utakuta wako katika njiya ya sawa mbele ya kucyukuwa hatuwa haziko sawa.shukran.
@salumrashidabdullashmely2558 Жыл бұрын
Wewe mbwa ndio una mambo ya ajabu sana, wewe pia sio mwislam wewe ni kama mbwa tu huna tofauti na mbwa.
@salumrashidabdullashmely2558 Жыл бұрын
Kuma yako ya nyuma mbwa wewe
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Lisa ni nini
@ummmuhammadabdullahsalafiy49842 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah Shukran san kaka yangu
@abdallahmkwalia74542 жыл бұрын
Fungamaneni katika kamba ya M/Mungu,bila kufarakana. Elimu zenye kutugawa ni za kiyahudi.
Hakuna lolote mpumbavu mkubwa huyu anaejiita ahlu sunna .wewe ndii una mambo ya ajabu kwa hiyo wewe . Kama kufunga sala mbona hata madhehebu ya malki hawafungi sala. Khanith waheed
@mamazahra35913 жыл бұрын
Asalamualeykum ustadh ame je inafaa kujengea kaburi kwa Nia ya kuweka alama na kaburi inahitaji liwe na urefu kias gani kunyanyuka kwa juu? Nijuze inshaallah.
@shebugeshekimweri97813 жыл бұрын
masha-Allah abuu usaamah Allah amhifadhi
@MohamedAhmed-yi1yf5 жыл бұрын
Maibadhi na mashia wakipewa ukweli kuhusu upotofu wao wanalaumu alhly sunna kwa kisingizio cha uwahabi