Пікірлер
@NancyWanyonyi-p9y
@NancyWanyonyi-p9y 11 сағат бұрын
Yaani Kesho ya Tanzania haiwezi kuwa Risk hawa ndugu zetu aki jameni mungu awalinde na damu ya yesu iwazingire sana
@nasrarichadi2278
@nasrarichadi2278 22 сағат бұрын
wewe ni mavi kabisa
@AzizaShaik-v8o
@AzizaShaik-v8o Күн бұрын
😂😂😂
@CruzerBlade-m3y
@CruzerBlade-m3y Күн бұрын
Assalam Aleyqum warahmatulah wabaraqatuh
@EmmaKirua
@EmmaKirua Күн бұрын
Duh,tunashukuru mungu mmerudi maana hii imeniliza sana
@MeshackSamweli-x1s
@MeshackSamweli-x1s 2 күн бұрын
Huyu mwamba kamaJPM tuu...hatimae huyo kafika
@MR.MKONGWETZ
@MR.MKONGWETZ 2 күн бұрын
Ujinga traole yupo wap
@LilianMuale
@LilianMuale 2 күн бұрын
Unyama
@DondoMbuga
@DondoMbuga 2 күн бұрын
Poleni sana jamani mama fanya jambo uwiiiiiiiiii
@mariamumechara3398
@mariamumechara3398 2 күн бұрын
4:25
@mariamumechara3398
@mariamumechara3398 2 күн бұрын
Hapo naona madarari tu
@alisalum5845
@alisalum5845 2 күн бұрын
ccm bila police tz haiwezi kuishi
@OmaryMapande-d7d
@OmaryMapande-d7d 2 күн бұрын
Waongo mbona picha haionyeshi
@KhadijaHincha-k7o
@KhadijaHincha-k7o 2 күн бұрын
Mashallah Allah atujaalie katika waja wema Allah awalipe mashekhe wote pamoja na mtoto wetu mwema Amina inshallah
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 2 күн бұрын
LEO LIVE WAMEKUTANA RAIS WA BUKINA FASO NA MUADISHI WA OFFTRACK TV KUAMBIWA WAWACHE UWONGO UWOGO NI WANAWAKE SASA SIJUWI WATASKI
@GasparMfoi
@GasparMfoi 3 күн бұрын
Sijaelewa
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 күн бұрын
UKIONA hayo jua ukombozi umekaribia kwa mkono wa Mungu .kwao Kuna mkono wa mtu kwetu Kuna mkono wa Mungu .kwawazuia HAKI ya wanyoke Kuna mkono wa mtu lkn kwawapenda HAKI ya Mungu Kuna mkono wa Mungu
@YourMoor-px1rd
@YourMoor-px1rd 3 күн бұрын
HAKUNA MWABA TRAORE KASHTUKIA MIPANGO HAKUDHURIA BONGO
@Marem-nl3tf
@Marem-nl3tf 3 күн бұрын
Masha Allah tabaraka Allah Allah atakufanyia wepesi Kila penye uzito Allahu akujalie Afya njema na umri mrefu wenye kheri na baraka mtoto mzuri insha Allah Ameen 🤲🤲🤲🤲🥰🥰🥰🥰🥰❤❤❤
@AbduliAlli
@AbduliAlli 3 күн бұрын
Safi tz mungu awabaliki
@YourMoor-px1rd
@YourMoor-px1rd 3 күн бұрын
SAFI YA NINI?
@SubiraSaMkonje
@SubiraSaMkonje 3 күн бұрын
Kumb walifany vizul kuwauwa wale vijn
@ValcoMangapie
@ValcoMangapie 3 күн бұрын
Duuu hongera bashungwa
@EliaHiluka
@EliaHiluka 3 күн бұрын
Bashingwa usiwasifu sana askari hao wataharibu Sasa hivi utakuja kuaibika na wewe kwa makosa yao
@EliaHiluka
@EliaHiluka 3 күн бұрын
Huo ulinzi ungeimarishwa wakati wote kwa watanzania watu wasingetekwa
@AminaSwaleh-r3w
@AminaSwaleh-r3w 3 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@roseluwumbaLuwumba
@roseluwumbaLuwumba 3 күн бұрын
Mungu awatetee
@roseluwumbaLuwumba
@roseluwumbaLuwumba 3 күн бұрын
Poleni jamanii
@SakinaValy
@SakinaValy 3 күн бұрын
Wakongo wamezoea kuteka madereva wa tz,,serkali saidia jaman
@HvhVvb-k3i
@HvhVvb-k3i 3 күн бұрын
Tanzania ushoga free sheria zake zipo hata shangazi Fatma karume alisema hilo sheria zipo
@HvhVvb-k3i
@HvhVvb-k3i 3 күн бұрын
😂😂 muongo huyu hasemi ukweli km ushoga Free
@PatriciaKabogo
@PatriciaKabogo 3 күн бұрын
Viongozi wasikilize vijana wetu
@PatriciaKabogo
@PatriciaKabogo 3 күн бұрын
Serikali ya Tanzania iwasaidie madereva
@AwaziRajab
@AwaziRajab 3 күн бұрын
Wasaidiwe Wanatia Uruma Sana Awa Jamaa
@agnesdaud579
@agnesdaud579 3 күн бұрын
Mungu wa Israel aliefanya njia katkat ya bahaar atawaookoa
@CollinsWayne-g8l
@CollinsWayne-g8l 3 күн бұрын
Congratulation congo gorverment
@LucasKiboi
@LucasKiboi 3 күн бұрын
NIKIASI GAN INAONESHA HII SERIKALI YA CCM INAVYO FANYA MAMBO YA KITOTO
@YonerManang-ie2qm
@YonerManang-ie2qm 3 күн бұрын
Ccm wanatumia nguvu kutawala! Wala si kwa haki,
@IsmailNsengiyumvaa
@IsmailNsengiyumvaa 3 күн бұрын
Vp
@Karugendo279
@Karugendo279 3 күн бұрын
Mtangulizeni Mungu kwa Kila jambo. Yeyote anayeshikilia mji huo ni vema ajitokeze aseme ananuluje watoto wetu hawa wasio na hatia. Habari zitoke muda huu. Watoto hawana maji vipi wahudumiwe. Usalama wa Raia wote ni muhimu. Vijana wapewe majibu hawajaingia kule kiujanja ujanja. Kila kitu na kifanyike kwa mazungumzo.Tuna mengi ya kujifunza tokana na mzozo huu.
@GroliaMasole-f5h
@GroliaMasole-f5h 3 күн бұрын
Mimi nilikua nawaonea hurum lakini hawapasw kuhurumiw japo adhabu waliopew no mbay na inaumiza wangefungwa tu kifung cha maisha tumuombe mung aisaidie tz yetu isiwe na vijan kama hao
@geraldlugano5839
@geraldlugano5839 3 күн бұрын
Mngekuwa mnafanya hayo kwa majambazi na majizi ya fedha za umma, tungekuwa na maendeleo.
@MaxCharles-wj5dg
@MaxCharles-wj5dg 3 күн бұрын
taasisi hii Haina maana kbs bac tu
@franktangeki9342
@franktangeki9342 3 күн бұрын
hao wajeshi wa monusco wenyewe wameishakimbia yaani nyie mko wenyewe
@giftyjohn3852
@giftyjohn3852 2 күн бұрын
Usipende kaandika kitu cha kukatisha taamaa kwenye hali Kama hii
@michaelosimbo2004
@michaelosimbo2004 3 күн бұрын
Mbona. Serikali haiwa peleki shule vijana, au kuwaua nfiyo raisi?
@CTM.24Updates
@CTM.24Updates 3 күн бұрын
😂😂
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 3 күн бұрын
Aibu tupuuu
@DativaAlexander-b8e
@DativaAlexander-b8e 3 күн бұрын
Jaman mungu awasaidie
@IddyIbrahim-h5r
@IddyIbrahim-h5r 3 күн бұрын
Poleni sana Watanzania tupo pamoja sana na mungu atawasaidya ila ikitokea mkashambikiwa bas itakuwa wamekosea sana na watakuwa wanatak vita na TZ
@BibianaSulley
@BibianaSulley 3 күн бұрын
Mungu wa tetee watu wako. Warudi salama.
@jerome3143
@jerome3143 4 күн бұрын
Mengine yanafunguliwa kesi Arusha na wanasheria wa umoja uko arusha