SAFARI YA LISSU URAIS 2025 (Ep 2)
4:11
14 сағат бұрын
SAFARI YA LISSU URAIS 2025 (Ep 1)
3:22
16 сағат бұрын
Пікірлер
@AzizaAbubakari-t8v
@AzizaAbubakari-t8v 16 сағат бұрын
Kwanini paka walalamike
@harakatitv
@harakatitv 12 сағат бұрын
chadema mtakoma
@jamesjr6086
@jamesjr6086 Күн бұрын
Ningependa hii movie ioneshwe kwenye tv kabisa iwe na kipindi chake.na sound track ya hii muvi iweke ya ile nyimbo ya makmende amerudi!!! Itakuwa poa sana
@harakatitv
@harakatitv 12 сағат бұрын
hahahhaha tupo kwenye maongezi na azam tv
@MwakaHappy
@MwakaHappy Күн бұрын
Hahahaaaas hahaaaaaa leo mmenichekesha neno moja tumungu amlinde lisu
@harakatitv
@harakatitv Күн бұрын
hakaika Bwana yu pamoja naye subiria sehemu ya nne
@selemansalum-f4p
@selemansalum-f4p 2 күн бұрын
Warisha zoea kuzurumu kula nakutumia mittu
@harakatitv
@harakatitv Күн бұрын
mwaka huu watakoma hahahaha
@nathanmmasi3890
@nathanmmasi3890 2 күн бұрын
Tena ukome usije kufananisha namafisadi wenu ambao wanaisi wataishi milele wezi wakubwa
@harakatitv
@harakatitv 2 күн бұрын
Hahahha mbona unahasira
@luthermartin1098
@luthermartin1098 2 күн бұрын
Alinasa vipi mawasiliano
@harakatitv
@harakatitv 2 күн бұрын
Wewe umeruka segemu ya kwanza na ya pili ndio maana hujaelewa alipata wapi hayo mawasiliano
@luthermartin1098
@luthermartin1098 2 күн бұрын
😂😂😂
@Mrsalt-zs
@Mrsalt-zs 2 күн бұрын
Mr president ❤❤
@harakatitv
@harakatitv 2 күн бұрын
THANK YOU MR
@AndrewMuqopa
@AndrewMuqopa 2 күн бұрын
Here we go
@harakatitv
@harakatitv 2 күн бұрын
ONE LOVE
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 күн бұрын
Hamna kitu hapo Ccm ni maisha
@harakatitv
@harakatitv 2 күн бұрын
kwani wewe hujaona maendeleo ya barabara hahahahhaha
@Ulwekhin
@Ulwekhin 3 күн бұрын
hahahaha this movie 🎦 🎦 😄😄😄
@harakatitv
@harakatitv 2 күн бұрын
BOSS
@godblesskamera1949
@godblesskamera1949 3 күн бұрын
Ndugu zangu mnakwama wapi tubadilikeni jamani
@harakatitv
@harakatitv 3 күн бұрын
Nini tena 😄😄
@godblesskamera1949
@godblesskamera1949 3 күн бұрын
Huooo ndio utabiri sahihi
@harakatitv
@harakatitv 3 күн бұрын
2025 mbivu mbichi tutazijua
@Promotertvplus
@Promotertvplus 3 күн бұрын
Ohhahaha nimekubali uko Vzr
@harakatitv
@harakatitv 2 күн бұрын
hahahhahahaha karibu sana kiongozi
@paulowangoma4932
@paulowangoma4932 3 күн бұрын
Only fools will believe this
@harakatitv
@harakatitv 3 күн бұрын
kwanini sasa
@allyally5117
@allyally5117 4 күн бұрын
sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote ...muda umefika kuwa CHADEMA. Ni chama kinachowafanya CCM waamke kidogo japo wamelala sanaaaaaaa.
@harakatitv
@harakatitv 3 күн бұрын
JE WATASHINDA?
@MihayoMageta-k4n
@MihayoMageta-k4n 5 күн бұрын
😂😂😂
@harakatitv
@harakatitv 5 күн бұрын
Hatari
@tospend
@tospend 5 күн бұрын
Asee ai inatupeleka speed speed
@harakatitv
@harakatitv 5 күн бұрын
hahahhaaha tupo nyuma ya muda
@1961nungwi
@1961nungwi 5 күн бұрын
Lissu naye anatupeleka spidi sana, mpaka kwenye movies!!!😊
@harakatitv
@harakatitv 5 күн бұрын
Dalili za shindig 2025
@THEKINGOFBAHARIA
@THEKINGOFBAHARIA 5 күн бұрын
Na wakiwazur na sisi tutawazuru tumechoka na ujinga selikali isio jali haki ya ukwer na haki yenye kuogopa mungu
@harakatitv
@harakatitv 5 күн бұрын
tusubiri kauli ya Rais atasema nin i
@patrinraura1397
@patrinraura1397 5 күн бұрын
Hakika sisi watu wa chini Tunashukuru Mungu kutupatia Kiongozi bora Mhe Wakili Msomi Mwabukusi"TLS ni kimbilio la watu wa ngazi ya chini" TLS itaimarika sana chini ya uongozi wa mtetea haki,jasiri,shujaa na Mzalendo
@harakatitv
@harakatitv 5 күн бұрын
kweli kabisa
@UpendoEliya-i7l
@UpendoEliya-i7l 6 күн бұрын
UONGO MWEUSI TII; 1. Hairuhusiwi kusafuri na dola pesa nyngi kiasi hicho tena kwenye ndege, 2. Mhe Lissu akitembea hakunji huo mguu mmoja una shida, 3. Sura siyo yake acha kuchafua watu.
@harakatitv
@harakatitv 5 күн бұрын
Upendo hii movei inautamu mwingi sana itakavyoisha wewe mwenye utapenda
@harakatitv
@harakatitv 5 күн бұрын
Kuhus mguu umeshapona kaka au wewe ulitaka mguu wake usipone 😄😄😄😄
@OlivaMHANDO
@OlivaMHANDO 6 күн бұрын
Hata sisi wanainchi tunamuombea kwa muumba wetu,atusikilize kiliyo chetu kwa miaka yote hii,ee bikira Maria mtakatifu wa MUNGU waombee viongozi wetu washinda uchaguzi 2025,, tumupumuwe majanga haya.. ee mora tuokowe sisi waja wako,, wanyonge wako,, tulete ee lisu katika uchaguzi huu Aminaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@harakatitv
@harakatitv 5 күн бұрын
Swali ni je atatoboa mbele ya CCM ?
@seifmohd5357
@seifmohd5357 6 күн бұрын
Hii movie ccm itawakera san ila kiukwel ccm imechoka sana
@harakatitv
@harakatitv 6 күн бұрын
watapindua meza kibabe
@LeahMgunda-l8c
@LeahMgunda-l8c 6 күн бұрын
Mwana kulaaniwa wewe utakufa unacheka.
@harakatitv
@harakatitv 6 күн бұрын
kwanini sasa
@muharamijuma1569
@muharamijuma1569 6 күн бұрын
NDOTO HIYO KASHINDWA LUWASA NA SEIF ENDELEE NI KUJDANGANYA NA POROJO ZENU PUMBAVU
@harakatitv
@harakatitv 6 күн бұрын
kaka mamboo yamebadilika sasa hivi nguvu aliyonayo lissu sasa ni kubwa kuliko hao uliowataja hapo
@bonnymakuke3153
@bonnymakuke3153 6 күн бұрын
Kwa Nini usijiulize uncle lisu alipona lisasa 17 liekua anapiga pushap ovyo kadondoka kwa mafua2😢😢
@MaselePatrick
@MaselePatrick 6 күн бұрын
​@@harakatitvhakuna lolote ndugu akashindwa lowasa mtaratibu vile na hekima zake NI huyu WA 🤣😛akalale kwanza haitokei
@MaselePatrick
@MaselePatrick 6 күн бұрын
​@@bonnymakuke3153haijalishi ndugu
@muharamijuma1569
@muharamijuma1569 6 күн бұрын
@bonnymakuke3153 Wafuasi wa Genge la wahuni wote Debe tupu UNA SHANGILIA MTU KUFA ?
@PeterMponeja-t4e
@PeterMponeja-t4e 6 күн бұрын
Pumbavu wewe
@harakatitv
@harakatitv 6 күн бұрын
nini sasa jaman
@nassonkikando4274
@nassonkikando4274 6 күн бұрын
Hizi ni siasa za maji taka, hivi Lisu alipopigwa risasi akaenda kutibiwa ubelgiji akaishi huko kwa usalama.wake akiwa mhanga wa kisiasa mlitegemea asiwe na marafiki? Watanzania acheni uzushi. Hata kama Mimi sio mwana chadema lakini Nina akili ya kuwaza na kufikiri ujinga wa hizi video najua mwelekeo wake ni kumchafua Mheshimiwa Lisu, hiyo ni mtu wa Mungu acheni kumchafua baba wa watu. HUU NI UONGO NA UPUUZI. Waliompiga risasi ndio waliofanya akaenda Ubelgiji Leo mnamgeuzia maneno. AIBU YENU. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mtu mpenda haki hapendi rushwa hapendi watu waonewe Wala kunyanyaswa. Mwelezeeni Kwa usahihi alivyo msimbandike tuhuma za uongo
@harakatitv
@harakatitv 6 күн бұрын
sasa wewe unahisi alipewa nini na wale wazungu kaka
@JacksonMbites
@JacksonMbites 6 күн бұрын
wewe acha kelele
@harakatitv
@harakatitv 6 күн бұрын
hahahahha
@mbwanahasan2971
@mbwanahasan2971 6 күн бұрын
Wasenge wakubwa ipo siku midomo yenu mtakimbia wote nyie
@harakatitv
@harakatitv 6 күн бұрын
kwanini
@clauschaula2050
@clauschaula2050 6 күн бұрын
Uzushi.Uharibufu wa bando.
@harakatitv
@harakatitv 6 күн бұрын
sema na wewe acha ubaili
@dicksonfelician2205
@dicksonfelician2205 7 күн бұрын
Mm nampenda mh lissu
@harakatitv
@harakatitv 6 күн бұрын
kaimani kashinda tayari
@bahatisaimon6019
@bahatisaimon6019 7 күн бұрын
Mnakazi
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
HAHAHHAHA
@Peterchipemba
@Peterchipemba 7 күн бұрын
Kwanza lissu ni nabii na mtume alie tumwa na mungu kuokoa taifa la tanzania
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
DAH YAANI WEWE UMEJUA KUNICHEKESHA SANA
@MaselePatrick
@MaselePatrick 6 күн бұрын
Hahahaha uwuiii NI ndoto za mchana kweupeeee
@harakatitv
@harakatitv 4 күн бұрын
sasa tuoombe mungu atupe uhai then wewe utakuwashaidi hapahapa
@FranceKyaruzi
@FranceKyaruzi 7 күн бұрын
Kwani kakwambia anautaka?? Jibu mkuu
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
KAMA UNAENDELEA KUBISA BOSI BISHA ILA UTAONA ITAKAVYOKUWA
@EvaNgalaba
@EvaNgalaba 7 күн бұрын
Kwa mimi namkubali kura nampa
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
ukimpa kura atashinda???
@QaahtaQaahta
@QaahtaQaahta 7 күн бұрын
LAKINI CCM BADO HAWAJUI HATA NAMNA YA KUDANGANYA WENDAAAZIMU SIKWAMBI WATU WENYE AKILI. MAAANA 1 LISU HANA MWENDO ULE 2 NI MJINGA GANI ATAYETIA PESA KWENYE BEGI MPAKA ZIKATOKEZA NJE NYINYI CCM MUSIDANGANYE WATU LISU HAMUMUWEZI NI KIPENZI CHA WATANZANIS
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
hahaha hii ni movie tu wataalamu wanajaribu kutabiri sasa tusubiri sehemu ya pili ya movie hii
@MaselePatrick
@MaselePatrick 6 күн бұрын
Hata lowasa alikuwa NI kipenzi cha watanzania pia lakini mwisho WA siku alizidiwa akili😛😛
@harakatitv
@harakatitv 4 күн бұрын
tofauti ya loowasa na lissu ni kwamba lowasa alikuwa kipenzi cha watanzania ila lissu ni kipenzi cha mungu na watanzania pia
@Mariasuzana922
@Mariasuzana922 7 күн бұрын
Anafaa sana kuwa raisi wa Tz
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
SASA YEYE NA SAMIA NANI UNAMPA KURA YAKO
@NdalidosawoodenFurniture2005
@NdalidosawoodenFurniture2005 7 күн бұрын
Kama utani tu lakini huyo anaenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nimemaliza
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
MOVIE YAKE NDOO HII WACHA TUONE MUENDELEZO JE ATASHINDA???
@MaselePatrick
@MaselePatrick 6 күн бұрын
Labda Kwa ndoto KAMWE haitokeii
@harakatitv
@harakatitv 4 күн бұрын
mimi sitaki kutia neno nitaaribu utamu wa movie yangu
@ZiggysebahZiggysebah
@ZiggysebahZiggysebah 4 күн бұрын
Tutafurahi ile ngumu.hapo ndiyo tutafurahi Mungu kuwajibu Wa Tz.
@ZiggysebahZiggysebah
@ZiggysebahZiggysebah 4 күн бұрын
​@@MaselePatrickww si Mungu .subiri
@JohnKatwanga-l1g
@JohnKatwanga-l1g 7 күн бұрын
Anafaa sana kua raisi watanzania huyo
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
TUTAONA SEHEMU YA PILI YA MOVIE HII NINI KITAENDELEA
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 7 күн бұрын
Anafaa kabsa kua prs daa
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
WACHA TUOONE WATANZANIA WATAAMUA
@SuolFat
@SuolFat 8 күн бұрын
Hili sio jeshi la wananchi ni la ccm
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
HAHAHHAHA UNAZINGUA
@AbdullahAhmed-t7p6l
@AbdullahAhmed-t7p6l 9 күн бұрын
Great voice from vice charman of tundulisu john heche to Tanzania police that the day before yesterday were lntasion to came here then arest us then you will see what happens soon after block Tanzania locel janalist do they Jon's after national spokes man john mnyika call Tanzania media adress of tundulisu starting working at chadema head office in mikocheni lntasion if john mnyika call media was to announce day tundulisu starting working at the chadema head office but was blocked by police because of energy African meeting in daresalama but janalist couldn't manege to attend john mnyika briefing chadema activities
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
nakubaliana na wewe
@steverotali
@steverotali 9 күн бұрын
LISU KAMA IBRAHIM TROE NA MAGUFULI WOTE WANGEKUWA HIVO WAZUNGU WANGEKAA KWAO. MALI ZETU ZINGETAJILISHA WATU WAKE.
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
wacha tuone itakuwaje
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 9 күн бұрын
Hatutaki aingie Chama cha mafisadi kwanza Lissu ni mzarendo hana tamaa ya pesa kana kina msigwa
@ELIAMbise-sy5ue
@ELIAMbise-sy5ue 9 күн бұрын
Serikali hovyo Sana
@Ba63828
@Ba63828 9 күн бұрын
Hatumtaki CCM
@jeffhard5773
@jeffhard5773 7 күн бұрын
Yeye ndio hawahitaji Wala hataki hata kuwaskia kabsaa!
@Ba63828
@Ba63828 7 күн бұрын
@jeffhard5773 Yeye Lisu ni kibaka tu atauona urais kwenye luninga
@jeffhard5773
@jeffhard5773 7 күн бұрын
@@Ba63828 kipimo kikubwa hutokana na kidogo Kama wenye viti tu mnawateuwa badala ya kuchaguliwa Sasa itakueaje kwa diwani na rais warafi was madaraka Kila Jambo Lina mwisho wake
@BichongolaInvestment
@BichongolaInvestment 9 күн бұрын
Good speech
@thomasmollel9465
@thomasmollel9465 9 күн бұрын
Facts Ibrahim Burkina Faso
@Werema3760
@Werema3760 9 күн бұрын
■Facts✅
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 9 күн бұрын
Hapo ndipo utajuwa kuwa siasa sikussema maneno ya ujasiri au vitisho siasa nipesa na mbowe mtamkumbuka .
@SeverinMagwaya
@SeverinMagwaya 9 күн бұрын
wewe ni fala tu. CCM inapata hela kutoka wapi? au asili ya pesa zake ni wapi? Tunajua wote ni chama dola na inachota pesa za Kodi zetu.
@Werema3760
@Werema3760 9 күн бұрын
Poor thinking capacity.
@ShamteMohmed-ed2kk
@ShamteMohmed-ed2kk 9 күн бұрын
Kweli siasa sio ukali wa maneno tu , rasilimali pesa ni lazima.
@BichongolaInvestment
@BichongolaInvestment 9 күн бұрын
Debe tuupu
@harakatitv
@harakatitv 7 күн бұрын
mimi yangu macho sina la kuoongeza hapo