Rais wa tanzania kweliii huyo ambaye alikuwa mtu mtani sana kimazingira
@HumphreyNnko13 күн бұрын
Naitwa Hamphrey Martini NNKO ni mfanyakazi na mkulima pia naomba mkopo ila naomba kufaamu masharti ya huu mkopo asante
@AbuuKiumwa15 күн бұрын
2/10)2924, ninaitangalia hii video ta magufuli baada ya miaka minne nyuma leo naiyangalia tena
@AbuuKiumwa15 күн бұрын
Baada ya miaka minne nyuma leo naangalia tena hii video nan mwingin kama mimi ebu nipe like hapa
@ivanmusa473718 күн бұрын
❤ ❤
@ivanmusa473718 күн бұрын
❤
@MetthewMajukaАй бұрын
Rest peace our father R I P dk magufuli we still praying for you
@barakaekuroАй бұрын
🇹🇿 Nakupenda Tanzania
@WillisonMthomasАй бұрын
Hiri nipengo la uzeeni harioti
@WillisonMthomasАй бұрын
Tuta kukumbuka milele
@abdalahgunda1319Ай бұрын
Hakuna mzee mjinga ktk taifa letu km mzee makamba yete huzani kila anachokiongea ni chenye akila kubwa ktk fikira zake lakoni tunataka mumwambia muwa elimu sio akili kubwa elimu ma akili zinatofoutiana elimu ni memory ya mtuu watu wiowekeza akali km zako
@DeusMwampashi-to2drАй бұрын
Ulikuwa jembe sana raisi wetu Mungu ailaze roho yako pema peponi Amina!
@ramadhaningamba1778Ай бұрын
Safi inapendeza sana viongozi kuwa hulu
@gracemndambi3102Ай бұрын
Hiyo ndoyo classic music
@kingzanika860Ай бұрын
Kikwete mwenye aliye saidiya mauwaji kiyolela apo Rwande na congo apate sifaa kwa mukewe muhutu fdrl wewe
@DadiMageni2 ай бұрын
Ya ni kama kasafiri vileeeee,kumbe ndo katutoka ivooooo!
@livinkanje64392 ай бұрын
❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@gracethomas6832 ай бұрын
Magufuli was a genius he solved it immediately 🙌🏻🙌🏻
@aminaomary55672 ай бұрын
Wakati wa Jakaya maisha yalikuwa mazuri kusema ukweli kumuogopa mungu.Kikwete mungu akulinde sana. Tunakupenda na kukumbuka sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤🙏🙏👍👍😢
@alwaysmazibisa662 ай бұрын
🇿🇼🇿🇼🇿🇼
@OmariMohmed-m9u3 ай бұрын
Tutakumbuka
@sir_ENOCKMACHA3 ай бұрын
Kila kitu ni enzi na enzi....
@malaykumarghosh.57544 ай бұрын
Allica Dangote shab & Eduin shab. Please give me a suitable job. Ex. Employee of Dangote Cement Nigeria Benue cement in the year of 2005 . I need your help. From India 🇮🇳
@ejmalady69234 ай бұрын
Mzee alitujali sana akiwa waziri wa fedha na akiwa Rais wa jamhuri ya mungano,cjitambulishi.
@RonnieBertin-f7f5 ай бұрын
kwa kifupi mwite mzee wa kustukiza
@MarieHeleneEtienne-bf9ub5 ай бұрын
usimuite magufuli muite mzee wa kustukiza
@misanamaige5 ай бұрын
Nawapenda sana Rais mstaafu Kikwete na mama. Mungu awape maisha marefu yenye furaha na amani.
@anthonyOkoro-yr1ml5 ай бұрын
THE WORSHIPPING OF A CON FULANI MAN WHO HAS DESTROYED FULANIGERIA 😮😅😅😅😅😮😢😮AND BECOME THE FAKE AFRICA BILLIONAIRE. THEY CAN GIVE CLEAN WATER AND 24/7 ELECTRICITY TO THE BANANA 🍌🍌🍌🍌🍌🍌🍌 BUT ARE SHOWCASING A POLLUTION CREATED REFINARIES 😮😅😅😅😅😮😮😢😮.
@ludovicshirima17936 ай бұрын
Tuseme ukwl mh kikwete anajua kuoshi na watu ana kipaji hyu mzee.👏👏namkubali
@PaulShija-r4g6 ай бұрын
Nindoto kumpata raisi kama huyu😅
@costantineernest7456 ай бұрын
4:48 sio siri kikwete mhhh
@abrahammnzava8417 ай бұрын
I ❤ my country Tanzanzania
@edrickniwamanya56657 ай бұрын
R.I.P BABA😭😭😭😭😭😭😭
@AngelHamad-d6q7 ай бұрын
Tutakukumbuka daima mwamba from Chato
@omarytexesunauwababa45878 ай бұрын
Makamba ni mnafiki tu alimhoji lowassa yeye ni nani wakati ule anatudanganya tu
@aminaomary55678 ай бұрын
Mwanamke huyu anajiamini sana,safi kabisa anastahili kuwa kiongozi❤❤❤
@SaimonTanzaniaTanzania-ty5cz8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mohamedkondo-tq2bm9 ай бұрын
Mzee anataka ng'onda mtu wa pwani safi sana
@OchoaHomeDecor_9 ай бұрын
Sema huyu mzee miyeyusho sana anagonga na miluzi kabisa 😂😂
@usembiphonedar56329 ай бұрын
Kiongozi mzalendo JPM ulijituma sana kuwatendea haki watanzania lakini kumbe ulikuwa unatembea na wasaliti wamekuzunguka! Mungu ndiye jibu la mambo yote.Mungu akuangazie mwanga wa milele, Ameni
@alphoncewilliam432510 ай бұрын
Mungu akusamehee
@alphoncewilliam432510 ай бұрын
😢😢😢
@alphoncewilliam432510 ай бұрын
😢
@RehemaMbonde-dt8nj11 ай бұрын
Hayati magufur apewa zawad ya kuku
@davidprosper5304 Жыл бұрын
Inapendeza Safi Sana kudumisha mila
@rashidmohamed1949 Жыл бұрын
Safi sana... Tuwe huru namna hii... Mi napenda sana
@GideonMalyego Жыл бұрын
Magu alkuwa ana roho mbya,Kwan middle man akiwa mtanzania ana pata pesa kuna ubaya gani!
@MarvineOsambula Жыл бұрын
Kila mara ninapoiskiza hotuba yako kisha nakumbuka kwamba haupo nasi tena hapa huwa natiririkwa na machozi sana, kikweli wewe ndo ulikuwa kiongozi wa kweli hakuna mwingine tena kama wewe JPM,nakumiss sana licha ya kuwa mimi n Mkenya