Vipande vya stor ni vidogo ni kwa nn?storzako nzur sn mi nazipenda ivi una grop na lina stor nyingi ambazo tuanweza kulizana na kujibiana? Mi km lipo nipe utaratibu
@SalmansaidiSalman8 күн бұрын
Aslm alkum nitakupataje
@lhabibysheikhyahya7 күн бұрын
+255756479879
@AziziMkongo-n1o9 күн бұрын
Sheikh umenitoa mbali sana...ipo cku ntakutafuta sheikh wang inshaallah
@abuudachi398613 күн бұрын
Ukiota unatajiwa na mba ya cm ya mtu unaye mjua alafu alaf kabla hajazimalizia ukakataa asikutajie hii nni? Maana yake namba yenyewe ilikuani 0776,ndyo ikagomea hapo nika mwambia asiendelee
@SaidiKiteto20 күн бұрын
Naipataje mawasiliano
@mariammhango613521 күн бұрын
Shkran ❤wallah napend san masomo yko
@lhabibysheikhyahya21 күн бұрын
Asante na wewe
@MunezeroAdidja-q2e22 күн бұрын
Mmmh Sheikh Weye Ni kiboko
@jumafadhili-ft7pc26 күн бұрын
Yaaan nakukubar sn kwa kwer
@lhabibysheikhyahya26 күн бұрын
Na Mimi nakupenda zaid Wallah
@Abdulhakim-v5x26 күн бұрын
Assalam aleikum
@ThabitAbubakar26 күн бұрын
Mti gani alhabib huo
@AsiaAbdallah-j6gАй бұрын
Shukran sheikh
@IbrahimRamadhan-cm4rjАй бұрын
Leo umeongea sahihi kabisa mwalimu ubarikiwe🙏
@AshiliMakachila-y5wАй бұрын
Kweri shekhe apo manenoyamenigusa 90%
@ThabitAbubakarАй бұрын
Allah akuzidishie ilmu,,,,apo ni kweli
@Twahamwela-ch5lzАй бұрын
Kweli mwalim maneno yapo ni mazuri mashaallah jazaaka llahu khayra
Hata mm jamani nachukiwa na nduguuu alafu nikifanya kosa mimi ishu inakua kubwa mno mpaka nashangaaaa ila wakifanya kosa dada zangu wazazi inakua kawaida nikahisi labda uchawi kumbe nina kitu!!!
@lhabibysheikhyahyaАй бұрын
Pole sana my dear Allah AKUFUNGULIE DUNIANI Na Akhera
@aminakassim831Ай бұрын
@@lhabibysheikhyahya aamin
@AshaKilagulaАй бұрын
Ahsante sana Allah akuzidishie makarama ya Hali ya juu na ulimzi wake nasi tuzidi kujifunza maana kama umeniongelea mm ❤🎉
@lhabibysheikhyahyaАй бұрын
Barak llah fika
@nabirnuru8147Ай бұрын
Shukran sana Sheikh Alhabib
@allyamoor7283Ай бұрын
Karibu vitu vyote ulicyosema ninavyo lkn kunamuda napitia wakati mgumu sana kuvuelewa na kukubalina navyo naona kma mawenge tu
@allyamoor7283Ай бұрын
Mm huwa najfungia mwenyewe mara nyingi na napenda kuvaa sana nguo nyeupe na napenda sna usafi na kuchoma udi sanaa ndani kwangu lkn kwakaribuni ndoyamezidi hayo mambo huko awali hayakuwepo nafanyaje ili niweze kuyatumia vizuri
@lhabibysheikhyahyaАй бұрын
0756479879
@IbrahimRamadhan-cm4rjАй бұрын
Asalamu aleikum muwarahmatuwahi wabarakatu mwalimu hivyo vitabu navihitaji
@WazirNurdin2 ай бұрын
tukiitaji tunapataje
@lhabibysheikhyahya2 ай бұрын
+255756479879
@joeloileoile47862 ай бұрын
Asante sana kwa mafunzo
@joeloileoile47862 ай бұрын
Hio ndio naitaka sana naweza pata wapi sheck asante
@joeloileoile47862 ай бұрын
Naomba sheck unitumie pete ya kuleta uponyaji kwa mwili na mafanikio ni colour gani
@RanChad2 ай бұрын
Sasa mwalimu unapaka mara moja au baada ya kupaka mara moja ukisha weka Chin ya uvungu kila usiku unakuwa unapaka unarudisha uvunguni
@nibiziasiya-gh3qd2 ай бұрын
Mimi nimeota kuna mtu ananipa namba kamili za sim nikivyo angalia nikaona ni namba za mdada ambae na mfaham,