Nani yupo hapa ndugu zangu wa Mbeya mnaendelea kusikiliza 1/9/2024 yan wimbo huu unanitoa machozi mwenzenu
@magrethnatai88464 ай бұрын
Mimi Mchaga lakini naupenda huu wimbo, Napendaga harusi za wanyakyusa ili niucheze.
@ZenathManyanya4 ай бұрын
Yan mpaka natamn kuwa mnyakyusa
@lazaroraphaelmwandosya70108 ай бұрын
Hallelujah 🙏🙏❤
@alexdonard30849 ай бұрын
Wimbo huuu huwa naulewa sana
@noelmarapachi18089 ай бұрын
Niliwahi kukutana na huu wimbo Uyole Mbeya mwaka 2008, nikanunua Tape Yake, kipindi hicho anaitwa Uboke K. Mwandiga. Ubarikiwe dada na kazi ya Bwana
@JosephKadama-fc7xj9 ай бұрын
Ngoma kali sana! Ila sijui maana yake
@ericaambindwile2529 Жыл бұрын
Very nice song, be blessed my deae
@jumahalfani6789 Жыл бұрын
I don't know Swahili but I love the song....From. Jamaica 😂
@piusnkwale Жыл бұрын
Kwasisi tunaotoka mbeya tunalilewa vibe la wanyakyusa😊
@michaeljohn646 Жыл бұрын
Jikungumbusya kukaja
@raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын
♥️♥️♥️👏
@glorywalter3085 Жыл бұрын
🤗🤗🥳🙏
@sumaadamson214 Жыл бұрын
Nawapenda sana ndugu zangu wanyakyusa nawapenda Toka moyoni 🥰🥰🥰
@atuganilekitego8616 Жыл бұрын
I'm proud to be nyakyusa
@edwardgwaspika4943 Жыл бұрын
This song is so beautiful. Big congratulations:)
@husseinnkuna6401 Жыл бұрын
Mungu awabariki wote🙏🙏 naitwa Hussein nipo dar es Salam ila home ni ipinda kyela
@hamphumichael7194 Жыл бұрын
Kyusaa
@festohangu3178 Жыл бұрын
Kazi nzuri Sana rafiki yangu
@gipsonmwankobela2825 Жыл бұрын
ndaga fijo
@gracengolanga32942 жыл бұрын
Ooh how I love this song
@philomenasamson47662 жыл бұрын
Ubarikiwe
@anithamahaba80542 жыл бұрын
Woow naupenda sana huu wimbo,japo mm ni kuryani sielewii lugha, Mungu akubariki sanaa
@happymwamakula85732 жыл бұрын
Aminaa tukusekela nkati mwa kyala
@marymwashilindi61622 жыл бұрын
Wanyakyusa pyeeee
@magdalenangailo1262 жыл бұрын
2022
@siamoye45492 жыл бұрын
Jaman wakwe na mashemej zangu wanyakyusa
@anthonychirwa80192 жыл бұрын
Amen
@kumbukenikimbu2592 жыл бұрын
L
@lilianmwalemba35373 жыл бұрын
2021 like kama unaisikiliza hii nyimbo Naloli naloli uswe tulibhabhuke mungamu kha jhesu
@stephanomwanguku38763 жыл бұрын
ubalikiwe mama ang
@angelinakisoo23323 жыл бұрын
Japo mimi siyo mnyakyusa na kinachoibwa sikijui zaidi ya jina la Yesu, ila nabarikiwa sana na huu wimbo barikiwa dada🙏
@ndigwakomatola62103 жыл бұрын
.
@jobmoffat78443 жыл бұрын
Naloli mwe
@ramadhaniluoga54913 жыл бұрын
Nyimbo nzur hongera
@emanuelmwakipesile68483 жыл бұрын
Upo mbali na mbeya unasikia hii kitu unasikia hii kitu unahisi upo rungwe au kyela kabisa
@nebartmwakibinga92623 жыл бұрын
Naloli naloli
@aminathatave52473 жыл бұрын
Wimbo huu unanifanya niliye jamanii😭😭
@emmahmwampondele11853 жыл бұрын
Kyala akutuleghe mama
@felicianmapunda23283 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana watani zangu wanyakyusa
@tulibakomwafula90793 жыл бұрын
Naloli nabububo jubha usajigweghe💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿
@shabanimagogo5023 жыл бұрын
Najutakaga kukanyaga ardhi ya kyela mumenipa kumbukumbu zisizotoka kuanzia mwaka 2013 mpaka leo tamaduni zenu ziko kichwani pangu kinachoniuma zaidi nyimbo hii hunikumbusha mwanamke wakindali niliewahi kumpenda sana wimbo huu alikuuwa akiupenda sana
@believegeofrey9003 жыл бұрын
Hahahahahaha rudi sasa
@dianaprudence15653 жыл бұрын
Barikiwa mnoooo
@gastomligo88014 жыл бұрын
Naloli naloli nikiwa njombe
@adammwambuluma68944 жыл бұрын
Tujuane ambao hatupo. Mbeya lakin 2naskiliza hiinyimbo
@kibasamohamedi8029 Жыл бұрын
Dah nakupenda Sana unanikumbusha mtalaka mke wangu
@MaryWarioba6 ай бұрын
Tulipooo
@elinessclarence85853 ай бұрын
Tupo 2024
@tibeliusmdegela27484 жыл бұрын
Napenda jinsi unaomba ukiwa na bashasha unafanya napenda wimbo hata kama sielewi maana yake.