Walioko madarakani wajibu hizi shutuma. Je ni kweli yasemwayo?
@NixonJohnson-r4mКүн бұрын
Ni ukwelu usiopingika inakuja tz haikwepeki .wala katiba hatutaiangalia kwa njaa hiiiii
@mariamdzameКүн бұрын
congratulations ❤❤
@salmabasil385Күн бұрын
Na sio babu Amra ni babu Amara doh
@salmabasil385Күн бұрын
Fanya research kabla hujaongea Paula sio bint wa kwanza wa majani kuna Patricia kabla ya paula
@GossipCourt2 күн бұрын
✅✅✅✅✅
@benjamalila99423 күн бұрын
Safi
@user-oz7qs3xt6t3 күн бұрын
Amen
@user-wi6oo9gu5n4 күн бұрын
Walai hiii nayo ni ukweli kabisaaaaa
@user-ug1jf5br2q5 күн бұрын
Kaka nipe njia namm mimi ninayo herufi m irasina maisha
@judicateurassa78175 күн бұрын
Mbowe hata miaka 50 aongoze mpaka tupate ukombozi kama mandela
@user-gr9wc7bc2m6 күн бұрын
Wapigania uhuru hawabadirishi mwenyekiti
@GloriaMunezero-qk8pz7 күн бұрын
Kl gee❤❤❤❤
@joshualusato20998 күн бұрын
Hugo Hanna kitu halo na wewe unapoteza muda kwa kuptosha jamii
@JosefuSwai10 күн бұрын
Iko wazo chadema ni chuo Cha wanasiasa njooni ccm mchukue wahitimi wapo wengi sanasana
@PremicePaluku-ff6fr10 күн бұрын
Mimi nina hiyoo erufi m katika mikono yangu yote asante nina imani mungu ipo siko ata nitajirisha Katika njia zinazo mfurahisha asante
@fuadaladawi125510 күн бұрын
Go boy go, Obama weating you mayami
@fuadaladawi125510 күн бұрын
Ibra is great
@user-bz5ti6op6z11 күн бұрын
Mzee ni wazi mbowe ni Mwenyekiti wa milele
@gangan461811 күн бұрын
Chadema ni lichama Imara sana TENA SANA.
@adelinelyaruu303611 күн бұрын
Na hiki Chama kinaendelea kusimama imara. Mungu awatangulie
@gangan461811 күн бұрын
Kweli Kamanda Mbowe ni Mwamba. Pamoja na Chuma "LISSU" Tunauona ukombozi wa TANGANYIKA HATIMAE TANZANIA ILIYO BORA ZAIDI. Well said Kamanda, Viva kamanda viva.
@swedystar797011 күн бұрын
Swedy star 💫 From Us amissi Kamanda 🎉🎉🎉🎉🎉
@user-hr9ol5we9y11 күн бұрын
Dear God, let your will be done, I'm just a piece of clay but you are the potter 🙏🙏
@WinfredNdunguru11 күн бұрын
Sawa umejuaje
@neemanziku540312 күн бұрын
Kupitia msigwa imenifanya nisimwamini mtu,kweli msigwa Ni msaliti
@FikiriniMwaluko12 күн бұрын
Baba imeongea vizuri sana
@user-zi4et6uz2u12 күн бұрын
That's true
@bonifacemwanga311512 күн бұрын
Msigwa kuwa makin, wakishakutumia wanasep na ww huna mahal pakutua wakt utaongea
@bonifacemwanga311512 күн бұрын
MSIGWA UMEAMUA KURUDI (MISRI) umerudi utumwani je utakuwa na ujasiri wa kukibadilisha CCM MAFARAO hawatakuacha, historia inaonyesha ukila matapishi lazima utaarisha/tumbo litakuuma, wakat utazungunza
@camilomassao897113 күн бұрын
Mbona ccm walianzaga kampeni za Magufuli wa Milele? Wanahoji vipi ya CHADEMA ? Hizo ni politics, Mbowe songa mbele
@adelinelyaruu303611 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda mwamba wetu❤
@MuhojaMalicho13 күн бұрын
❤❤❤❤ chadema ndo talajio la wengi kuondoa umaskn maana ccm wemesalit ichi yetu ccm kimekuwa chama cha mabepali mabebelu
@MuhojaMalicho13 күн бұрын
❤❤❤❤ chadema ndo talajio la wengi
@abdalahgunda131913 күн бұрын
Sisi hatuna shida lakini mbowe ni mvumili ila tunamuitaji lisu kuwa raisi ktk taifa hili ili sishooshe nchi bila kuangalia sura za watu aangalie sheria tuu hatutasema kuwa ilipize kisasi hapana Bali sheria
@abdalahgunda131913 күн бұрын
Ccm Wana Wana siasa wazuri tuu shida ni sheria hazifuatwi sio kwamba ccm Haina Wana siasa wapo wana siasa wazuri wenye mvuto elimu kubwa wenye PhD shida ya ccm uongo kwa sababu wapo kina bashiru makonda na wengineo ndani ya ccm mm siamimi kuwa ccm Haina Wana ccm wazuri hapa wapo chadema inasimamia haki huo ndio uzuri wa chadema
@adelinelyaruu303611 күн бұрын
Vipngozi wote Chadema ni wazuri na wanaweza kuongoza nchi hii kwa haki na utulivu na pia kwa demokrasia endelevu
@coolruler682013 күн бұрын
Sijaona wa kumfananisha na mbowe kwenye upinzani, amejaa utulivu, hekima na ni mpends amani na ni mtu asiyeyumbishwa na asiyekata tamaa. Hata wanaomsema kuwa chama ni chake acha wamseme kwani anastahili kuwa kiongozi hadi pale chama kitakapotimiza ndoto ya kuishika dola.
@AlphaBarageti-ru5xj13 күн бұрын
Demokrasia ni kura Wanachama wakichagua kiongozi yuleyule ni demokrasia haijalishi ni mara ngapi kiongozi yuleyule atachaguliwa .
@ceciliamagalabajimmy439113 күн бұрын
❤ Yaani umesema kweli kabisa. Mimi ni zao lako la kwanza diwani mwanamke wa kuchaguliwa ktk jimbo la Kyela na kanda ya Nyasa. Asante Mungu akubariki na kukulinda mwenyekiti wangu 2015.
@bulayamoffatmwmbilu575013 күн бұрын
Mbowe msimamo.Wasaliti wrote wataondoka ili wabaki wanamageuzi
@cloudjulius-sf6nw13 күн бұрын
Mzee tuko nyumayako
@ZahoroIdrissa-s6k14 күн бұрын
Swaga za uongo tu izo
@mertus.nestory.bishirangon462414 күн бұрын
Good
@SirajiHamis-pc1kh14 күн бұрын
Mzee uko vizuri sanaa ❤
@simpsonisoe899414 күн бұрын
Msingwa ameniangusha sana,nilikua na muaminisana ki sisiasa ,mudooomoo tu ,njaaa kamupeleka ccm
@rwakyenderajulius386114 күн бұрын
Busara
@judicatendengerio-ndossi158314 күн бұрын
Washindani hutumia walinzi au watu wakaribu nae Kiongozi wa juu kummaliza. Lilitokea kwa wafalme, manabii na viongozi wengine. Nixon alisemaga Kila mtu anauzika mradi ufike bei. Maisha ni mafupi wacha anaejiuza ajiuze. Muulizeni aliyebomoa madanguro kinondoni alifanikiwa? Si bado wapo? Siasa ni hivyo hivyo. Kisa cha Shakespear na Brutus Brutus ni hikihiki.