M kweli natumia Dr,nisipo tumia nikiingiza tu namalaza sasa nifanyeje Dr,na ninashida ya pressure nana miaka 38 na nisipo tumia uume hausimami vizr na nikiingiza tu,hat nusu dakika haishi nimemaliza nifanye nini, naomba msada
@nkungumajira31082 күн бұрын
😮
@SalmaMoris5 күн бұрын
Mfano umepima ukimwi
@neemamroso68647 күн бұрын
Dr kuna uhusiano wowote huyu mdudu na kujaa acid tumbon?
@shukranjulius95268 күн бұрын
Mbona tunaambiwa inasababisha magonjwa ya moyo
@PruchelyJohn8 күн бұрын
Dr. hyo njia ya vidonge vya majira kwa kila siku ikitokea siku moja ukasahau kumeza unaweza kupata mimba pia🙏
@changanyikenitv51639 күн бұрын
Asante kwa elimu Bora
@SymonAaron11 күн бұрын
Why us like plo lumumba
@fabrianjr916312 күн бұрын
Dokta hongera kwa kutoa elimu na.kusaidia jamii naomba utuandalie somo linalohusu tatzo kutokwa damu puani na matibabu yake
@OtmariChiweka199912 күн бұрын
🙌
@SalamaMohammed-z6j13 күн бұрын
Nini madhara ya acid tumboni
@EsterMoto-l3h3 күн бұрын
M mwenyewe ninayo hiyo shida naomba namba yako nateseka sana na hiyo shida
@AshaKarimu15 күн бұрын
Mimi napata shida sana nakuwashwa koo
@doktamathew15 күн бұрын
Whatsapp 0759710680
@nzellahhamis150416 күн бұрын
Baada ya kuwa na maumivu kifuani, kiuno, viungo, uchovu, Nilipima last two weeks nikaambiwa Nina vidonda vya tumbo na vimeonekana kwenye choo na sio kwenye damu. Nimepewa dawa inaitwa KIT FOR H PYLORI. Na maelekezo ya Dr amesema Bacteria huyu sio vidonda vya tumbo. Swali langu ni: KIT FOR H PYLORI ni dawa ya huyu Bacteria au ni dawa ya vidonda vya tumbo?
@stevenfrank640117 күн бұрын
👍
@HajrahRamadan19 күн бұрын
Dr, uko wapi na namba zako za simu mm hizo dalili ninazo
@doktamathew19 күн бұрын
Whatsapp 0759710680
@godyshayo998420 күн бұрын
Kama una vidonda vya tumbo unaweza kunywa kahawa
@doktamathew20 күн бұрын
Usitumie
@japharingove471425 күн бұрын
Saf sana cheaf nimepata shule kubwa
@GenesMatei25 күн бұрын
Mtu akinywa maji ya glucose kila siku Kuna shida docta?
@doktamathew25 күн бұрын
Atapata kisukari
@stevenfrank640125 күн бұрын
Shukrani dokta. Ubarikiwe
@RehemaMaliki-q6n26 күн бұрын
Jamn mim nina shida doctor naomba namba
@doktamathew26 күн бұрын
Whatsapp 0759710680
@gladnessterry843026 күн бұрын
Usiku ninateseka sana doctor
@doktamathew26 күн бұрын
Whatsapp 0759710680
@DelAdryАй бұрын
Dr ikitokea mama anatumia kitanzi then baada ya miezi kama nane hivi anakosa period, ushauri wako ni upi kwa mtu kama huyo Dr?
@doktamathewАй бұрын
Tazama mpaka mwisho nimeeleza
@atuganilemwanyasi605829 күн бұрын
Asante sana kwa Somo zuri hakika nimeelimika🙏🙏
@karim6964Ай бұрын
Doctor Asante Kuna Elim nimepata hapa
@arishimosha6455Ай бұрын
1:50
@benjaminmlaghila5453Ай бұрын
❤ napenda sana kazi yako
@SangaJ-l4zАй бұрын
Sawa doctor tunashukuru
@doktamathewАй бұрын
🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@fathefirst1935Ай бұрын
Keep up the good work Daktari. Umekuwa msaada sana kwa jamii
Mungu na akawafiriji na MUNGU atupganie, kuna watu wanaotamani kuangalia afya zao ila hawana pesa
@Mpemba-n4yАй бұрын
Dokta na omba namba
@doktamathewАй бұрын
0759710680 Tuma ujumbe whatsapp
@MariyamOmar-lx4ezАй бұрын
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakaatuh mmi naumwa sana walai nikona miaka 14 kwa kitanda sijawahi kusikia nafu tumemaliza pesa zote niko Mombasa Kenya🇰🇪 nilikuja mpaka Tanzania nikaja kwa shekh maikol huku niko Kenya niliwahi kuenda mahispitali mengi mengi sijawahi pona kabisa hata sai niko kwa kitanda watu wamechoka na mmi siwezi hata kazi yoyote ele kwa Nyumba pia naona nikama nasumbua sana nimechoka sana mimi usiku naona pumzi zina goma
@doktamathewАй бұрын
Habari.pole sana kwa unayoyapitia.tafadhali niandikie ujumbe whatsapp 255 759 710 680
@kenedyandrew107Ай бұрын
Doctor hongera kwa kazi nzuri nimekua mfatiliaji sana na tips zako
@SalimaJapharyАй бұрын
Mungu akulinde dr
@charlesmollel1845Ай бұрын
😊8t
@najmaulaya2261Ай бұрын
Dr upo maeneo gani nasumbuliwa mimi nimemaliza hospital lkn tatizo bado koo linaniuma halafu kama kunakitu kinakwama na sauti inakua inakwaruza naomba nisahidie
@doktamathewАй бұрын
0759710680
@hamadkimaya2564Ай бұрын
Chakwanza anza kulalia mto ili acid isirudi kooni. Ndani ya wiki moja - mbili koo lako litaanza kukaa sawa. Hali ya kukohoa ili kurekebisha sauti/koo itaacha
@ashadanga6470Ай бұрын
Mimi nimepjmwa nina vidond vya tumbo ila nimepewa dawa inaitwa kit for pylori Je ni sahihi na dalili zote hizo ninaz
@doktamathewАй бұрын
0759710680
@benjaminmlaghila5453Ай бұрын
Asante sana Dr mimi nimeogopa sana maana ninatatizo la choo cheusi
@glorymamkwe43602 ай бұрын
Asante dr kwa elimu
@AminalubadiliLubadili2 ай бұрын
Tutumie namba zako ututumiie
@doktamathew2 ай бұрын
0759710680
@MariyamOmar-lx4ez2 ай бұрын
Salam aleikum mmi naumwa Sana Na dalili zoye nikonazo nimepewa madawa but Basi sijapona