Ktk vipind vyote hii ndio show nzr kijana ametusha ila wakioana bc wavumiliabe c kuoeana takaka,mmmh kipind kinaluwaza watu wengi ila kinyume na maafili ya kiafrica na dini zetu,Allah weka nusra
@fortunathashein4572Ай бұрын
Kambisa hujakisea
@JosephMichaelchami2005Ай бұрын
Naweza pata namba ya mister right
@JosephMichaelchami2005Ай бұрын
Naweza pata namba ya mister right
@willyktricks1582Ай бұрын
What's the name of this bongo movie 😂😂😂😂
@vitusmrishiwa126Ай бұрын
Yawezekana binti akawa sio muathirika, lakn labda anahitaj kupgwa kote kote ndo maana ukatajwa mtaan wa makuyuni kwakulinganisha kifanyikacho huko na kilichoombwa na binti.
Hivi unatakiwa kufanya nn ili uje kuchagua mwanamke hapa😊
@severakimario67673 ай бұрын
Hii nzuri sana nimeipendaa
@MwajumaAbdalah-el4cz3 ай бұрын
Pambe sana jaman naenjoy sana
@MwajumaAbdalah-el4cz3 ай бұрын
Uyo mkaka nimempenda tyu bure
@andrewpeter43213 ай бұрын
Jamaa anajua kuimba vibaya sana👏👏👏
@andrewpeter43213 ай бұрын
Hyu Dada inatakiw atibishwe 2 maan mzr❤
@ThomasNgelata-sd5hk3 ай бұрын
Kanumba mdogo ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JohnMutinda-mp9mv4 ай бұрын
❤❤❤
@RamaNgadu4 ай бұрын
Waoo kuna wanawake ni waelewa sana sio kwa kuwatizama huyo atakuwa mke bora kuliko unavyozania
@JENIPHAARON4 ай бұрын
Uyo cni fatuma wa bunji au nmeona vby
@ElizaKulwa4 ай бұрын
Na hiotabia yakuzunguka nyuma ya wadada sinzuri inamaana wanaume mnapenda makalio au tabia na muonekano
@ElizaKulwa4 ай бұрын
Napenda sana mnayo fanya lakini mmezidisha maswali na maongezi fanyeni kipindi kifanye watafutaji wasiwe na maswali punguzeni manege mengi na hao wanawake wanamavazi ya ajabu sasaunajiita daktari ugali unavazi bovu wagonjwa siwatakutamani sasa.naikifika Ramadhani mnajistiri Kwaresma mlivaa hayo mavazi yasio nastara epukeni na majaribu🎉
@AshaRamadhani-r2o4 ай бұрын
Nimeipend kit ya yoyot asee
@AshaRamadhani-r2o4 ай бұрын
Dada huy ni kanumba au jmn hongr kaka
@Kingsimbatc4 ай бұрын
Mapenzi raha kweli
@Jidaissa4 ай бұрын
😂😂
@MariaMagele4 ай бұрын
Jamani nasra sikapenda muuza bucha au wameshindana
@MariaMagele4 ай бұрын
Jamani fred muigizaji sjui kama hana mtu na ustaa ote alonao
@MariaMagele4 ай бұрын
Sasa hapo ndoa itakuaaje itafungwa wapi
@StellaKimaro-no6mv4 ай бұрын
Jaman kwan kwa kizazi cha sasaiv mtu anachaguliw mtu wa kuwa nae hat kama hana maokoto as long as wamependana basi inatosha
@HamidaJuma-e3o4 ай бұрын
Huyu mama yeye anyone hayo maokaoto au ndo anataka amuuze mwaea apoate pesa 😁😁😁😁😁😁