Nipo Geita, nahitaji Hilo jiwe lishe. Naomba msaada wa kulipata
@avyalimanaathanassambuta657720 күн бұрын
All the best Mkuu
@nestor38421 күн бұрын
Mpuuzi huyu bwana
@GeraldinaGerard-xy6pl22 күн бұрын
No za Jossam kwa kqgera
@GeraldinaGerard-xy6pl22 күн бұрын
No za Jossam kwa kqgera
@GeraldinaGerard-xy6pl22 күн бұрын
Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera
@cyprianmgogo7625Ай бұрын
Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?
@lusajomwakalinga5813Ай бұрын
Tunashindwa kudownload
@mapambanotv19Ай бұрын
Njooni Tuwauzie vifaranga kama kilo 10000 tutawapatia kwa idadi mnayohitaji
@Omary_Mjema5 күн бұрын
Wapi mnapatikana?
@ekyochisikitaya5354Ай бұрын
Na mbegu tutaipata wapi?
@ekyochisikitaya5354Ай бұрын
Jani hilo linaitwa aje?
@JonasMtuguluАй бұрын
Naomba namba zenu za simu
@JonasMtuguluАй бұрын
Namba za simu
@edwinmbunda6709Ай бұрын
Aina gani ya samaki?kambale?
@edsonnelson4464Ай бұрын
Yaani huyu mkuu wa mkoa alikuwa yuko vizuri sana, sijui hiyo kashifa ilitoka wapi, na hawa ndiyo viongozi wanaotakiwa
@nestor38421 күн бұрын
Hakuna zuri lolote kwa huyu bwana kwa tabia aliyoionesha!
@dominicksangu8934Ай бұрын
Ufugaji n mzur lkn achen kumnad samia kusko na maana kwan hapo ana uckaje ?alikupa hao ng'ombe bule au kapen zimeanza
@maikoyona-cm5xuАй бұрын
Good news ✅
@maikoyona-cm5xuАй бұрын
Good news ✅
@JeremiahMashini-hs2xzАй бұрын
Ninaomba namba simu jinsi kuwapata
@AgnesKalageАй бұрын
Naomba jinsi ya kunenepesha ngombe
@hildakamugisha11352 ай бұрын
Dar tunapata wapi
@IsayaMwalukasa-ur2zt2 ай бұрын
Hii ni nzuri saana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla
@jacob.surassa7252 ай бұрын
Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi
@dausonkahitira55972 ай бұрын
Kaz njema na madini mengi napatq
@PESASungula3 ай бұрын
Mimi mfugaji wa sungura
@SHABANIMAKUSI3 ай бұрын
Shukrani sana, kwa elimu hii ya upandaji wa majani
@gigiman54653 ай бұрын
Kilimo cha simu kizuri no stress
@gigiman54653 ай бұрын
Kilimo cha simu kizuri no stress
@chuzilapweza65172 ай бұрын
nimevutiwa na huu mradi
@annamlozi4538Ай бұрын
Safi sana
@SaidKondo-rw8wb3 ай бұрын
Hongera mama,upo wapi tuje tukutembeleee
@mengikibona14053 ай бұрын
Hawatoshi watam boda san
@mifugouvuvionlinetv90323 ай бұрын
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
@mifugouvuvionlinetv90323 ай бұрын
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
@innocentandrea64823 ай бұрын
Kwa Moshi mbegu mnauza wap
@MATHIASLUGIKO3 ай бұрын
Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta
@user-li5ub9sb7v3 ай бұрын
Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma
@JastineMafushi-hl6lp3 ай бұрын
Nahitaji vifaranga vya sato
@SaidKondo-rw8wb3 ай бұрын
Hongereni sana
@user-os8qc7pl1g3 ай бұрын
Nimeipenda sana hiyo fursa naomba mawasiliano yako
@user-iw4ho4wb5p3 ай бұрын
Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure
@felixchristopher7018Ай бұрын
Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!
@user-iw4ho4wb5p3 ай бұрын
Tayari Muleba tuna mbegu nyingi
@felixchristopher7018Ай бұрын
Hongereni sana mkuu. Mawasiliano yenu tafadhali
@davidkelvin16923 ай бұрын
Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa
@ramamabinda50634 ай бұрын
Hapa ndio tuonaona ubaguzi wa wazi wazi wa serkali kwa wananchi wake. Maziwa yapo mengi tu nchini, lakini naona mengne hayafai kwa miradi kama hiyo ispokua Victoria tu. Huko kwingine serkali inaweza kufunga ziwa, hata watu wakipata madhara yoyote, ni sawa tu, maana binaadam ni hawa walioizunguka Victoria.
@UDFdaycareRuvuma4 ай бұрын
Safi
@MagenLucas4 ай бұрын
Naitaji naomba ya sm yenu
@SaidKondo-rw8wb4 ай бұрын
Tunafikaje huko ofisini kwenu,west Kilimanjaro,tupeni msaada wa taarifa.