TALIRI NDANI YA SABASABA
2:23
14 күн бұрын
LITA NDANI YA SABASABA
3:23
14 күн бұрын
MKURUGENZI WA UVUVI NDANI YA SABASABA
2:47
FETA NDANI YA SABASABA
2:56
14 күн бұрын
BBT UVUVI SABASABA
3:30
14 күн бұрын
Пікірлер
@MwendaAdam
@MwendaAdam 2 күн бұрын
Naona ameonewa na siasa tu
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 5 күн бұрын
❤🎉 comrade
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo 17 күн бұрын
Huyu mpuuzi Mpenda nyuma Tigo
@amaniaboubakar1187
@amaniaboubakar1187 20 күн бұрын
Nipo Geita, nahitaji Hilo jiwe lishe. Naomba msaada wa kulipata
@avyalimanaathanassambuta6577
@avyalimanaathanassambuta6577 20 күн бұрын
All the best Mkuu
@nestor384
@nestor384 21 күн бұрын
Mpuuzi huyu bwana
@GeraldinaGerard-xy6pl
@GeraldinaGerard-xy6pl 22 күн бұрын
No za Jossam kwa kqgera
@GeraldinaGerard-xy6pl
@GeraldinaGerard-xy6pl 22 күн бұрын
No za Jossam kwa kqgera
@GeraldinaGerard-xy6pl
@GeraldinaGerard-xy6pl 22 күн бұрын
Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera
@cyprianmgogo7625
@cyprianmgogo7625 Ай бұрын
Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?
@lusajomwakalinga5813
@lusajomwakalinga5813 Ай бұрын
Tunashindwa kudownload
@mapambanotv19
@mapambanotv19 Ай бұрын
Njooni Tuwauzie vifaranga kama kilo 10000 tutawapatia kwa idadi mnayohitaji
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 5 күн бұрын
Wapi mnapatikana?
@ekyochisikitaya5354
@ekyochisikitaya5354 Ай бұрын
Na mbegu tutaipata wapi?
@ekyochisikitaya5354
@ekyochisikitaya5354 Ай бұрын
Jani hilo linaitwa aje?
@JonasMtugulu
@JonasMtugulu Ай бұрын
Naomba namba zenu za simu
@JonasMtugulu
@JonasMtugulu Ай бұрын
Namba za simu
@edwinmbunda6709
@edwinmbunda6709 Ай бұрын
Aina gani ya samaki?kambale?
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Yaani huyu mkuu wa mkoa alikuwa yuko vizuri sana, sijui hiyo kashifa ilitoka wapi, na hawa ndiyo viongozi wanaotakiwa
@nestor384
@nestor384 21 күн бұрын
Hakuna zuri lolote kwa huyu bwana kwa tabia aliyoionesha!
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 Ай бұрын
Ufugaji n mzur lkn achen kumnad samia kusko na maana kwan hapo ana uckaje ?alikupa hao ng'ombe bule au kapen zimeanza
@maikoyona-cm5xu
@maikoyona-cm5xu Ай бұрын
Good news ✅
@maikoyona-cm5xu
@maikoyona-cm5xu Ай бұрын
Good news ✅
@JeremiahMashini-hs2xz
@JeremiahMashini-hs2xz Ай бұрын
Ninaomba namba simu jinsi kuwapata
@AgnesKalage
@AgnesKalage Ай бұрын
Naomba jinsi ya kunenepesha ngombe
@hildakamugisha1135
@hildakamugisha1135 2 ай бұрын
Dar tunapata wapi
@IsayaMwalukasa-ur2zt
@IsayaMwalukasa-ur2zt 2 ай бұрын
Hii ni nzuri saana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla
@jacob.surassa725
@jacob.surassa725 2 ай бұрын
Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi
@dausonkahitira5597
@dausonkahitira5597 2 ай бұрын
Kaz njema na madini mengi napatq
@PESASungula
@PESASungula 3 ай бұрын
Mimi mfugaji wa sungura
@SHABANIMAKUSI
@SHABANIMAKUSI 3 ай бұрын
Shukrani sana, kwa elimu hii ya upandaji wa majani
@gigiman5465
@gigiman5465 3 ай бұрын
Kilimo cha simu kizuri no stress
@gigiman5465
@gigiman5465 3 ай бұрын
Kilimo cha simu kizuri no stress
@chuzilapweza6517
@chuzilapweza6517 2 ай бұрын
nimevutiwa na huu mradi
@annamlozi4538
@annamlozi4538 Ай бұрын
Safi sana
@SaidKondo-rw8wb
@SaidKondo-rw8wb 3 ай бұрын
Hongera mama,upo wapi tuje tukutembeleee
@mengikibona1405
@mengikibona1405 3 ай бұрын
Hawatoshi watam boda san
@mifugouvuvionlinetv9032
@mifugouvuvionlinetv9032 3 ай бұрын
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
@mifugouvuvionlinetv9032
@mifugouvuvionlinetv9032 3 ай бұрын
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
@innocentandrea6482
@innocentandrea6482 3 ай бұрын
Kwa Moshi mbegu mnauza wap
@MATHIASLUGIKO
@MATHIASLUGIKO 3 ай бұрын
Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta
@user-li5ub9sb7v
@user-li5ub9sb7v 3 ай бұрын
Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma
@JastineMafushi-hl6lp
@JastineMafushi-hl6lp 3 ай бұрын
Nahitaji vifaranga vya sato
@SaidKondo-rw8wb
@SaidKondo-rw8wb 3 ай бұрын
Hongereni sana
@user-os8qc7pl1g
@user-os8qc7pl1g 3 ай бұрын
Nimeipenda sana hiyo fursa naomba mawasiliano yako
@user-iw4ho4wb5p
@user-iw4ho4wb5p 3 ай бұрын
Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure
@felixchristopher7018
@felixchristopher7018 Ай бұрын
Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!
@user-iw4ho4wb5p
@user-iw4ho4wb5p 3 ай бұрын
Tayari Muleba tuna mbegu nyingi
@felixchristopher7018
@felixchristopher7018 Ай бұрын
Hongereni sana mkuu. Mawasiliano yenu tafadhali
@davidkelvin1692
@davidkelvin1692 3 ай бұрын
Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 4 ай бұрын
Hapa ndio tuonaona ubaguzi wa wazi wazi wa serkali kwa wananchi wake. Maziwa yapo mengi tu nchini, lakini naona mengne hayafai kwa miradi kama hiyo ispokua Victoria tu. Huko kwingine serkali inaweza kufunga ziwa, hata watu wakipata madhara yoyote, ni sawa tu, maana binaadam ni hawa walioizunguka Victoria.
@UDFdaycareRuvuma
@UDFdaycareRuvuma 4 ай бұрын
Safi
@MagenLucas
@MagenLucas 4 ай бұрын
Naitaji naomba ya sm yenu
@SaidKondo-rw8wb
@SaidKondo-rw8wb 4 ай бұрын
Tunafikaje huko ofisini kwenu,west Kilimanjaro,tupeni msaada wa taarifa.
@user-cy4cy6uh1w
@user-cy4cy6uh1w 4 ай бұрын
Tupo pamoja
@user-cy4cy6uh1w
@user-cy4cy6uh1w 4 ай бұрын
Wataalamu waongezwe