Shida watangazaji washamba hawajui KUTUMIA social media Kila alouliza hapo hawajajibu WAKAT ndi wateja wenyewe wanaowatafuta
@mmaryben8442 ай бұрын
Shida ni naiona ni nzuri but taarifa ni incomplete,.....mnapatikana wapi,Bei ni kiasi Gani? Inasafirishwaje au inawezekana kunitengenezea kwangu?
@TanzaniaKilimodigitalTv-yj2bt2 ай бұрын
@@mmaryben844 karibu Boss, hatutaji Bei Kwasababu inategemea gharama za material mteja alipo pia ,cage Kuna kuanzia kuku 100 mpaka 1000 hivyo ni vyema ukapiga simu ili upate maelekezo mazuri zaidi, karibu sana