Je! Kama ulimfuga paka vizuri ukamhudumia. Akakuzoea na jina ukampa.. halfu ukamuacha nje Kwa kutokua na uwezo wa kumhudumia. Akawa anjitafitia mwemyewe chakula tena Kwa tabu na kashazoea kupewa anabakia tu nje na njaa mpaka akafariki. Je itakua umeuwa? Au umemdhulumu na kumkatili? Na kama ni ivo ni ipi hukmu yake?
@AbuBacar-kr5en5 күн бұрын
Allah niepushe na zinah
@SeifAlly-g9i6 күн бұрын
Ahsante Sana sheikh munir wewe nimtu unae elimu natakwa
@merdümgiriz.009 күн бұрын
🌟🌹🌟🌹🌟
@zaidumohd312519 күн бұрын
Hii darsa ya maswal inakuepo siku gn
@zulekha-jv9rn26 күн бұрын
Je mume akimwambia mkewe amfanye ivyoo je inafaa
@user-hr9kb7ev1iАй бұрын
Aslm Alykm, Sheikh hapo ume ghafilika mbona hukutoa mfano ya bahari ama m'to kutia pombe ume sahau kulatein, mfano unao leta ipo tofauti na mwana mke mwenye mimba ya haramu, je anaoleka swali mbona kwako limekua zito una ngeuza mada, uislamu ni mwepesi nyinyi mashekhe saidieni umma
@HabibaAmaniАй бұрын
Ameen
@mvetaomer6874Ай бұрын
Shekh hujajibu swali vzur unarukaruka hukmu n nini
@qurantafsirswahiliАй бұрын
بارك الله فيك
@abdulghafursalum4373Ай бұрын
Na itahesabika kuwa bado ni mkeo
@abdulghafursalum4373Ай бұрын
je ikiwa umekwenda kuposa mwanamke wa kiislam, baadae ikatokea khitilaf akawa hatak kukusikiliza wewe mwanaume wake baada ya kubebeshwa maneno na kuchukua maamuzi ya kurejesha kifungia mlango, bila ya mwanaume kuridhia, na ww ukawa hujachukua au umeichukua n kutoa sadaka, je hukum yake ikoje
@SaidiselemansaidiАй бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@sleyumcocochi6219Ай бұрын
Pitia qur ani vizuri na kama hufahamu uliza mashekhe, usiwe mbabaishaji kiivyo wakati ktk qur anni ilo jambo lipo wazi,hakuna imam kuleta dua na maamuma kuitikia aamiin, huo ni Uzushi.
@nismaali2982Ай бұрын
Maashallah Tabarak Allah ❤❤❤❤❤
@AhmedAhmed-lm4uyАй бұрын
Je mkitisto inafaa kushika Qur'an yani mas'haff
@daudimichael73382 ай бұрын
Quran inasemaje?
@OchoaHomeDecor_2 ай бұрын
7:04
@ashamwanganzi64002 ай бұрын
Naam shukuran san shekhe
@user-zf3fz5lf4m2 ай бұрын
Mkono kwa mkono hadi peponi
@abunusrat30162 ай бұрын
Ubabaishaji hamna kitu kutoka Kwa ibaadhi. Talbis nyingi na kuwatukana Khulafau rashidiyn kama Uthman na Ali Radhiy za Allaah ziwafikiye. MASWAHABA watukufu hawaja salimika na ndimi zao chafu
@bashirually54372 ай бұрын
Manshallah,
@Mr._Pelu_Saloneman2 ай бұрын
First 🥇🎉‼️
@jumamaabadi20122 ай бұрын
Shukran jaziyla
@ZeitunRishard-rh6un2 ай бұрын
Ikiwa mume ampendi mke wake afanye aje
@BoscoMartine2 ай бұрын
Thambi ya zinaa
@fatmafuraha79242 ай бұрын
Shukran jazakallahu kheir 🤲
@sakinasakku83402 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@ramadhanbabmane61582 ай бұрын
Mbn maswal ayajibibiwi
@faidikanamawaidha2 ай бұрын
Swali gani ambalo halijajibiwa ?
@othumanambae7613 ай бұрын
Kweri
@Juma-om7ho3 ай бұрын
naam mus hafu ni sahihi bilaa shakka
@hassankongolilo84083 ай бұрын
maashaallah alhamdulillah . maalim mungu akubarik sana. umejibu kibingwa mnoo
@MohdAli-vh7ut3 ай бұрын
Shukran kwa ufafanuzi Allah akujaalie Kila lenye kheri nawe.
@khalefabdallah36803 ай бұрын
جزاك الله الخير يا شيخنا.
@SihabaAbdallah-li6dx3 ай бұрын
Sasa kama Hawa jafa wote wawili
@almasiabdallah45073 ай бұрын
Ustadh umeelezea vizuri sana kutanabaisha ili watu waelewe, ila kimaoni Kuna haja Gani yakuletewa Quran ambayo Iko tofauti na Quran ilivyozoweleka aftika mashariki na kwengineko duniani. Ikiwa msahafu watangu enzi, wengi wetu Bado Bado bado hadi Sasa hatujui kuusoma, sheikh huoni hii itakiwa fitna kubwa kuletewa msahafu ya miundo mingineyo ambayo itawachanganya waislamu na kuwavuruga? Sheikh huoni KUWA mifumo hii ya kutoa Quran isiyofanana na kuran ya jadi, huenda ni mbinu fiche za shetani kuwachanganya waislamu. Sheikh nyinyi mulio na elmu ya dini, kuweni maakini sana Kwa vizushi vya aina hii. Quran ya mifumo wa jadi yatosha Kwa mafunzi Kwa umma wa kiislamu, imetuo goza Karne na Karne, hatuitaji version nyengine yoyote. Maustadh na maustadhati wetu walifunzwa Kwa Quran ya jadi, nao wanafunza kwayo, version zengine za ajabu ajabu, nizanini? Rai yangu, ningependelea Tena Kwa Imani kubwa. Version hii isipewe nafasi majumbani mwetu, itachanganya mashehe wakongwe na wanagenzi katika dini, ni hatari, ni hatari ni hatari. Hao waliotunga Quran hii, kabla ya kuvumbua Quran hiyo yao wazee wao walifunzwa Kwa qurani Gani? Mpaka waone haitoshi waunde hii nyengine. Pili ikiwa Kwa lafidhi za kwao wameonelea hiyo mpya inawafaa, Kwa Nini watugawanyie Quran ambayo itatuchanganya? Tuwe maakini sana, Tena sana Kwa mbinu fiche za shetani na maadui wa uislamu. Masheikh wetu, uzushi huu na myengineyo ndio chanzo Cha kusambaratisha Quran aliyotuwachia mtume wetu, Quran iliyosomwa na maswahaba, iliyosomwa na matabiin na wanazuwoni wa madhhabi zote, makabila yote ya Dunia hii, wachina, wafaransa, waafrika, wazungu etc na waliielewa kuusoma licha ya lafidhi mbali mbali za makabila yao. Vipi Leo mtu aje aseme eti lafidhi zao ziko hivi ziko vile. Hapana! Sio qurani ikufuate WEWE utakavho, ni WEWE ufuate qurani itakavyo. Qurani hii haistahili kupewa nafasi. Ikikubalika kundi jengine litazua mapya na huo ndio utakuwa mchafuko wa heshma ya Quran tukufu. Ukiona Moshi unafuka jua.... Ahsantum.10:29
@GharibuAltiwaniy3 ай бұрын
Naam kaka nakuunga mkono kuwa isiletwe misahafu watu wasiyoijua ama kuizoea ili isiwachanganye. Lakini hakuna jipya, visomo vyote hivyo ni vya tangu majadi, tangu enzi ya mtume sala na salamu za Allaah juu yake, Qur-an imeshushwa kwa lugha ya kiarabu, na warabu walikuwa wana lahaja tofauti, na mtume sala na salamu za Allaah juu yake kaisoma Quran kwa lahaja hizo, ndio maana kukawa na visomo tofauti, lakini maana na muongozo ni uleule, hakuna shetani aliyeingiza lake, MWENYEZIMUNGU kaahidi kuilinda Quran, hivyo visomo vimedhibitiwa hasa na wanazuoni kwa idhini ya Allaah, hakuna herufi moja iliyobadilishwa, Kuna mengi ya kuzungumzia kuhusu haya, Ingia link hii upate maarifa zaidi: kzbin.info/www/bejne/g3aUan6Iqd-WqNksi=sgiZD6YwHTpTirI1
@saiddgsmg3 ай бұрын
mw/mungu atuepushie.
@zahorsuleyman76173 ай бұрын
Sasa mm nauliza,kama hii misahafu haikuandikwakwa lafdhi zetu,yanini kuruhusiwa kuingia ktk nchi yetu?Hamuoni kama inakuja kutuchanganya ijapokua ipo sahihi kama msemavyo??Gonga like kwa wanao nikubali.
@SimbaHaji-jm7md3 ай бұрын
Watu wanatakiwa wasome, huo msimamo uliochagua ni wa kivivu kabisa ..watu wasome sana kama ambavyo wanasoma secular
@Juma-om7ho3 ай бұрын
inaingia mbona ni kawaida tu kuna baadhi ya madrasa mbona hicho Qiraa kinasomeshwa! tunatakiwa tujifunze viraa
@MawaddaKhamis-zh3kc3 ай бұрын
Allah atuongoze kwenye elmu na atuzidishie ufaham ktk ilmu
@SUZANASUZANA-ku3jk3 ай бұрын
Shukran ubarikiwe
@SUZANASUZANA-ku3jk3 ай бұрын
Shukran ALLAH awalipe kheri
@letuslearn75483 ай бұрын
Aamiin
@FatumaMwavyema-sv8ro3 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤🎉🎉🎉
@alinassor3913 ай бұрын
Kwani ibaadhi wanafuata imamu gani
@faidikanamawaidha3 ай бұрын
Imam Jabir bin Zaid Al Uzdi Allah amridhie aliyezaliwa mwaka 18 Hijiria na kufa mwaka 93 Hijiria, amechukua elimu yake kwa Masahaba wa Mtume S.A.W. amesema: "Nimewawahi Masahaba 70 walipigana vita vya Badri nami nimechukua waliyokua"
@MaldiniEl-Dugheish-fs9zh3 ай бұрын
Vp hali yake anaendeleaje
@faidikanamawaidha3 ай бұрын
Tunamshukuru Allah. Hali yake inaendelea vizuri .
@AminaSapar3 ай бұрын
Je nikitaka kuswali rakaa zote 11 Nitaziswali vip
@user-qf1wy4vj5l3 ай бұрын
Ya Allah! Nijaalie nihifadhi haya majina na Maana zake na niyatumie Kila mara na nife Hali ya kuwa nakumbuka majina Yako na uniepushe na ushirikina.