Пікірлер
@balkissMuhammad-sk1ic
@balkissMuhammad-sk1ic 2 күн бұрын
Bismillah astghafirullah
@mrshoonlibysimba3110
@mrshoonlibysimba3110 7 күн бұрын
Allah azid kkupa umri wenye khery ndan yake uzid kutuongoza vijan
@OmariMkumba
@OmariMkumba 9 күн бұрын
Inalillah waina illahi rajuun
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 9 күн бұрын
Ni kweli sheikh, ubinafsi umetawala
@HassanAliAbuuMuhammad
@HassanAliAbuuMuhammad 10 күн бұрын
Wewe mpumbavu wacha kumtukana shekhe wetu mzushi mkubwa
@OmarAlisheikh-it3lf
@OmarAlisheikh-it3lf 15 күн бұрын
Wewe mpuzi kabisa....Allah amhifadhi Abdallah humeid
@user-nl4iw6ul1k
@user-nl4iw6ul1k 17 күн бұрын
Kwahiyo wewe sufi khurafi unakubali kwamba zakri nayk anajua vitu 1000 allah hawezi kufanya?maneno hayo wewe unanayaona ya sawa?
@user-nl4iw6ul1k
@user-nl4iw6ul1k 17 күн бұрын
Kuwa na viewers wengi haimaanishi kuwa ndiyo upo katika haq wewe sufi khurafii
@KhalidAbdalla-lb4ph
@KhalidAbdalla-lb4ph 18 күн бұрын
kisha alivokua moga mbona hakujitaja jina
@KhalidAbdalla-lb4ph
@KhalidAbdalla-lb4ph 18 күн бұрын
Anatafuta kutajika kwa kumtusi Mwalim wetu Abul khattwab
@KhalidAbdalla-lb4ph
@KhalidAbdalla-lb4ph 18 күн бұрын
Huyu jamaa wakupuuzwa tu
@KhalidAbdalla-lb4ph
@KhalidAbdalla-lb4ph 18 күн бұрын
Sasa haya maneno ya huyu mpuuzi anae mtetea kwaiyo aona sw kumtetea kuliko kumkosea Allah huyu jamaa ana watetea watu wasioeleweka
@KhalidAbdalla-lb4ph
@KhalidAbdalla-lb4ph 18 күн бұрын
Huyu ata Khawarij hawajui
@nuhhungaso8091
@nuhhungaso8091 19 күн бұрын
Ulitangaza mwezi ukapingana na barihiyani.
@nuhhungaso8091
@nuhhungaso8091 19 күн бұрын
Swali Langu moja tu ulikua katibu wa barihiyani mlikosania nini?
@user-om7kc7ye3z
@user-om7kc7ye3z 21 күн бұрын
Yusuf abdi alipata views kutoka kwa nyimbo zake
@user-om7kc7ye3z
@user-om7kc7ye3z 21 күн бұрын
Yaani wewe ni punguwani Sasa elimu inaonekana na views na subscribeers
@user-om7kc7ye3z
@user-om7kc7ye3z 21 күн бұрын
Wewe usemaye simjinga zakir naik umesikia anasema kwamba kuna vitu ambavo Allah haezi kufanya
@user-qp2qt7oj8i
@user-qp2qt7oj8i 21 күн бұрын
Acha kumsingizia sheikh wetu sio khawarij Allah amhifadhi Abdallah humaid ❤
@FaridaMuhsin-l6v
@FaridaMuhsin-l6v 24 күн бұрын
@abdallahshelufumo4602
@abdallahshelufumo4602 24 күн бұрын
Kwahiyo nyinyi mnataka WAISLAMU Tanzania iwe CHINI ya BASUTA???
@abdallahshelufumo4602
@abdallahshelufumo4602 24 күн бұрын
Kwahiyo maendeleo yenu mnayofanya lengo mupewe mamlaka na nyinyi kama bakwata???
@user-zs7eq8up5s
@user-zs7eq8up5s 17 күн бұрын
Bakwata ni masufi na hawa ni masalafy..ushaona roma akawatawala walokole ???
@abdallahshelufumo4602
@abdallahshelufumo4602 24 күн бұрын
Kwani nyinyi mna malengo gani mpk na nyinyi mnataka mpewe mamlaka???
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 24 күн бұрын
Wanajenge shule wanajenga hospital bakwata wana Nini taja
@ahmadmzoa74
@ahmadmzoa74 24 күн бұрын
حسبما الله ونعم الوكيل .
@ahmadmzoa74
@ahmadmzoa74 24 күн бұрын
اللهم كفناهم بما شإت، اللهم كفناهم بما شإت، اللهم كفناهم بما شإت.
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 25 күн бұрын
Ndohapo wakristu waruusiwa waislamu tunakaziwa tuww chini ya bawata arafu mnasema katiba ipo uhuru mtu wa kuabudu kuna kitu hapo mambo ya dini haya kiongozi inabidi ubalace bila kuonesha upendeleo seehemu yeyote ukibaguwa tuu unaamsha hisia za watu
@omarsuleiman9064
@omarsuleiman9064 25 күн бұрын
Bakwata hawakatai mabarza mengi shida bakwata wanaheshimu mabaraza mengine ispokua hayo mabaraza mengine hawamtambui mufti mnapingana nayo
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 25 күн бұрын
Wewe unaijua bakwata na lengo la kuanzishwa kwake au unaropoka tu?
@omarsuleiman9064
@omarsuleiman9064 25 күн бұрын
@@mohdkhatib223 hapo ndio tuna fery kuleta siasa uchwara kwenye din ndio ishaanzishwa lengo sio kupingana nayo mushaajua imeanzishwaje bac waheshimuni mengine yaende
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 25 күн бұрын
kwani mabarza yote ya kikristo yanamtabua Papa? we vip umechanganyikiwa?
@omarsuleiman9064
@omarsuleiman9064 24 күн бұрын
@@maftahmusa9513 wew ndio umechanganikiwa kwakua unazungumzia papa labda nikuulize lini umeskia taasis za kikilsto zingampiga pengo hadharani we vip
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 24 күн бұрын
@@omarsuleiman9064 wewe kupinga ni kupinga kama hupingi hadharani unapinga pembeni wewe ni MNAFIQ na ndivyo Quran ilivyo tafsiri tabia ya UNAFIQ kwa hiyo tuliza akili usitake kulizima tabia au khulqa yenu ya KINAFIQ kwa waislam wasio kubaliana na huyo unayemwita Mufti wenu
@omarsuleiman9064
@omarsuleiman9064 25 күн бұрын
Hiz halakat kwasasa hazifai shekhe mohammed hazitusaidiii sisi zaid zinatutoa kwenye msitary
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 25 күн бұрын
Umemsikiliza vizuri shekh au unaropoka tu? Unaposema hazitufai sema wewe ndo na majihil wenzako ndo hazikufaeni lakini kwa waislamu wa Tanzania zina msaada mkubwa kuliko hilo baraza la bakwata lililoundwa na asiyekuwa mwislamu.
@sheikh_abdulkarim
@sheikh_abdulkarim 25 күн бұрын
Hivi inawazekana vip waislam wote hawa Tanzania wakose kiongozi wa kuwaongoza naje shida ninini kuwa chini ya bakwata ? Au sunn ndio mnataka nyinyi muwe juu Kazi yetu nikuombea mungu wale ambao tayari niviongozi wetu sio kupambana ata ungekuwa ww au mngekuwa nyinyi suni ndio Bakwata mngekuwa wakamilifu sana
@yusuphrashidi-dr1kb
@yusuphrashidi-dr1kb 25 күн бұрын
Mufti ajasoma yule mufti alichaguliwa na kikwete coz ni mganga wao km unabisha taja chuo alichosoma chochote duniani
@sheikh_abdulkarim
@sheikh_abdulkarim 24 күн бұрын
@@yusuphrashidi-dr1kb duh jitahid kabla hajasema uchunguze vizur na ukisema usimalize na kama hujui jilazimishe kunyamaza ebu waulize masheikh zako kama unao kuwa mufti kasomea wap watakwambia
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 24 күн бұрын
We ni mjinga hujui bakwata ni chombo Cha kanisa
@mtutulaclassic6207
@mtutulaclassic6207 25 күн бұрын
Shida yenu ni jambo moja tu hoja ni ya msingi sana ila mnaizungia wap?
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui 25 күн бұрын
MOH ISSA USIPOTOSHE WATU HAZIJAKATAZWA TAASISI NYENGINE KINACHOSEMWA KUWEPO NAUTARATIBU WAUONGOZ
@user-tq1nd9md1n
@user-tq1nd9md1n 25 күн бұрын
Utaratibu upi uliokiukwa na tasisi zisizo bakwata acha ubwege
@user-tq1nd9md1n
@user-tq1nd9md1n 25 күн бұрын
Bakwata is churches branch stpid
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 24 күн бұрын
@@Ibunmaulanashirazy-sn5ui TUONDOE BAKWATA TUEKE UYAHUDI WA TAWHEE TATU (UWAHABIA) NA MUNGU MWENYE VIUNGO.
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui 25 күн бұрын
LAZIMA IWEPO TAASISI MOJA KUBWA ITAKAYO XIONGOZA TAASISI ZINGINE
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 25 күн бұрын
Inaonyesha hujamuelewa sheikh, usingesema maneno hayo. Pia huelewi lengo la kuundwa bakwata.
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 24 күн бұрын
@@mohdkhatib223 JE wewe unajua lengo la kuundwa uwahabia (answari na uwahabia)
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 24 күн бұрын
@@hilalkhalfan1452 wewe ni zero brain kabisa. Labda nikwambie hakuna chama au taasisi inayoitwa uwahabi. Lakini baraza la bakwata limeundwa na Nyerere baada ya kuivunja taasisi kubwa ya kiislamu iliyokuwa ikiongozwa na sheikh Hassan bin Ameir. Sasa wewe ungekuwa na akili timamu ungejiuliza kwanini Nyerere aliekuwa rais wa wakati huo aivunje taasisi kubwa ya kiislamu halafu awaundie kitaasisi kinachoitwa bakwata? Pia ungejiuliza kwanini waislamu tu ndo waundiwe chombo cha kuwasimamia wakati wakristo wao hawana chombo cha serikali kinachowasimamia?
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 24 күн бұрын
@@hilalkhalfan1452 tatizo lako akili zako ndogo. Kwani kuna chama au taasisi inayoitwa uwahabi? Kama ipo taasisi inayoitwa uwahabi kama ilivyo bakwata tuambie iliundwa lini na viongozi wake akina nani? Wewe ungekuwa na akili ungejiuliza kwanini Nyerere aliivunja taasisi/ jumuiya ya kiislam iliyokuwa ikiongozwa na sheikh Hassan bin Ameir na kuanzisha bakwata chombo cha serikali? Pia ungejiuliza kwanini serikali isiyo na dini lakini imeweka chombo cha kusimamia waislamu lakini wakristo hakuna kitu kama hiko? Wewe huoni kama lengo ni kudhibiti uislamu usisonge mbele?
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 25 күн бұрын
😂Allah akuhifadh shekh Suala hili la Ugaidi limelengaa dini moja tu Tz Mm toka niamze kulata akili ya kujua baya na ziri sujawah sikia Ghaidi mchungaji au Askof Halaf mnasema Kuna Balaza la waislam Tanzania( Bakwata) Mm nasema Bakwata tuipinhe tu tuandamane kama kenya gaituitaki Bakwata ! na ofisi zao zote tuichomeee moto it should on ablaze
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 24 күн бұрын
@@twaibumikidadi7377 Andaman basi tukuone.
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 25 күн бұрын
kuwepo kwa bakwata ni bora zaidi maana: hii inaepudha mizozo na mitafaruku katika jamii
@user-tq1nd9md1n
@user-tq1nd9md1n 25 күн бұрын
Kuendelea kubaki bakwata nikuuangamiza uislam Tanzania wamekalia ufisadikama jamaa zao
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 25 күн бұрын
Kwa uchache wa fahamu yako imezuia mizozo mingapi kama sio kua chanzo cha mizozo
@twahambowe440
@twahambowe440 25 күн бұрын
KWANI SERIKALI YETU HAITAKI MAENDELEO YA WAISLAM TANZANIA !
@twahambowe440
@twahambowe440 25 күн бұрын
WAISLAM HATUNA MTETEZI WA HAKI ZETU,HILI LIPO WAZI,KWA USHAHIDI WA YANAYOENDELEA DHIDI YETU WAISLAM.
@twahambowe440
@twahambowe440 25 күн бұрын
Hilo kuwa na maendeleo kwa waislam ndo ugaidi??
@selemankishema5780
@selemankishema5780 25 күн бұрын
Hatujielewi haya madai ni upumbavu tu hiyo bakwata wache ijulikane na serikali sie tutafute kujilikana kwa Allah yatosha.
@haidarimfinanga9755
@haidarimfinanga9755 25 күн бұрын
Ipende dunia yako kama utaishi milele na uipende akhera kama utakufa kesho
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 25 күн бұрын
Hizo ni fikra mfu zio fikra za harakati na kisomi
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 25 күн бұрын
KAMA WAISLAAM NI MAGAIDI, HIVI KWA NINI WAKRISTO HAWANA AMANI KTK MAENEO YAO NA WANAISHI MAENEO WANAPOISHI WAISLAAM WENGI? WALIO DAI UHURU WA TANZANIA NI WAISLAAM WAKRISTO MLIKAA PEMBENI!
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 25 күн бұрын
Kina nchi duniani zina baraza la waislam ni moja hata saudia baraza lao moja vp nyinyi mnataka baraza lenu nyinyi mnajiona ni bora na wengine ni makafiri hilo tatizo lenu
@haidarimfinanga9755
@haidarimfinanga9755 25 күн бұрын
Waislam tusiangalie masuala ya maulid, khitma, nk (biddaa) tu, kuna masuala ya maendeleo ya kijamii kwa waislam ambayo haya shughulikiwi ipasavyo. Taasisi ya kidini haitakiwi kuwa tawi/idara ya serikali
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 25 күн бұрын
kule Saudia hakuna bidaa ndio maana kunabaraza moja
@user-lp3gi5wd4e
@user-lp3gi5wd4e 26 күн бұрын
Yote haya nikwaajili yakutokuheshimiana katika itikadi,Kila mtu ana mwita mwenzake kafir nakudharauliana. Waislaam tungeheshimiana nakuvumiliana yasingetokea haya,kila mtu mjuaji.
@user-tq1nd9md1n
@user-tq1nd9md1n 25 күн бұрын
Nikikuita ulivyo nakosea nini ukristo ni ukafiri,hivi sasa mumeamua kuhalalisha ndoa jinsia Moja nisawa hiyo
@user-lp3gi5wd4e
@user-lp3gi5wd4e 25 күн бұрын
Ndugu yangu me ni mwislaam, namaanisha kuna baadhi ya waislaam wanawaita waislaam wenzao makafir,Washirikina namasheik wengine wanawaambia waumini wao msiswali msikiti ule au ile!!!
@user-tw4nf6bv8b
@user-tw4nf6bv8b 26 күн бұрын
Hili jambo like sawa iombwe mahakama kutoa tafsiri ya ibara husika katika katiba ya Bakwata na katiba ya mabaraza menngine katika uislam hadhi ikojeeeeee
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 26 күн бұрын
Hakuna taasisi yoyote inayoweza kupata usajili serikalini bila ya kufuata masharti ya serikali. Na ndio maana nasema taasisi sio dini.
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 26 күн бұрын
Ndio maana nasema taasisi sio uislam ( narekebisha).
@zaydamos874
@zaydamos874 26 күн бұрын
Sisi hata hiyo bakwata hatuitambui na huyo mufut n wabakwata sio wa waisilam watengue kaul
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 26 күн бұрын
Unajua Mtume Saw ameondoka duniani kaacha uislam kamili hajaacha taasisi. Kwa hiyo uanswali sio uoslam kamili na ubakwata sio uislam kamili ndio maana hivi sasa wamehama kwanye uanswar wamehamia salaf. Taasisi zimeundwa kutokana na mifumo iliyopangwa kidunia. Kwa hiyo angalia zaidi jitihada binafsi za kiongozi usijenge sana mapenzi na taasisi taasisi sio dini.
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 26 күн бұрын
Tatizo nyie MAWAHHABI/MAANSWARU SUNNA/SALAFI itikadi yenu ni mnadai nyie pekee ndiyo waislamu halisi na wengine mnawaita washirikina na makafiri. Nia yenu siyo nzuri na ni kheri Hata taasisi zenu zifungiwe na serikali maana ni hatarishi kwa umoja na MSHIKAMANO wa waislamu..
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 26 күн бұрын
Bahati mbaya Sana wakifa hata shahada hawaipati.
@zaydamos874
@zaydamos874 26 күн бұрын
Nyie bakwata n washirikina kwel Tena wanafkhi nyie n zaid ya makafir nyie n hatar zaid
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 26 күн бұрын
@@zaydamos874 KAMUULIZE MTU WA SUNNA ABUU MUAWIYA KWANINI ILIMSHINDA SHAHADA KAMA NASOUR BACHU?!!. KWA BAHATI MBAYA SANA HAWA TUNAOWASEMA MAKAFIRI WANAKUFA MASHAHIDI TUNAWASHUHUDIA . AHADI YA MTUME SAW NI KWA MASHAHIDI NA SIO VIPUPUTA NA KANZU VIBUTU
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 26 күн бұрын
@@zaydamos874 washirikina wanaleta SHAHADA wakifa ?! Watu wa Sunna inawashinda kauli Thabit wakifa😂😂😂. HAPA UPO MCHEZO FULANI PENGINE HAO WANAOJIITA SUNNA HAWANA IMAMU ILA NI FUJO TU NDIO NA HAO TUNAOWAITA SISI KUWA WASHIRIKINA PENGINE NDIO WA SUNNA.
@zaydamos874
@zaydamos874 26 күн бұрын
@@mohamedhamismagoraonlinetv459 ww unajuaje Kama huyo aliye kufafa kaleta shahada au ajaleta hilo ndio tatizo lenu mnakuaga na hoja za kitoto sana
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 26 күн бұрын
Ata sie twashangaaa
@TaimouriKagasheki
@TaimouriKagasheki 26 күн бұрын
Maashallah Shukran sana shekhe wetu Al, habiib Kishik Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu wenye kheri Aaamiina 🙏
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib 27 күн бұрын
Safi sana
@abuuhumaidsalumassalafiyy3688
@abuuhumaidsalumassalafiyy3688 27 күн бұрын
Kwa hiyo wewe unaunga mkono kuwa Allah kuna vitu hawezi kufanya
@abuuhumaidsalumassalafiyy3688
@abuuhumaidsalumassalafiyy3688 27 күн бұрын
Yani inaonyesha hujuwi hata khawarij ni nani wewe unaongea tu
@bashkamohamed3041
@bashkamohamed3041 29 күн бұрын
Ww unatuambia kuhusu views kwn nani amekuambia kuna acount kwn ww ni shetani unatafuta views n washabiki toka hapa enda kungine kutoka kw masaalah ya dini hauwezi pata washabiki