Sylas tv MUNGU azidi kuktangulia videos zako za watumish wa MUNGU wa kwel has za mosses kulola zimesaidia wengi MUNGU azid kuktia nguvu ubaki kweny kupost neno la MUNGU
@NiniKiboko15 сағат бұрын
Ubarikiwe
@JamesMely18 сағат бұрын
Nabarikiwa na injili nikiwa nchini CHINA 🔥🔥
@SYLASSTV18 сағат бұрын
SAFI NDUNGUYANGU
@JamesMely18 сағат бұрын
Mathayo 15 13 Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa.
@RashidiHozaКүн бұрын
Asante ila katiba
@anthonykiamanywa5201Күн бұрын
Naperuzi na kudadisi nijue mambo
@godwinkileo77023 күн бұрын
Mama analia kwa uchungu sana
@TelespholKimazi3 күн бұрын
Bopa
@anisethmisana3 күн бұрын
Ameeen
@SimoniMbela4 күн бұрын
Iman ulilinda
@MariaJohn-kl4fl4 күн бұрын
Walifanya vizur sana 🙏
@BilhaElisha-h6f4 күн бұрын
namshukuru mungu kwakusiliza mtumishi wake na nimejifunza kitu ambacho sikujua shetani aliniteka kwanzia leo ameshiindwa kwajina la yesu kristo
Hakika bado anaishi japo amekufa ukiwa kiroho anaishi mungu atusaidie amen❤
@jiwekichwa28576 күн бұрын
Damu yake inalia aridhini ..."they murdered him".
@pungopungo4117 күн бұрын
Wahaya ni hatari kuliko mchaga
@pungopungo4117 күн бұрын
Kakutana na kigongo cha kabira
@pungopungo4117 күн бұрын
Kione kinavyojibu Mali Mali wahaya na mali
@MtotoHumbi7 күн бұрын
Yaan wat et mkavu unalia had unachoka
@WemaMwinshehe7 күн бұрын
Inauma sana pole wafiwa
@sarahmaro2158 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ bsbangu huyu ambaye nimeokoka ktk mkutano wake ktk viwanja vya shule ya sec Uyui Tabora hadi leo sijaacha wokovu ❤
@barakaelias11168 күн бұрын
Ameni Mungu aturehemu
@EliasRukayagana8 күн бұрын
Whatsap
@JASTONMFUGALE8 күн бұрын
Alikuwa kijana shupavu
@GivenessJohnson8 күн бұрын
Ee Mungu naomba unisaidie🙏🙏
@GivenessJohnson8 күн бұрын
Aliebaki kama wewe ni Christopher mwakasege tu😢
@HadasaGallant8 күн бұрын
Nikiskia mahubiri ya huyu baba nalia naingia kutubu kabisa Mungu awaguse weeengii waje wasikilize chakula hiki adimu kwenye makanisa yetu kwa sasa
@minaelnathanael18469 күн бұрын
Familia yske huko Moshi nao pia wachunguzwe.Pengine kuna jambo gumu la kifamilia. Wachagga hovyo sana na wanapenda kujifanya kauzu kila December sio wote wanaoenda sikukuu wengine wanaenda vikao vy mafarakano. Mtoto mdogo huyo mnamtenga ili iweje? Eti mimi ni baba mdogo akina chami wengine wako wapi? Na kwanini ni Richard etter na sio Richard Chami? Mbona hataji nani kamtuma na pia baba na mama wa Dr wanapatikana wapi?
@rehemaathhmani3579 күн бұрын
R I P
@ERICAHMWAKILUNGU9 күн бұрын
My lord my Good hakika injili yako ilikuwa upanga ukatao kuwili hakika ..roho yako i bado inaishi 2024
@sandalakabalo54429 күн бұрын
Human naipenda sana hii kuitazama kikwete 🎉🎉🎉🎉
@shadrachkamyori99119 күн бұрын
Huyu kabadiri kitengo tu. Kuzimu ina ujanja mwingi. Kwa habari ya mafuta ya upako hamna kitu hapo. Hakuna sehemu aliyokiri kwamba alichoma moto madunguri.
@elaineeliudi24979 күн бұрын
Ameen MUNGU ni mwaminifu sana .
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm9 күн бұрын
Hii siku siisahau niliinjoi sana 😅😅😅😅😅😅
@bishopmosesmagadula75729 күн бұрын
INASIKITISHA na inauma SANA
@OstakiaCornely9 күн бұрын
Kijana mdogo maskini
@Rennyanselim9 күн бұрын
Huyu dada mjamzito sa mnataka azimie naye afe acheni unoko
@blackhood76tv9 күн бұрын
😂😂
@blackhood76tv9 күн бұрын
😂😂
@OfficialA836409 күн бұрын
Kumbe hakuwahi kufunga ndoa dah huyo mtoto mama yake asimame kidete la sivyo Wahaya nawajua vizuri tu
@monicamassawe34359 күн бұрын
Co mhaya ni mchaga
@OfficialA836409 күн бұрын
@@monicamassawe3435 Mwanamke Muhaya sasa unabisha nn marehem ndy Mchaga
@BinSultan-i8j9 күн бұрын
Tuko 2024. Mungu fundi
@kajoakother60419 күн бұрын
kwani amuwajuwi wahaya kwamali
@GiselaMungereja9 күн бұрын
Hamjawahi fiwa nyinyi asietoa machozi anaumia sana kwa wanaojua wanaelewa maumuvu aliyonayo ni makubwa sana, tumefikia hatua ya kuhukumu mtu kwa kumuangalia tu acheni hayo mambo.
@witnessmbilinyi32818 күн бұрын
Yaani ambaye hatoi machozi anaumia zaidi maana maumivu hayatoki, ila watu hawaelewi tu
@dazuujuma7785 күн бұрын
Kabisa binafsi nikilia nahisi afueni
@sarahSavith3 күн бұрын
Acha kabsa
@SalamaJuma-s8e9 күн бұрын
Mke wa marehem mkavu km hajafiwa uyo ndo chanzo cha kifo cha disimas
@joycemwankusye48729 күн бұрын
Nyie nyie
@nadiatanzania9 күн бұрын
Alikuwa afe pia jaman ndio ujuwe kaumia 😮
@mwakasagule9 күн бұрын
Baba yetu bado unaishi maishani mwetu. Sasa hivi Injili kama ya kwako haipo tena. Sasa hivi tunapambana na miradi ya dunia hii.
@nsiamasawe457810 күн бұрын
Safi sana baba mdogo wa marehem. Umesimama kwenye nafasi yako.