Shukran sanaa kaka hakika tunajifunza vitu vingi mnooo kutoka kwako..!! God bless u..!!
@mbekitv6932 сағат бұрын
@@kullwamaulid6295 amina mpendwa🙏😊
@najmakinya8779Күн бұрын
😢😢Mimi sina lakusema naona yote
@mbekitv6932 сағат бұрын
@@najmakinya8779 mmmh
@safiasuliman5136Күн бұрын
Kwel kaka uongo mwing
@mbekitv693Күн бұрын
@@safiasuliman5136 hakika, hivyo kuna haja yakuwa muwazi kuanzia mwanzo usingoje hadi penzi likafika mbali, “the point of no return” utajikuta uwezi kusema ukweli tena na athari zake ni mbaya zaidi.
@RaimamomedSaidi-wz1yuКүн бұрын
Imenisaidia ila nilishawaza kabla yakuskia hii video ila skuwa na uhakika nawazo langu,ivi pia mwanaume anaweza kumuogopa mwanamke akijua uhalisia wake anapesa?😢na kwanini awe mbali naye wakat anaweza kumtoa kimaisha pia?
@mbekitv693Күн бұрын
@@RaimamomedSaidi-wz1yu mwisho nilitoa mfano kuwa hadhi yako pia inaweza ikamuogopesha mwenzako na kuhisi thamani yake haiwezi kumudu uwepo wako kwake
@RaimamomedSaidi-wz1yuКүн бұрын
@@mbekitv693 sasa ili kumuaminisha kuwa naweza kuwa sawa na yeye hata km ninakikubwa zaid yake,nimfanyie nini ili ajiamini?
@shuwehaharuna6309Күн бұрын
Namuona Nandi na billnas😂😂
@mbekitv693Күн бұрын
@@shuwehaharuna6309 kivipi😀
@GraceSteven-qq5hnКүн бұрын
Asant
@mbekitv693Күн бұрын
@@GraceSteven-qq5hn karibu sana mpendwa na uyashike maneno yangu
@IreneSantu-fd7kbКүн бұрын
Nakukubali sana Kaka Mbeki,Mungu akupe maisha marefu👍🥰
@mbekitv693Күн бұрын
@@IreneSantu-fd7kb asante sana sana mpendwa nakukubali pia😊
@fathiyahmuzney7367Күн бұрын
Asante kwa somo zuri🎉🎉
@mbekitv693Күн бұрын
@@fathiyahmuzney7367 asante sn mpendwa yaweke akilini masomo haya.
@fathiyahmuzney736718 сағат бұрын
@@mbekitv693Sawa😍
@SylvieSalmaКүн бұрын
Kweli kaka
@mbekitv693Күн бұрын
@@SylvieSalma hakika, hivyo kuna haja yakuwa muwazi kuanzia mwanzo usingoje hadi penzi likafika mbali, “the point of no return” utajikuta uwezi kusema ukweli tena na athari zake ni mbaya zaidi.
@aikamushi63342 күн бұрын
Asante sana kaka najifunza kitu
@mbekitv693Күн бұрын
@@aikamushi6334 good nafurahi kusikia hivyo😊👏
@mbekitv6932 күн бұрын
EBU NIAMBIE JE, HII VIDEO IMEKUSAIDIA?
@user-ei2ud7gh5h2 күн бұрын
Japo mahusiano yetu ndo yanaanza tupo nchi tofauti lakin maswal yake ,mara unampango gan na mm, unanipenda, unampango gan baada ya kumaliza mkataba wako wa kaz, unampango gan baada ya kurud nyumban , mahar yako shingap , unapenda nn kutoka kwangu, hupendi kitu gan kutoka kwako waah mahusiano yangu yakwanza je huyu ni mwanaume anipendae , mwanzo wa 2019 tulikuwa tunachat nae ila nilikuja kumblock mwaka mzima tumeanza kuwasilian mwaka huu 2024 lakin pia kwa kile kipindi nilimblock aliseama nilikuwa nakupenda nilitaka kukuoa ila limeshakata tamaa .nilienda nyumbanTz sikumtafuta nimerud kazn ananiambi ohh ulikuja hukunitafuta nilitaka walau nikatoe kishika uchumba ila ndo hivy, nilikata tamaa ya kuoa na kuchukia wanawake , umebadilik sana ila ukibadilika nami nitabadilika aaa ninakaz yy bado anajitafuta ukwel sijui yupo kwangu for money nimsaport ama ni love but hayo maneno mara nipe muda baada ya miaka 4 utakuwa tayar kunivumilia jamannnnnn😂😂😂😂😂😂😂NISAIDIEEE MIMI JAMAN NIPONE
@EvePatrick-u7m2 күн бұрын
Nijb kka
@mbekitv6932 күн бұрын
@@EvePatrick-u7m Nicheki whatsapp 0659152333
@EvePatrick-u7m2 күн бұрын
Je mwanaume Ambye anakuambia wenzako wanajtaftia mavaz wenyewe na apo una kichnga hauwz ktafta n boraa
@mbekitv6932 күн бұрын
@@EvePatrick-u7m sijakuelewa
@jamilashabani85802 күн бұрын
Ahsante Shukran Wallah
@mbekitv6932 күн бұрын
@@jamilashabani8580 karibu sna
@rahmasuleiman78882 күн бұрын
Imenisaidia sana....
@mbekitv6932 күн бұрын
@@rahmasuleiman7888 woow vizuri sn👏
@user-yi5zm4bb3y3 күн бұрын
Asante kaka wewe kweli ni mshauri mzuri barikiwa sana
@mbekitv6932 күн бұрын
@@user-yi5zm4bb3y asante sana mpendwa😊🙏
@deborakadhengi57713 күн бұрын
Bro ni ukweli aky😢❤ yan mm nko na 4yrs kwa relationship na huy chali na wazaz wakipanga kitu mpk nijue na pia huy kjana pia,, juz kulikuw kuna plots flan zinatak kugawanwa baba vyaa akasema niambiwe na nipeane id no:😢🤲🤲🤲🙏🙏🙏
@deborakadhengi57713 күн бұрын
Aky niukweli mim nko kwa relationship kma hiy yan hta kma kunapangwa kitu lzma nkijue na wazaz wa kijana walimwambia kjana kma hutamuoa Deborah usilete mwanamke mwengine,, aky God awabless hao wazaz, mawifi na waume zang wadogo❤❤❤❤
@mbekitv6932 күн бұрын
@@deborakadhengi5771 Amen🙏
@FloridaTesha3 күн бұрын
Niunge kwenye group brother
@mbekitv6932 күн бұрын
@@FloridaTesha 0659152333
@Asiamachosefu3 күн бұрын
Hata mimi niko najihakikishia kuwa maisha yangu bila yeye yataenda nikisha jihakikishia hilo tu , nampa amani yake naondoka , mana , hindoa kila siku mimi ndo nimekuwa naifosi idumu ila yeye , ana ,ipuzia kisa anajuwa nampenda , sasa ndo niko kwenye kujihakikishia maisha bila yeye nikiona naweza tu , nampa amani yake ,naondoka