Nakupenda lugarawa ulinilea kwa miaka 3 nikiwa mtoto iko mwaka nitakuja kukuletea zawadi
@abdallahsaid8157Ай бұрын
MashaAllah!!!
@PineTree-n9y20 күн бұрын
Hakuna kitu upigaji tu bilioni Moja imekatika hakuna Cha maana
@matheihaule-g9z3 ай бұрын
Iko vizur sana
@Allenluoga4 ай бұрын
Tunamshukuru Sanaa maana Barbara NI fursa ya biashara
@ElishaMhagama-c9m4 ай бұрын
Hongera sana kwetu. ila niliomba rami kutoka madaba kupita mavanga kwenda rudewa ipite
@JamesAbel-ig8wb9 ай бұрын
Barabara ya mbeya hadi Ludewa kupitia Makete mtaanza lini acheni maneno weka vitendo
@HappyMtega-j9f9 ай бұрын
❤
@Dr.Canisiusjohnkayombo9 ай бұрын
Naomba namba ya wahusika wa utalii tuwasiliane ili tufanye biodiversity assessment ya milima ya Livingstone
@LeslieLugongo11 ай бұрын
Hongereni kwa ngoma
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
ACHENI ROHO ZA KIMASIKINI,ETI HAMTAKI WAWEKEZAJI!! NJOMBE ARDHI KUBWA INAFAA KWA KILIMO CHA AVACADO,HAMJAWEZA KUPANDA HATA MICHE KUMI!!
@mtegamelkior5193 Жыл бұрын
Wananjombe mwungeni mkono mwanamapinduzi huyo wa maendeleo Mhe.mkuu wa mkoa, Njb itapaa kiuchumi.
@CalninhoMhagama Жыл бұрын
Hm is just home
@saidiathuman-og6bc Жыл бұрын
Fuga nywele wew zitakuludia utagundua kitu ila icho kipala hautojua kitu apo ila subili ipo siku utasema
@BonnyMwajombe-iu7hb Жыл бұрын
Hujitambui
@ntegrity277 Жыл бұрын
SIRI IMEFICHUKA KUMBE MKATANA SIO BANDARI YA DAR TU DUUH HADI NJOMBE
@mzarendo.com9624 Жыл бұрын
Hao DP. World, wameenda kwenye makaa ya mawe, chuma cha Liganga na Mchuchuma. 😭😭😭😭😭😭
@CalninhoMhagama Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@MathewsSikazwe-up4qd Жыл бұрын
hakiri ninywele kweri kila mtu anazake.
@Veni584 Жыл бұрын
Duh! Maskini kweli wote hakuna mwenye kuona mbele kama Magufuli? Ee mwenyezi Mungu tufungulie akili hata kwa watu wawili tu
@KADALAtv255 Жыл бұрын
O God!
@rehemashabhay8946 Жыл бұрын
Watanzania tuweni macho na wawekezaji..tuna mifano mingi wawekezaji wanaliza sana Watanzania maskini...huko kwenye madini ...mmmmhMungu tuongoze kuiona thamani ya nchi yetu..
@sr.elizabethmbuligwe5540 Жыл бұрын
Yaani ninyi akili hazitoshi kama Barabara ya mchuchuma mshimo tuu halafu mnashangalia
@r14kgroup68 Жыл бұрын
Acha upumbafu mnauza nchi kiduwAnz
@LusajoMwajeka-tf1nj Жыл бұрын
Kaeni macho kesho mtahamishwa Kama ngologolo nyie chekeleeni
@sr.elizabethmbuligwe5540 Жыл бұрын
Ila wewe mjinga sana Tena sana wameleta Nini kwenye mkoa wa njombe au unashangilia
@healingclinic698 Жыл бұрын
Endeleeni kutudanganya tu ila ipo siku ntaondoka tu maongo nyie na uongo huu mnaoendelea kutudanganya ili mtatutesa na kutukandamiza kutunyonya mateso haya yatakuwa juu ya watoto wenu na watu wanaopotea ipo siku tutajua walikuwa wanaenda wote
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Wakoloni wa sasa wanaitwa wawekezaji.
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Magufuli tumekumic jamani duu
@cephassikaonga6370 Жыл бұрын
Hiyo mikataba iwe inakuwa wazi
@thomaspeter2540 Жыл бұрын
Acha story tunatak matokeo
@WemaChuma-qx3gz Жыл бұрын
Wanataka makaa ya mawe haooo.
@JosephSibonike Жыл бұрын
Hapana KULA mbegu mwalimu AKISEMA Sasa Yana tokea
@hildandumbalo5827 Жыл бұрын
Mungu utuokoe watanganyika
@hildandumbalo5827 Жыл бұрын
👎👎
@hildandumbalo5827 Жыл бұрын
Wabena Amkeni du Tanganyika yetu Magu RIP
@hildandumbalo5827 Жыл бұрын
Hamjui kitu nyie tumeuzwa wasilizeni kina Madeleka muwe makini wangalieni ndugu zetu wamasai 😭😭😭 ujinga mwingi
@hamzamwaya463 Жыл бұрын
Ubongo wangu unaona Tanzania 🇹🇿 mpya
@healingclinic698 Жыл бұрын
Kuna siku utajikuta umekuwa mtumwa na ndio utakuwa mpya kwenye Tanzania mpya
@mamboshepea8888 Жыл бұрын
Tanzania ilishakua mpya kitambo we slave😓
@rosemaryhyera6164 Жыл бұрын
Asante wa kunyumba mwee
@jenniferhaule Жыл бұрын
Mimi ni wa ntumbati ♥️🤍 naipenda ludewa yangu
@ludewadc5145 Жыл бұрын
Karibu sana Ludewa
@BonnyMwajombe-iu7hb Жыл бұрын
Mimi wa lipangara siipendi ludewa
@kiowiconservstortv824 Жыл бұрын
🫡🫡
@kiowiconservstortv824 Жыл бұрын
Mungu awasimamie my origin
@ludewadc5145 Жыл бұрын
Amen
@godfreymgaya Жыл бұрын
LUDEWA hoyeeeeedddd
@lotridahenjewele8431 Жыл бұрын
Pamoja sana sr
@lotridahenjewele8431 Жыл бұрын
Ludewa yetu, najivunia kuwa mwana Ludewa
@paulnyingo73162 жыл бұрын
Karibu ludewa dada yetu -kazi iendelee
@johnkomba27742 жыл бұрын
Safi sana Mwalimu
@kedeshmhagama76082 жыл бұрын
Duu bonge la dude
@maryfesto23442 жыл бұрын
Hongereni sana Ludewa kumpata mtu sahihi ktk wakati sahihi
@ev.mhugohantish2882 жыл бұрын
Nadhani wananchi ndio wameahauriwa (ambao kimsingi ndio watumiaji). Ila kongole kwa kutuhabarisha umma.