BIASHARA YA MASHUKA YA KIGOMA
10:12
TATIZO LA KUKOSA CHOO KWA WATOTO
8:08
LISHE KWA WATOTO WA MIEZI 7 HADI 9
10:59
Пікірлер
@ZainabuRashidi-f2r
@ZainabuRashidi-f2r 6 күн бұрын
Naomba kuuliza mtoto anaanza kula anapokamilisha miezi sita au ni ndani ya mwezi wa sita
@VanessaMallya-c5v
@VanessaMallya-c5v 22 күн бұрын
Mafuta ya moto au ya baridi?
@AlexChungu-t2j
@AlexChungu-t2j 23 күн бұрын
Barikiwa sana🙏
@BarakaPaul-d5o
@BarakaPaul-d5o Ай бұрын
Bei ya jumla bei gani
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 29 күн бұрын
Wasiliana na namba ipo kwenye video
@RehemaselemanMazwil
@RehemaselemanMazwil Ай бұрын
Sawa
@joreenmassawe8801
@joreenmassawe8801 Ай бұрын
Mim mtoto wangu ana miez sita na wik 2 ila ni msumbufu kula
@NajjatKassim
@NajjatKassim Ай бұрын
Huchemshi?
@farajaodero4482
@farajaodero4482 Ай бұрын
Mwanangu kabàkiza siku 5 naweza kumpa chakul
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 Ай бұрын
Subiri zitimie mpendwa, zimebaki chache tu
@Paulmtao
@Paulmtao 2 ай бұрын
Mimi nina mimba ya miezi 6 lakn dawa ninazoi tumia zinaitwa FEFO hasa najiuliza ni sahihi kwel maana hospitalin walinambia nitumie
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 Ай бұрын
Ni sahihi, Fefo zina mchanganyiko wa iron kwa jina lingine ni Ferrous na pia zina folic acid pia ndiyo maana kwa kifupi zinaitwa Fefo
@famentplatnumz1143
@famentplatnumz1143 2 ай бұрын
Jmn na mimba ya week 8 naeza anza kutumia hiy folic acid???😢😢😢
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 Ай бұрын
Unaweza anza
@OmanOman-wy3ih
@OmanOman-wy3ih 2 ай бұрын
Dada nimekupenda ma sha Allah unajibu comment vizuri tena karibu zote Allah akulinde dada yangu
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 Ай бұрын
Amina shukrani sana
@neemangenzi8610
@neemangenzi8610 2 ай бұрын
Thanks mummy, binafsi umenifumbua macho😢😢😢
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 2 ай бұрын
Shukrani sana
@neemangenzi8610
@neemangenzi8610 2 ай бұрын
Ahsante dada, kitabu ndo kil a kitu tupatie
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 2 ай бұрын
Karibu 0768297606
@Emmykirway-m1i
@Emmykirway-m1i 2 ай бұрын
Mwanangu anapata shida wakati wakujisaidia analia sana na choo kigumu
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 2 ай бұрын
Mpeleke hospital ya karibu
@hawaajanka8529
@hawaajanka8529 2 ай бұрын
Sory uji tunapikaj bila sukar?
@hawaajanka8529
@hawaajanka8529 2 ай бұрын
Uje tunapikaje bila sukar dada
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 2 ай бұрын
Huwa tunatumia mbadala wa sukari kwa watoto kama rojo ya tende, rojo ya matunda matamu kama ndizi, embe nk
@SaniaKwangaya
@SaniaKwangaya 2 ай бұрын
Nataka kujifunza
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 2 ай бұрын
Tutakuwa na darasa litaanza mwezi January 2025
@RosemaryEmily-n3x
@RosemaryEmily-n3x 2 ай бұрын
Mwanangu dalili zote anazo anamwaka na miez 2
@SalamaMohammed-z6j
@SalamaMohammed-z6j 3 ай бұрын
Mimi nina ujauzito wa mwezi mmoja na nina vidonda vya tumbo na acid na vyakula vingi wameniambia nisile je itakuaje kwenye makuzi ya mtoto na hyo folic acid nikitumia pia amna shida yoyote mna sijui ata nile nini kila ninachokila acid inaongezeka
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 3 ай бұрын
Pole sana kwa changamoto, ni vyema ukaenda hospitali kwa ushauri na muongozo zaidi
@SalamaMohammed-z6j
@SalamaMohammed-z6j 3 ай бұрын
@mastytvtanzania2511 sawa Asante
@NemaSleiman
@NemaSleiman 3 ай бұрын
Mamy naomba naomba yako
@GamDuel-vr4hp
@GamDuel-vr4hp 3 ай бұрын
Appointment ya leo bila wewe ninge aibika nashkuru nimeupiga mwingi asante sana
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 3 ай бұрын
Ha ha haaa nimefurahi kusikia hivyo
@AbuuGapiTV
@AbuuGapiTV 3 ай бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@AbuuGapiTV
@AbuuGapiTV 3 ай бұрын
Hongeza kwa somo zuri
@AbuuGapiTV
@AbuuGapiTV 3 ай бұрын
Tunashukuru sana mtaalamu wa lishe kwa somo Zurich,mungu akupe umri mrefu ili uendelee kutuelimisha
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 3 ай бұрын
Amina Asante sana
@BukuruIbrahim-o3m
@BukuruIbrahim-o3m 3 ай бұрын
❤❤❤❤
@eshaali9693
@eshaali9693 3 ай бұрын
Cmc ndio nn
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 3 ай бұрын
Kilainishi husaidia ice cream ziwe laini
@alinentahobari2930
@alinentahobari2930 3 ай бұрын
Hapo kwenye asali we acha tu sitaki kukumbuka 😭
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 3 ай бұрын
Pole sana kwa changamoto, unaweza ukashare nasi changamoto uliyoipata mpendwa
@RynerLinuma
@RynerLinuma 3 ай бұрын
Hata ukiangalia hizi ice cream ni tamu sana
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 3 ай бұрын
Shukrani sana
@lydialugakila6078
@lydialugakila6078 3 ай бұрын
@SalomeNyamwata
@SalomeNyamwata 3 ай бұрын
Hebu nijuze zaidi vilainishi ni nini
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 3 ай бұрын
Vinasaidia ice cream kuwa laini, vipo katika mfumo wa ungaunga. Katika masoko ulizia CMC
@NasmaThabith
@NasmaThabith 4 ай бұрын
Ahsante baas mie nilitaka nikayatafute supermarket,,,na vip kuhusu kupatikan zinapatikan maduka ya asili au sokon?
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 4 ай бұрын
Hata kwenye masoko zinapatikana mpendwa
@zingesally
@zingesally 4 ай бұрын
Iki endakucukuw dukani utauliziya nipe kilayinishi ?awokunajina ningine
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 3 ай бұрын
Unaweza sema kilainishi au CMC
@zingesally
@zingesally 4 ай бұрын
Iki endakucukuw dukani utauliziya nipe kilayinishi ?awokunajina ningine
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 4 ай бұрын
Ndiyo unasema kilainishi au CMC
@lovenesdickson1824
@lovenesdickson1824 4 ай бұрын
Namba za simu
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 4 ай бұрын
Zipo namba za muuzaji kwenye video
@FraikoMwengwa-on6iy
@FraikoMwengwa-on6iy 4 ай бұрын
Mimi nina mimba nina tatizo mimba kuharibika nimepewa dawa erythromin na folic
@HamisaJuma-n5x
@HamisaJuma-n5x 5 ай бұрын
Hicho kilainishi kinauzwa wapi jamani na inaitwaje msaada naomba
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 3 ай бұрын
Kwenye masoko unapata, ulizia CMC
@didahsalim360
@didahsalim360 5 ай бұрын
Dada samahani ingekuwa vizuri zaidi kama ungeblend badala ya kuchuja...
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Ooh asante ni sawa pia
@judithgeorge-r7z
@judithgeorge-r7z 5 ай бұрын
Asante sana dada somo zurii❤😊
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Shukrani sana
@AyingeneyeMariam
@AyingeneyeMariam 5 ай бұрын
Bei gani
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Wasiliana na namba zipo kwenye video uwasiliane na muuzaji
@ESTALUSAYO7420
@ESTALUSAYO7420 5 ай бұрын
Asante kwa somo dear, naomba kuuliza mbona mim nikichanganya rangi haikoi msaada tafadhali
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Umetumia rangi za aina gani?
@SarahMolla-qh4rd
@SarahMolla-qh4rd 5 ай бұрын
Ngoja na mm nijaribu
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
All the best
@SarahMolla-qh4rd
@SarahMolla-qh4rd 5 ай бұрын
Naomba unifundishe na mm
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Fata tu hizo hatua kwenye video yangu utaweza
@neemalizia9890
@neemalizia9890 5 ай бұрын
Asante sana❤
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Shukrani sana
@ChrisensiaFrancis
@ChrisensiaFrancis 5 ай бұрын
Chakula cha mtoto waweza kueka chumvi?
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Ndiyo kuanzia umri wa mwaka mmoja
@khadijacarine8852
@khadijacarine8852 5 ай бұрын
Asante sana,mtoto wangu iko napata choo kidogo Sana nifanyeje
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Ana umri gani?
@MwajumaSeif-k7f
@MwajumaSeif-k7f 18 күн бұрын
Wang anamiez miwil hapt choo anakam wiki mbili
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 17 күн бұрын
@MwajumaSeif-k7f mpeleke hospitali kwa msaada zaidi mpendwa.
@NeemaElia-e4l
@NeemaElia-e4l 5 ай бұрын
Ukikosa CMC unaweza tumia nn
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Unaweza tumia cornflour
@DorcusSamwel
@DorcusSamwel 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama angu nimejifunza na naanza kutendea kaz
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Shukrani sana
@SiwemaAbdull
@SiwemaAbdull 6 ай бұрын
Sasa kwa maziwa yaunga kunafaida kweli
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Ipo
@mukizagideons1094
@mukizagideons1094 2 ай бұрын
Nimejiuliza hilo pia
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 2 ай бұрын
@mukizagideons1094 mimi hapo nilitengeneza za matumizi ya nyumbani tu. Kwa biashara unaweza kutumia yale ya unga ya kupima kidogo hayana gharama kubwa
@ruthjmkombozi5990
@ruthjmkombozi5990 6 ай бұрын
Huwezi kutengeneza na maziwa fresh?
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 6 ай бұрын
Unaweza
@SalmaAyub-ie5op
@SalmaAyub-ie5op 4 ай бұрын
Maziwa fresh unaeka vikombe vingapi dear​@@mastytvtanzania2511
@HopeKilly
@HopeKilly 6 ай бұрын
Mtoto wangu mebakisha siku kumi na tatu vp dkt naweza kumpa chakula
@mastytvtanzania2511
@mastytvtanzania2511 5 ай бұрын
Amebakisha siku 13 atimize umri gani mpendwa?